Tundu Lissu na CHADEMA kama chama, sikiliza ushauri huu wa Ansbert Ngurumo

Tundu Lissu na CHADEMA kama chama, sikiliza ushauri huu wa Ansbert Ngurumo

Kwani kuna kitu ambacho ccm inaogopa? Ulidhani kwa kauli tu wataogopa? Na kama hawaogopi ndio tukae kimya tuendelee kutekwa na kupigwa siku za uchagjzi? Tufanye ninj?
Corret, CCM ni mashetani, haaogopi thambi maana dhambi ndyo maji yao ya uhai! TUFANYE NINI?
SWALI GUMU SANA. ANY OPTION ITAKUWA CONFRONTED NA POLISI, JESHI , UTEKAJI AND THE LIKE! TUFANYE NINI?
 
1. Lisu kusema kwa ukali na makeke hakutaitisha CCM. CCM ni waovu, hawatishwi na maneno!

2. Mama yuko agressive supreme of power! hatishiwi na maneno makali/kelele za juu kama za Heche na Lisu!
3. Watanzania mnaowategemea kushinikiza NO REFORMS, NO ELECTION, ili kuleta REFORMS, hawako kama mnavyowafikiria, bado kabisa kujitoa "mhanga" kutafuta haki!

SIKILIZA USHAURI:


View: https://www.youtube.com/watch?v=ANA3rytxn0Q

Erythrocyte please take note!

Hata wasiposhiriki kwani Kuna Mtanzania atapata hasara?

Wanaoishi Kwa kutegemea hela za siasa ndio wahangaike na saisa.

Hakuna Mtanzania wa kumpigania mtu eti ataandamana 😂😂
 
Hapana, hakuna team Mbowe.... sikiliza logic katika andiko ka Ngurumo! Ukisusi so what kwa CCM?

LISU WAS MY FAVORITE POLITICIAN! SINA UGOMVI NA LISU, NI ILE BEHAVIOUR YAKE KATIKA KAMPENI.

..kwa sasa hivi kususa na kushiriki kuna tofauti ndogo sana.

..Ukisusa matokeo ya asilimia 0%, wakati ukishiriki matokeo ni asilimia 0.07%.

..kwa upande mwingi Chadema hawajawahi kukusa, hakuna kipindi chochote chama kikubwa cha upinzani kimewahi kususia uchaguzi wa Tanganyika.

..mahali CCM wametufikisha ni bora Chadema wasusie. Kitendo hicho kinaweza kikawaathiri zaidi Chadema, lakini kikawa na faida kwa Watanzania walio wengi.
 
CCM wanasema "mkisusa sisi twala" sasa unasusaje wakati wenzako wanaomba ususe wale?
Maswali magumu yanahitaji Maamuzi magumu.
Chadema inataka reforms kabla ya uchaguzi.Nothing less.
Chadema haitaki handshake baada ya uchaguzi kama Raila na Ruto.
Chadema haitaki kupendelewa inataka kuchukuwa ubingwa kwenye uringo sio nje ya uringo.
Nadhani pia Chadema haitaki serikali ya nusu mkate.
Kwa msimamo huu Chadema inaonekana haina haraka ya kujiandaa uchaguzi kwasababu inajua matakwa yao hayatatekelezwa.
 
1. Lisu kusema kwa ukali na makeke hakutaitisha CCM. CCM ni waovu, hawatishwi na maneno!

2. Mama yuko agressive supreme of power! hatishiwi na maneno makali/kelele za juu kama za Heche na Lisu!
3. Watanzania mnaowategemea kushinikiza NO REFORMS, NO ELECTION, ili kuleta REFORMS, hawako kama mnavyowafikiria, bado kabisa kujitoa "mhanga" kutafuta haki!

SIKILIZA USHAURI:


View: https://www.youtube.com/watch?v=ANA3rytxn0Q

Erythrocyte please take note!

Mkimbizi hilo jinga, ajitoa mhanga yeye lofa limekimbia nchi wa kusikiliza?
 
Shida hata chadema wasiposhiriki uchaguzi ccm wataleta tule tuvyama twao tunavyofufuka kipindi cha uchaguz ili kudanganya dunia kuwa tz kuna uchaguzi wa vyama vingi... halafu hapo chadema wanakosa kila kitu no wabunge no nini then ccm wanaendelea na mambo yao kama 2020 tuu
Kwahiyo unataka CHADEMA ipoteze pesa kwa kitu ambacho hakipo? Ngoja washiriki wengine ....CHADEMA wakishiriki nitawaona punguani tu.
Lissu kwa mara ya mwanza anatembelea mawazo yangu, fikiria kwa mapana zaidi.
 
..kwa sasa hivi kususa na kushiriki kuna tofauti ndogo sana.

..Ukisusa matokeo ya asilimia 0%, wakati ukishiriki matokeo ni asilimia 0.07%.

..kwa upande mwingi Chadema hawajawahi kukusa, hakuna kipindi chochote chama kikubwa cha upinzani kimewahi kususia uchaguzi wa Tanganyika.

..mahali CCM wametufikisha ni bora Chadema wasusie. Kitendo hicho kinaweza kikawaathiri zaidi Chadema, lakini kikawa na faida kwa Watanzania walio wengi.
It needs a lot of intellectual debate!
 
Ngurumo amekuja kuja , ukilazimisha uchaguzi maana yake hu batili , ccm wamewekwa kwenye mtego mkubwa ,Makala hajui dunia
 
1. Lisu kusema kwa ukali na makeke hakutaitisha CCM. CCM ni waovu, hawatishwi na maneno!

2. Mama yuko agressive supreme of power! hatishiwi na maneno makali/kelele za juu kama za Heche na Lisu!
3. Watanzania mnaowategemea kushinikiza NO REFORMS, NO ELECTION, ili kuleta REFORMS, hawako kama mnavyowafikiria, bado kabisa kujitoa "mhanga" kutafuta haki!

SIKILIZA USHAURI:


View: https://www.youtube.com/watch?v=ANA3rytxn0Q

Erythrocyte please take note!

Chama kimebakwa
 
LISU WAS MY FAVORITE POLITICIAN! SINA UGOMVI NA LISU, NI ILE BEHAVIOUR YAKE KATIKA KAMPENI.
Hiki ndo kitu wengi hawakielewi!! Lissu na group lake wamejiharibia mno taswira kwa wapenzi. Nakumbuka mimi nilishiriki pamoja na yule mbunge wa Zanzibar kuhskikisha usafiri wa Lissu unapatikana aende Nairobi lakini kwa ushenzi aloonesha Lissu kwenye kampeni sijui nini kitanifanya nimuone tena wa maana!
 
1. Lisu kusema kwa ukali na makeke hakutaitisha CCM. CCM ni waovu, hawatishwi na maneno!

2. Mama yuko agressive supreme of power! hatishiwi na maneno makali/kelele za juu kama za Heche na Lisu!
3. Watanzania mnaowategemea kushinikiza NO REFORMS, NO ELECTION, ili kuleta REFORMS, hawako kama mnavyowafikiria, bado kabisa kujitoa "mhanga" kutafuta haki!

SIKILIZA USHAURI:


View: https://www.youtube.com/watch?v=ANA3rytxn0Q

Erythrocyte please take note!

Kamati kuu ya CHADEMA kabla hata Lissu hajashinda uenyekiti ilikosea kuweka hili azimio ambalo hata wao wanajua halitekelezeki.

Nchi hii nlliishasema huko nyuma nara kadhaa kuwa : hakuna nwanasiasa nwenye watu kwa sasa,hapa Tanzania zaidi ya kuwa na mashabiki wa key board tu. Zanani Maalim Seif na Nyerere ndio wakikuwa na watu ambao walikuwa wana uwezo wa kuwashawishi wakaingia barabarani.


Uchaguzi utafanyika tena bila rabsha; hakuna mfuasi wa CHADEMA hata viongozi ararisk kuzuia uchaguzi.

Hivyo CHADEMA watachelewa ,kujiandaa na uchaguzi kwa kuteua wagombea au hawatashiriki kabisa. ACT wao wamekuwa wajanja kwa sasa wanaandaa wagombea huku pia wakisema watashirikuana kuzuia uchaguzi maana yake ikishindikana kuzuia watashiriki na watakuwa hawajachelewa tofauti na CHADEMA.

Kauli hii No reform no election itadhihirika ni paper tiger na itashusha sana heshima ya CHADEMA na itaonekana wao ni watu wa maneno tu. Pi kauli zijazo za CHADEMA hazitatiliwa,maanani.

Lissu hakumbuki baada ya uchaguzi wa 2920 akiwahimiza wananchi kujitokeza barabarani na hawakutokea?


Kwa sasa vyama vingejikita kudai mambo haya ambayo ni rahisi serikaki kuyafanya.
1. Wagombea wa vyama wasikatwe hata kukiwa na kasoro muda utolewe kurekebisha kasoro.

2. Mawakala wa vyama wasiapishwe na DED bali wawe na barua ya utambulisho ya vyama vyao tu.

3. Uchaguzi usianze hadi mawakala wa vyama wawepo vituoni kama inajulikana kituo husika kina hao mawakala. Hii itazuia mawakala kufanyiwa figisu kuingia vituoni huku upigaji kura ukianza bila wao kuwepo.

4. Kura zihesabiwe vituoni, kila wakala apewe nakala ya matokeo iliyosainiwa na pia matokeo ya kila kituo yabandikwe katika hicho kituo.

Haya yakifanyika wapinzani watashinda baadhi ya maeneo kwa asilimia kati ya 30 - 45. CCM itashinda kati ya asilimia 55 - 70.

Natoa rai kwa CCM wasilazimishe ushindi wa asilimia 90, siku hizi wapiga kura wamegawanyika sana kimalengo hivyo haiwezekani tena chama kimoja kupata asilimia 90.

Hiki ndicho chanzo cha mtafaruku, mauaji na dhuluma zingine kwa wapinzani wao. Kwani CCM ikishinda kihalali kwa asilimia 55 kuna ubaya gani hadi muue raia wenzenu kisa mnatafuta ushindi wa asilimia 90?
 
Back
Top Bottom