othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Chama hakifi lisu ni mpinzani wa kweli sio kibaraka wa kushiriki chaguzi za kiini macho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waache washiriki hao act ni maamuzi yao lkn kumbuka no reforms no electionKamati kuu ya CHADEMA kabla hata Lissu hajashinda uenyekiti ilikosea kuweka hili azimio ambalo hata wao wanajua halitekelezeki.
Nchi hii nlliishasema huko nyuma nara kadhaa kuwa : hakuna nwanasiasa nwenye watu kwa sasa,hapa Tanzania zaidi ya kuwa na mashabiki wa key board tu. Zanani Maalim Seif na Nyerere ndio wakikuwa na watu ambao walikuwa wana uwezo wa kuwashawishi wakaingia barabarani.
Uchaguzi utafanyika tena bila rabsha; hakuna mfuasi wa CHADEMA hata viongozi ararisk kuzuia uchaguzi.
Hivyo CHADEMA watachelewa ,kujiandaa na uchaguzi kwa kuteua wagombea au hawatashiriki kabisa. ACT wao wamekuwa wajanja kwa sasa wanaandaa wagombea huku pia wakisema watashirikuana kuzuia uchaguzi maana yake ikishindikana kuzuia watashiriki na watakuwa hawajachelewa tofauti na CHADEMA.
Kauli hii No reform no election itadhihirika ni paper tiger na itashusha sana heshima ya CHADEMA na itaonekana wao ni watu wa maneno tu. Pi kauli zijazo za CHADEMA hazitatiliwa,maanani.
Lissu hakumbuki baada ya uchaguzi wa 2920 akiwahimiza wananchi kujitokeza barabarani na hawakutokea?
Kwa sasa vyama vingejikita kudai mambo haya ambayo ni rahisi serikaki kuyafanya.
1. Wagombea wa vyama wasikatwe hata kukiwa na kasoro muda utolewe kurekebisha kasoro.
2. Mawakaka wa vyama wasiapishwe na DED bali wawe na barua ya utambulisho ya vyama vyao tu.
3. Uchaguzi usianze hadi mawakala wa vyama wawepo vituoni kama inajulikana kitui husika kina hao mawakala. Hii itazuia mawakaka kufanyiwa figisu kuingia vituoni huku upigaji kura ukianza bila wao kuwepo.
4. Kura zihesabiwe vituoni, kila wakala apewe nakala ya matokeo iliyosainiwa na pia matokeo ya kila kituo yabandikwe katika hicho kituo.
Haya yakifanyika wapinzani watashinda baadhi ya maeneo kwa asilimia kati ya 30 - 45. CCM itashinda kati ya asilimia 55 - 70.
Natoa rai kwa CCM wasilazimishe ushindi wa asilimia 90, siku hizi wapiga kura wamegawanyika sana kimalengo hivyo haiwezekani tena chama kimoja kupata asilimia 90.
Hiki ndicho chanzo cha mtafaruku, mauaji na dhuluma zingine kwa wapinzani wao. Kwani CCM ikishinda kihalali kwa asilimia 55 kuna ubaya gani hadi muue raia wenzenu kisa mnatafuta ushindi wa asilimia 90?
Nyoo eti nilishiriki .kwendraaHiki ndo kitu wengi hawakielewi!! Lissu na group lake wamejiharibia mno taswira kwa wapenzi. Nakumbuka mimi nilishiriki pamoja na yule mbunge wa Zanzibar kuhskikisha usafiri wa Lissu unapatikana aende Nairobi lakini kwa ushenzi aloonesha Lissu kwenye kampeni sijui nini kitanifanya nimuone tena wa maana!
Is this not part of the claimed reform?Kamati kuu ya CHADEMA kabla hata Lissu hajashinda uenyekiti ilikosea kuweka hili azimio ambalo hata wao wanajua halitekelezeki.
Nchi hii nlliishasema huko nyuma nara kadhaa kuwa : hakuna nwanasiasa nwenye watu kwa sasa,hapa Tanzania zaidi ya kuwa na mashabiki wa key board tu. Zanani Maalim Seif na Nyerere ndio wakikuwa na watu ambao walikuwa wana uwezo wa kuwashawishi wakaingia barabarani.
Uchaguzi utafanyika tena bila rabsha; hakuna mfuasi wa CHADEMA hata viongozi ararisk kuzuia uchaguzi.
Hivyo CHADEMA watachelewa ,kujiandaa na uchaguzi kwa kuteua wagombea au hawatashiriki kabisa. ACT wao wamekuwa wajanja kwa sasa wanaandaa wagombea huku pia wakisema watashirikuana kuzuia uchaguzi maana yake ikishindikana kuzuia watashiriki na watakuwa hawajachelewa tofauti na CHADEMA.
Kauli hii No reform no election itadhihirika ni paper tiger na itashusha sana heshima ya CHADEMA na itaonekana wao ni watu wa maneno tu. Pi kauli zijazo za CHADEMA hazitatiliwa,maanani.
Lissu hakumbuki baada ya uchaguzi wa 2920 akiwahimiza wananchi kujitokeza barabarani na hawakutokea?
Kwa sasa vyama vingejikita kudai mambo haya ambayo ni rahisi serikaki kuyafanya.
1. Wagombea wa vyama wasikatwe hata kukiwa na kasoro muda utolewe kurekebisha kasoro.
2. Mawakaka wa vyama wasiapishwe na DED bali wawe na barua ya utambulisho ya vyama vyao tu.
3. Uchaguzi usianze hadi mawakala wa vyama wawepo vituoni kama inajulikana kitui husika kina hao mawakala. Hii itazuia mawakaka kufanyiwa figisu kuingia vituoni huku upigaji kura ukianza bila wao kuwepo.
4. Kura zihesabiwe vituoni, kila wakala apewe nakala ya matokeo iliyosainiwa na pia matokeo ya kila kituo yabandikwe katika hicho kituo.
Haya yakifanyika wapinzani watashinda baadhi ya maeneo kwa asilimia kati ya 30 - 45. CCM itashinda kati ya asilimia 55 - 70.
Natoa rai kwa CCM wasilazimishe ushindi wa asilimia 90, siku hizi wapiga kura wamegawanyika sana kimalengo hivyo haiwezekani tena chama kimoja kupata asilimia 90.
Hiki ndicho chanzo cha mtafaruku, mauaji na dhuluma zingine kwa wapinzani wao. Kwani CCM ikishinda kihalali kwa asilimia 55 kuna ubaya gani hadi muue raia wenzenu kisa mnatafuta ushindi wa asilimia 90?
1. Lisu kusema kwa ukali na makeke hakutaitisha CCM. CCM ni waovu, hawatishwi na maneno!
2. Mama yuko agressive supreme of power! hatishiwi na maneno makali/kelele za juu kama za Heche na Lisu!
3. Watanzania mnaowategemea kushinikiza NO REFORMS, NO ELECTION, ili kuleta REFORMS, hawako kama mnavyowafikiria, bado kabisa kujitoa "mhanga" kutafuta haki!
SIKILIZA USHAURI:
View: https://www.youtube.com/watch?v=ANA3rytxn0Q
Erythrocyte please take note!
1. Lisu kusema kwa ukali na makeke hakutaitisha CCM. CCM ni waovu, hawatishwi na maneno!
2. Mama yuko agressive supreme of power! hatishiwi na maneno makali/kelele za juu kama za Heche na Lisu!
3. Watanzania mnaowategemea kushinikiza NO REFORMS, NO ELECTION, ili kuleta REFORMS, hawako kama mnavyowafikiria, bado kabisa kujitoa "mhanga" kutafuta haki!
SIKILIZA USHAURI:
View: https://www.youtube.com/watch?v=ANA3rytxn0Q
Erythrocyte please take note!
1. Lisu kusema kwa ukali na makeke hakutaitisha CCM. CCM ni waovu, hawatishwi na maneno!
2. Mama yuko agressive supreme of power! hatishiwi na maneno makali/kelele za juu kama za Heche na Lisu!
3. Watanzania mnaowategemea kushinikiza NO REFORMS, NO ELECTION, ili kuleta REFORMS, hawako kama mnavyowafikiria, bado kabisa kujitoa "mhanga" kutafuta haki!
SIKILIZA USHAURI:
View: https://www.youtube.com/watch?v=ANA3rytxn0Q
Erythrocyte please take note!
Corret, CCM ni mashetani, haaogopi thambi maana dhambi ndyo maji yao ya uhai! TUFANYE NINI?
SWALI GUMU SANA. ANY OPTION ITAKUWA CONFRONTED NA POLISI, JESHI , UTEKAJI AND THE LIKE! TUFANYE NINI?
Ndio,waendelee na uto tuvyama kwani kuna tabu gani?,na CDM itaendelea na shughuli zake kama kawaida.Shida hata chadema wasiposhiriki uchaguzi ccm wataleta tule tuvyama twao tunavyofufuka kipindi cha uchaguz ili kudanganya dunia kuwa tz kuna uchaguzi wa vyama vingi... halafu hapo chadema wanakosa kila kitu no wabunge no nini then ccm wanaendelea na mambo yao kama 2020 tuu
Malaya hawezi kupata akili ya kufanya analysis ya siasa….. hizi hoja si sawa na zile za kujadili size ya mishededeNyoo eti nilishiriki .kwendraa
Nonsense. Jadili mada.Ngurumo mkewe ni Mchagga Ndio sababu Dr Lilian alimuajiri Ansbert kuwa Mhariri wa gazeti lake la Tanzania Daima 🐼
Kwenda huko hebu tafuta tusi jingine mxiewwwwMalaya hawezi kupata akili ya kufanya analysis ya siasa….. hizi hoja si sawa na zile za kujadili size ya mishedede
1. Lisu kusema kwa ukali na makeke hakutaitisha CCM. CCM ni waovu, hawatishwi na maneno!
2. Mama yuko agressive supreme of power! hatishiwi na maneno makali/kelele za juu kama za Heche na Lisu!
3. Watanzania mnaowategemea kushinikiza NO REFORMS, NO ELECTION, ili kuleta REFORMS, hawako kama mnavyowafikiria, bado kabisa kujitoa "mhanga" kutafuta haki!
SIKILIZA USHAURI:
View: https://www.youtube.com/watch?v=ANA3rytxn0Q
Erythrocyte please take note!
Ndio maana nawashauri Chadema kumpuuza Ansbert Ngurumo anaetaka kuwaondoa Chadema toka kwenye njia yao sahihi ya kuwapatia wananchi haki yao. Uchaguzi bila basic reforms ni kucheza singeli ya ccm tu!Hii kauli mbiu mbona ilitangazwa na Mbowe!! Lissu anaingiaje? Kingine ni mjinga tu atakubali kuingia kwenye uchaguzi ambao unajua utashindwa.
Hawa ndio wale wale wachumia tumbo! Haki ya mtu hupiganiwa Hailetwi mezani kama Sinia la pilau; sacrifices must be made. Kama huwezi kaa kando. Afadhali kufia kwenye frontline kuliko kufa kitandani na malaria.Naunga mkono hoja hiki ni kichwa!.
P
Teh teh teh malaya hawanaga aibu aiseeh!!Kwenda huko hebu tafuta tusi jingine mxiewwww
Is bare headed person, kama wewe unamuona good point of reference!!! Utakuwa ni kituko na kichekesho.Una hoja gani tofauti na zake? Lete tusikilize.
Ni the commedy kama BAMBO MTANGA, SENGA, MkojaniSOMA POST #15
Una hoja gani tofauti na zake? Karibu tukusikilize….Is bare headed person, kama wewe unamuona good point of reference!!! Utakuwa ni kituko na kichekesho.
Kwangu Ngurumo Ansbert ni the commedy kama BAMBO, Mkojani au SENGA.