Tundu Lissu na CHADEMA kama chama, sikiliza ushauri huu wa Ansbert Ngurumo

Tundu Lissu na CHADEMA kama chama, sikiliza ushauri huu wa Ansbert Ngurumo

Kamati kuu ya CHADEMA kabla hata Lissu hajashinda uenyekiti ilikosea kuweka hili azimio ambalo hata wao wanajua halitekelezeki.

Nchi hii nlliishasema huko nyuma nara kadhaa kuwa : hakuna nwanasiasa nwenye watu kwa sasa,hapa Tanzania zaidi ya kuwa na mashabiki wa key board tu. Zanani Maalim Seif na Nyerere ndio wakikuwa na watu ambao walikuwa wana uwezo wa kuwashawishi wakaingia barabarani.


Uchaguzi utafanyika tena bila rabsha; hakuna mfuasi wa CHADEMA hata viongozi ararisk kuzuia uchaguzi.

Hivyo CHADEMA watachelewa ,kujiandaa na uchaguzi kwa kuteua wagombea au hawatashiriki kabisa. ACT wao wamekuwa wajanja kwa sasa wanaandaa wagombea huku pia wakisema watashirikuana kuzuia uchaguzi maana yake ikishindikana kuzuia watashiriki na watakuwa hawajachelewa tofauti na CHADEMA.

Kauli hii No reform no election itadhihirika ni paper tiger na itashusha sana heshima ya CHADEMA na itaonekana wao ni watu wa maneno tu. Pi kauli zijazo za CHADEMA hazitatiliwa,maanani.

Lissu hakumbuki baada ya uchaguzi wa 2920 akiwahimiza wananchi kujitokeza barabarani na hawakutokea?


Kwa sasa vyama vingejikita kudai mambo haya ambayo ni rahisi serikaki kuyafanya.
1. Wagombea wa vyama wasikatwe hata kukiwa na kasoro muda utolewe kurekebisha kasoro.

2. Mawakaka wa vyama wasiapishwe na DED bali wawe na barua ya utambulisho ya vyama vyao tu.

3. Uchaguzi usianze hadi mawakala wa vyama wawepo vituoni kama inajulikana kitui husika kina hao mawakala. Hii itazuia mawakaka kufanyiwa figisu kuingia vituoni huku upigaji kura ukianza bila wao kuwepo.

4. Kura zihesabiwe vituoni, kila wakala apewe nakala ya matokeo iliyosainiwa na pia matokeo ya kila kituo yabandikwe katika hicho kituo.

Haya yakifanyika wapinzani watashinda baadhi ya maeneo kwa asilimia kati ya 30 - 45. CCM itashinda kati ya asilimia 55 - 70.

Natoa rai kwa CCM wasilazimishe ushindi wa asilimia 90, siku hizi wapiga kura wamegawanyika sana kimalengo hivyo haiwezekani tena chama kimoja kupata asilimia 90.

Hiki ndicho chanzo cha mtafaruku, mauaji na dhuluma zingine kwa wapinzani wao. Kwani CCM ikishinda kihalali kwa asilimia 55 kuna ubaya gani hadi muue raia wenzenu kisa mnatafuta ushindi wa asilimia 90?
Waache washiriki hao act ni maamuzi yao lkn kumbuka no reforms no election
 
Hiki ndo kitu wengi hawakielewi!! Lissu na group lake wamejiharibia mno taswira kwa wapenzi. Nakumbuka mimi nilishiriki pamoja na yule mbunge wa Zanzibar kuhskikisha usafiri wa Lissu unapatikana aende Nairobi lakini kwa ushenzi aloonesha Lissu kwenye kampeni sijui nini kitanifanya nimuone tena wa maana!
Nyoo eti nilishiriki .kwendraa
 
Kamati kuu ya CHADEMA kabla hata Lissu hajashinda uenyekiti ilikosea kuweka hili azimio ambalo hata wao wanajua halitekelezeki.

Nchi hii nlliishasema huko nyuma nara kadhaa kuwa : hakuna nwanasiasa nwenye watu kwa sasa,hapa Tanzania zaidi ya kuwa na mashabiki wa key board tu. Zanani Maalim Seif na Nyerere ndio wakikuwa na watu ambao walikuwa wana uwezo wa kuwashawishi wakaingia barabarani.


Uchaguzi utafanyika tena bila rabsha; hakuna mfuasi wa CHADEMA hata viongozi ararisk kuzuia uchaguzi.

Hivyo CHADEMA watachelewa ,kujiandaa na uchaguzi kwa kuteua wagombea au hawatashiriki kabisa. ACT wao wamekuwa wajanja kwa sasa wanaandaa wagombea huku pia wakisema watashirikuana kuzuia uchaguzi maana yake ikishindikana kuzuia watashiriki na watakuwa hawajachelewa tofauti na CHADEMA.

Kauli hii No reform no election itadhihirika ni paper tiger na itashusha sana heshima ya CHADEMA na itaonekana wao ni watu wa maneno tu. Pi kauli zijazo za CHADEMA hazitatiliwa,maanani.

Lissu hakumbuki baada ya uchaguzi wa 2920 akiwahimiza wananchi kujitokeza barabarani na hawakutokea?


Kwa sasa vyama vingejikita kudai mambo haya ambayo ni rahisi serikaki kuyafanya.
1. Wagombea wa vyama wasikatwe hata kukiwa na kasoro muda utolewe kurekebisha kasoro.

2. Mawakaka wa vyama wasiapishwe na DED bali wawe na barua ya utambulisho ya vyama vyao tu.

3. Uchaguzi usianze hadi mawakala wa vyama wawepo vituoni kama inajulikana kitui husika kina hao mawakala. Hii itazuia mawakaka kufanyiwa figisu kuingia vituoni huku upigaji kura ukianza bila wao kuwepo.

4. Kura zihesabiwe vituoni, kila wakala apewe nakala ya matokeo iliyosainiwa na pia matokeo ya kila kituo yabandikwe katika hicho kituo.

Haya yakifanyika wapinzani watashinda baadhi ya maeneo kwa asilimia kati ya 30 - 45. CCM itashinda kati ya asilimia 55 - 70.

Natoa rai kwa CCM wasilazimishe ushindi wa asilimia 90, siku hizi wapiga kura wamegawanyika sana kimalengo hivyo haiwezekani tena chama kimoja kupata asilimia 90.

Hiki ndicho chanzo cha mtafaruku, mauaji na dhuluma zingine kwa wapinzani wao. Kwani CCM ikishinda kihalali kwa asilimia 55 kuna ubaya gani hadi muue raia wenzenu kisa mnatafuta ushindi wa asilimia 90?
Is this not part of the claimed reform?
 
1. Lisu kusema kwa ukali na makeke hakutaitisha CCM. CCM ni waovu, hawatishwi na maneno!

2. Mama yuko agressive supreme of power! hatishiwi na maneno makali/kelele za juu kama za Heche na Lisu!
3. Watanzania mnaowategemea kushinikiza NO REFORMS, NO ELECTION, ili kuleta REFORMS, hawako kama mnavyowafikiria, bado kabisa kujitoa "mhanga" kutafuta haki!

SIKILIZA USHAURI:


View: https://www.youtube.com/watch?v=ANA3rytxn0Q

Erythrocyte please take note!

Hilo linaeleweka na Mimi nilishauri mengi tu, Lakini iko njia.
 
1. Lisu kusema kwa ukali na makeke hakutaitisha CCM. CCM ni waovu, hawatishwi na maneno!

2. Mama yuko agressive supreme of power! hatishiwi na maneno makali/kelele za juu kama za Heche na Lisu!
3. Watanzania mnaowategemea kushinikiza NO REFORMS, NO ELECTION, ili kuleta REFORMS, hawako kama mnavyowafikiria, bado kabisa kujitoa "mhanga" kutafuta haki!

SIKILIZA USHAURI:


View: https://www.youtube.com/watch?v=ANA3rytxn0Q

Erythrocyte please take note!

Ngurumo hana jipya kila alichokiongea wapenda mabadiko walisha yamaliza yote kwa kuyaongea hapa jf , Ngurumo ni mviziaji kama waviziaji wengine tu kwenye nchi na kwenye vyama vyetu
 
Absolutely true
1. Lisu kusema kwa ukali na makeke hakutaitisha CCM. CCM ni waovu, hawatishwi na maneno!

2. Mama yuko agressive supreme of power! hatishiwi na maneno makali/kelele za juu kama za Heche na Lisu!
3. Watanzania mnaowategemea kushinikiza NO REFORMS, NO ELECTION, ili kuleta REFORMS, hawako kama mnavyowafikiria, bado kabisa kujitoa "mhanga" kutafuta haki!

SIKILIZA USHAURI:


View: https://www.youtube.com/watch?v=ANA3rytxn0Q

Erythrocyte please take note!
 
Yaani WaTz tuache kula kiporo cha wali maharage tujitoe muhanga kwajil ya watu wajinga wajinga wapiga makelele kama Lissu na Heche 🤣💩
Aisee ni kweli hatuipendi ccm ila acha tu iendelee kutawala, nchi haiwez kuongozwa na wahuni washamba kama chadema
 
Corret, CCM ni mashetani, haaogopi thambi maana dhambi ndyo maji yao ya uhai! TUFANYE NINI?
SWALI GUMU SANA. ANY OPTION ITAKUWA CONFRONTED NA POLISI, JESHI , UTEKAJI AND THE LIKE! TUFANYE NINI?

..hata ACT Wazalendo kuna uwezekano wakasusia uchaguzi, au wakauzuia kwasababu wao kwa upande wa Zanzibar hawana uoga.

..kuna suala la " KURA YA MAPEMA " ambayo ni jambo linalobishaniwa vikali sana Zanzibar.

..Ni bahati mbaya Watanganyika hatufuatilii siasa za Zanzibar, lakini kuna kauli ngumu sana za kupinga uchaguzi, na kudai mamlaka kamili kwa Zanzibar, zinatolewa na viongozi wa ACT.

..Wakati tukiwabeza na kuwalaumu Chadema, nina wasiwasi ACT watakuja kutushtukiza maamuzi magumu.
 
Shida hata chadema wasiposhiriki uchaguzi ccm wataleta tule tuvyama twao tunavyofufuka kipindi cha uchaguz ili kudanganya dunia kuwa tz kuna uchaguzi wa vyama vingi... halafu hapo chadema wanakosa kila kitu no wabunge no nini then ccm wanaendelea na mambo yao kama 2020 tuu
Ndio,waendelee na uto tuvyama kwani kuna tabu gani?,na CDM itaendelea na shughuli zake kama kawaida.
 
1. Lisu kusema kwa ukali na makeke hakutaitisha CCM. CCM ni waovu, hawatishwi na maneno!

2. Mama yuko agressive supreme of power! hatishiwi na maneno makali/kelele za juu kama za Heche na Lisu!
3. Watanzania mnaowategemea kushinikiza NO REFORMS, NO ELECTION, ili kuleta REFORMS, hawako kama mnavyowafikiria, bado kabisa kujitoa "mhanga" kutafuta haki!

SIKILIZA USHAURI:


View: https://www.youtube.com/watch?v=ANA3rytxn0Q

Erythrocyte please take note!

Naunga mkono hoja hiki ni kichwa!.
Chadema kama inataka mabadiliko ya kweli, lazima ijifunze kukubali kupokea ushauri na kuuchakata, ikiona ni ushauri wa maana, kiutumie.

Mimi nimeisha wasaidia sana Chadema kwa kuwashauri,
P.
 
Hii kauli mbiu mbona ilitangazwa na Mbowe!! Lissu anaingiaje? Kingine ni mjinga tu atakubali kuingia kwenye uchaguzi ambao unajua utashindwa.
Ndio maana nawashauri Chadema kumpuuza Ansbert Ngurumo anaetaka kuwaondoa Chadema toka kwenye njia yao sahihi ya kuwapatia wananchi haki yao. Uchaguzi bila basic reforms ni kucheza singeli ya ccm tu!
 
Naunga mkono hoja hiki ni kichwa!.
P
Hawa ndio wale wale wachumia tumbo! Haki ya mtu hupiganiwa Hailetwi mezani kama Sinia la pilau; sacrifices must be made. Kama huwezi kaa kando. Afadhali kufia kwenye frontline kuliko kufa kitandani na malaria.
Kwa Hali ilivyo sasa, vijana wengi wamekata tamaa kwani Hawaoni tofauti kati ya kuishi na kifo! Ccm
Watawadanganya vijana wachache kwa propaganda za wasanii kwani hawana kujitambua ; lakini kwa wale maelfu ya vijana waliojitambua Hawatadanganywa kwa kupewa T shirts za kijana bali wanataka mabadiliko ya msingi katika maisha yao hata baada ya uchaguzi. Hawa ndio watakaoikomboa nchi!
 
Una hoja gani tofauti na zake? Lete tusikilize.
Is bare headed person, kama wewe unamuona good point of reference!!! Utakuwa ni kituko na kichekesho.

Kwangu Ngurumo Ansbert ni the commedy kama BAMBO, Mkojani au SENGA.
 
Is bare headed person, kama wewe unamuona good point of reference!!! Utakuwa ni kituko na kichekesho.

Kwangu Ngurumo Ansbert ni the commedy kama BAMBO, Mkojani au SENGA.
Una hoja gani tofauti na zake? Karibu tukusikilize….
 
Back
Top Bottom