Uchaguzi 2020 Tundu Lissu na Dkt. Magufuli wajiandae kisaikolojia, lolote linaweza kutokea

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu na Dkt. Magufuli wajiandae kisaikolojia, lolote linaweza kutokea

Na: George Kabadi

Nimekuwa miongoni mwa wafuatiliaji wazuri wa kampeni za mwaka huu 2020, Naomba kupigana moja kwa moja na hoja za watu wanaodai uchaguzi wa mwaka huu siyo mgumu kama ule wa mwaka 2015. Napigana nao kwa sababu kuu mbili.

MOSI, Uchaguzi wa 2015, Edward Lowassa alikuwa na watu wengi lakini hakuwa bora, hivyo siasa ya 2015 ilikuwa siasa ya upepo usio na mikakati.

PILI, Lowassa alibebwa na nguvu ya umaarufu kwa maana hata wasio wapiga kura waliohudhuria kampeni zake.

Tofauti kubwa iliyopo katika uchaguzi wa mwaka huu na uchaguzi uliopita, ni kuwa Mgombea wa CCM, ni Mgombea ambaye tayari jamii ishauona Mwelekeo wake, na Mgombea wa Upinzani ni Mgombea halisi zao halisi la upinzani.

Tazama kampeni za Tundu Lissu, na tazama kampeni za John Magufuli utagundua kuwa kuna Mgombea Urais anaongea na wananchi na kuna Mgombea Urais anawafokea wananchi.

Kuna mapungufu mengi kwa Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi kuliko Mgombea Urais wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema, nalisema hili bila kificho.

Baada ya TUME YA UCHAGUZI kuidhinisha Wagombea 15 wa kiti cha Urais wa JMT, kwa tiketi ya vyama mbalimbali, kadri muda unavyozidi kwenda ni vyama viwili tu ndiyo vimeonyesha nia ya kushika hatamu, nadhani wengine wamekata moto, sasa ni Chama Cha Mapinduzi-CCM na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema.

Wakati chama Cha Mapinduzi kikijinandi kuwa Mgombea wake ametekeleza mambo mengi katika Uongozi wake wa serikali ya awamu ya tano, chagamoto za uhalisia wa maisha ya mtanzania, bado zinamhukumu hivyo hana budi kukubaliana na chagamoto nyingi atakazo kutana nazo katika kampeni zake, kuna makosa mengi na mara kwa mara yamekuwa yakijirudia, sifahamu ni kwa nini, ama Chama cha Mapinduzi hakina meneja kampeni?

Sifahamu! kwa maana Mgombea wa chama hicho akikosa ubunifu pindi anapokuwa jukwaani na kujikuta akitoa matamko badala ya kumwaga sera. Binafsi hukuona haja ya Dr Magufuli kujibu hoja ya Tundu Lissu kuhusu vitambulisho vya wamachinga.

Jibu alilolitoa ni mtihani kwake mwenyewe, unaposema vitambulisho vya wamachinga havina maana wakati wewe ndiye uliyevitoa unatoa mwanya wa mpinzani wako kukuhoji zaidi.

Najaribu kufikri Mgombea wa CCM anapowaambia wananchi, wakimchagua Mbunge wa Upinzani hatowapelekea maendeleo.
Lakujiuliza hapa ivi CCM wanashindwa kumkanya Mgombea wao kuwa tuko kwenye nchi ya Demokrasia? Watanzania wananahaki ya kumchangua kiongozi wamtakaye na Maendeleo ni haki ya kila mwananchi kwa sababu ndiye mlipa kodi?

Nasema kauli, kauli, kauli, kauli za namna hiyo ni ishara ya kiongozi kushindwa

Upande wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema, chagamoto yao kubwa ni watu wanaomzunguka Mgombea, ni watu wanaoendeshwa na hulka, kinachoibeba Chadema ni uwezo binafsi wa Mgombea kucheza na akili ya wananchi na mpinzani wake wa karibu.

Akili ya Tundu Lissu inaufanya uchaguzi uwe mgumu, kukosekana kwa fikra mpya ndani ya Chama cha Mapinduzi, kunatoa mwanya kwa Lissu kulitawala jukwaa atakavyo katika kampeni, naweza kusema Tundu Lissu yuko kwenye ubora wa kimataifa

Kinachompa chagamoto Dr Magufuli ni yeye kuamini ndiye anaweza kuliko watu wanaomzunguka, sijui kwanini Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Dr Bashiru anashindwa, kutengeneza muunganiko wa jamii moja ndani ya Chama kimoja ili kutuliza hali ya hewa.

Ikiwa hali itaendelea hivi Dr Magufuli ajiandae kisaikolojia, kushindwa kwa 49% au kushinda kwa 51% huenda akaipoteza Ikulu, na Tundu Lissu ajiandae kushindwa kwa 49% au kushinda kwa 51%

Kitendo cha Dr Magufuli kushindwa kuwapa hamasa watu wa Bukoba wakati wa tetemeko la aridhi kumempunguzia kura za kanda ya Ziwa, na kuendelea kudhani watanzania bado ni jamii ya kuendeshwa huenda kukamtia katika promoko la karne.

Kabla ya 28 October 2020 anapaswa awaunganishe wana CCM, ambao hadi sasa wamepasuka, idadi kubwa ya viongozi wa ngazi za juu ndani ya CCM hawamuungi mkono Dr Magufuli, Japokuwa machoni wanampa tabasamu huku nyuma wanamchinja.
Kabla hata ya wapiga kura million 29,188,347 hawamchinja.

Huu ni mtazamo na hoja yangu, binafsi naona.

"Kuna Mgombea Urais anaongea na wananchi, kuna Mgombea Urais anawafokea wananchi"

Sijui mtazamo wako!

Kalamu Ya Mwebrania
Na: George Kabadi
MgombeaUrais2035
Anachokosea mgombea wa CCM ni kudhani wananchi wanastahili kutishwa ilihali yeye yupo ikulu anakula, kuvishwa, kulindwa, kutibiwa n.k kwa kodi za wananchi hao hao, alipaswa aendeshe nchi kama nchi na sio kama familia yake.

Leo ni kipindi cha kampeni lakini ukimsikia kwenye majukwaa unagundua kabisa kwamba hakujianda vizuri kisera nadhani ni kutokana na kudanganyika kwamba huenda upinzani ungekuwa umekufa kifo cha mende kumbe ndo ameupalilia na kuuwekea mbolea ya kuuotesha vizuri kwa wakulima tunasema ameweka DAP.

Kutokana na hali halisi anayoiona ndo anakumbuka shuka kumekucha kwa hiyo anakosa mbinu za kiplomasia za kushawishi wapiga kura na kuomba radhi pale aliposhindwa kutekeleza anabaki kuongea kwa jaziba za waziwazi sawa na simba aliejeruhiwa.
 
Na: George Kabadi

Nimekuwa miongoni mwa wafuatiliaji wazuri wa kampeni za mwaka huu 2020, Naomba kupigana moja kwa moja na hoja za watu wanaodai uchaguzi wa mwaka huu siyo mgumu kama ule wa mwaka 2015. Napigana nao kwa sababu kuu mbili.

MOSI, Uchaguzi wa 2015, Edward Lowassa alikuwa na watu wengi lakini hakuwa bora, hivyo siasa ya 2015 ilikuwa siasa ya upepo usio na mikakati.

PILI, Lowassa alibebwa na nguvu ya umaarufu kwa maana hata wasio wapiga kura waliohudhuria kampeni zake.

Tofauti kubwa iliyopo katika uchaguzi wa mwaka huu na uchaguzi uliopita, ni kuwa Mgombea wa CCM, ni Mgombea ambaye tayari jamii ishauona Mwelekeo wake, na Mgombea wa Upinzani ni Mgombea halisi zao halisi la upinzani.

Tazama kampeni za Tundu Lissu, na tazama kampeni za John Magufuli utagundua kuwa kuna Mgombea Urais anaongea na wananchi na kuna Mgombea Urais anawafokea wananchi.

Kuna mapungufu mengi kwa Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi kuliko Mgombea Urais wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema, nalisema hili bila kificho.

Baada ya TUME YA UCHAGUZI kuidhinisha Wagombea 15 wa kiti cha Urais wa JMT, kwa tiketi ya vyama mbalimbali, kadri muda unavyozidi kwenda ni vyama viwili tu ndiyo vimeonyesha nia ya kushika hatamu, nadhani wengine wamekata moto, sasa ni Chama Cha Mapinduzi-CCM na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema.

Wakati chama Cha Mapinduzi kikijinandi kuwa Mgombea wake ametekeleza mambo mengi katika Uongozi wake wa serikali ya awamu ya tano, chagamoto za uhalisia wa maisha ya mtanzania, bado zinamhukumu hivyo hana budi kukubaliana na chagamoto nyingi atakazo kutana nazo katika kampeni zake, kuna makosa mengi na mara kwa mara yamekuwa yakijirudia, sifahamu ni kwa nini, ama Chama cha Mapinduzi hakina meneja kampeni?

Sifahamu! kwa maana Mgombea wa chama hicho akikosa ubunifu pindi anapokuwa jukwaani na kujikuta akitoa matamko badala ya kumwaga sera. Binafsi hukuona haja ya Dr Magufuli kujibu hoja ya Tundu Lissu kuhusu vitambulisho vya wamachinga.

Jibu alilolitoa ni mtihani kwake mwenyewe, unaposema vitambulisho vya wamachinga havina maana wakati wewe ndiye uliyevitoa unatoa mwanya wa mpinzani wako kukuhoji zaidi.

Najaribu kufikri Mgombea wa CCM anapowaambia wananchi, wakimchagua Mbunge wa Upinzani hatowapelekea maendeleo.
Lakujiuliza hapa ivi CCM wanashindwa kumkanya Mgombea wao kuwa tuko kwenye nchi ya Demokrasia? Watanzania wananahaki ya kumchangua kiongozi wamtakaye na Maendeleo ni haki ya kila mwananchi kwa sababu ndiye mlipa kodi?

Nasema kauli, kauli, kauli, kauli za namna hiyo ni ishara ya kiongozi kushindwa

Upande wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema, chagamoto yao kubwa ni watu wanaomzunguka Mgombea, ni watu wanaoendeshwa na hulka, kinachoibeba Chadema ni uwezo binafsi wa Mgombea kucheza na akili ya wananchi na mpinzani wake wa karibu.

Akili ya Tundu Lissu inaufanya uchaguzi uwe mgumu, kukosekana kwa fikra mpya ndani ya Chama cha Mapinduzi, kunatoa mwanya kwa Lissu kulitawala jukwaa atakavyo katika kampeni, naweza kusema Tundu Lissu yuko kwenye ubora wa kimataifa

Kinachompa chagamoto Dr Magufuli ni yeye kuamini ndiye anaweza kuliko watu wanaomzunguka, sijui kwanini Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Dr Bashiru anashindwa, kutengeneza muunganiko wa jamii moja ndani ya Chama kimoja ili kutuliza hali ya hewa.

Ikiwa hali itaendelea hivi Dr Magufuli ajiandae kisaikolojia, kushindwa kwa 49% au kushinda kwa 51% huenda akaipoteza Ikulu, na Tundu Lissu ajiandae kushindwa kwa 49% au kushinda kwa 51%

Kitendo cha Dr Magufuli kushindwa kuwapa hamasa watu wa Bukoba wakati wa tetemeko la aridhi kumempunguzia kura za kanda ya Ziwa, na kuendelea kudhani watanzania bado ni jamii ya kuendeshwa huenda kukamtia katika promoko la karne.

Kabla ya 28 October 2020 anapaswa awaunganishe wana CCM, ambao hadi sasa wamepasuka, idadi kubwa ya viongozi wa ngazi za juu ndani ya CCM hawamuungi mkono Dr Magufuli, Japokuwa machoni wanampa tabasamu huku nyuma wanamchinja.
Kabla hata ya wapiga kura million 29,188,347 hawamchinja.

Huu ni mtazamo na hoja yangu, binafsi naona.

"Kuna Mgombea Urais anaongea na wananchi, kuna Mgombea Urais anawafokea wananchi"

Sijui mtazamo wako!

Kalamu Ya Mwebrania
Na: George Kabadi
MgombeaUrais2035

Nisikukatishe tamaa ila nadhani humjui Lowasa vizuri, anyway! Kulinganisha uchaguzi wa 2015 na huu wa saahv wala sio kazi ngumu,
wala haihitaji maelezo mengi msikilize mgombea mwenyewe utajua mwaka huu wanatoka na asilimia ngapi
 
1601150094522.png
 
Bado,tena bado sana kwa upinzani kuitoa madarakani CCM.
kuna wapiga kura wengi sana mijini na vijijini ambao bado hawajafikiwa na ushawishi wa kubadilika na kuwa wapinzani na wakakubali,watu wanamna hii wapo wengi hasa vijijini.

hata nguvu ya upinzani mijini inaonekana kwa hamasa na mlipuko wa muda mchache tu kwenye mikutano ama mapokezi.
Ili ushindi upatikane kunamipango nje ya juu ya jukwaa la kampeni na mapokezi ya mgombea, jambo ambalo wapinzani wamepwaya sana.

Viongozi wa vijiji na wenyeviti wa mitaa (kwa sasa hawa wote ni wa CCM)ni angle mojawapo nzuri sana ya kufanikisha mikakati ya ushindi kwakuwa wanaijua vizuri jografia ya mitaa/vijiji pamoja na kuwatambua watu wao.
mengine sitosema kiundani zaidi hayo machache yanatosha kuipa ushindi wa kimbunga CCM.
JPM mitano tena,ushindi mwaka huu zaidi ya 90%
 
  • Thanks
Reactions: 120
Na: George Kabadi

Nimekuwa miongoni mwa wafuatiliaji wazuri wa kampeni za mwaka huu 2020, Naomba kupigana moja kwa moja na hoja za watu wanaodai uchaguzi wa mwaka huu siyo mgumu kama ule wa mwaka 2015. Napigana nao kwa sababu kuu mbili.

MOSI, Uchaguzi wa 2015, Edward Lowassa alikuwa na watu wengi lakini hakuwa bora, hivyo siasa ya 2015 ilikuwa siasa ya upepo usio na mikakati.

PILI, Lowassa alibebwa na nguvu ya umaarufu kwa maana hata wasio wapiga kura waliohudhuria kampeni zake.

Tofauti kubwa iliyopo katika uchaguzi wa mwaka huu na uchaguzi uliopita, ni kuwa Mgombea wa CCM, ni Mgombea ambaye tayari jamii ishauona Mwelekeo wake, na Mgombea wa Upinzani ni Mgombea halisi zao halisi la upinzani.

Tazama kampeni za Tundu Lissu, na tazama kampeni za John Magufuli utagundua kuwa kuna Mgombea Urais anaongea na wananchi na kuna Mgombea Urais anawafokea wananchi.

Kuna mapungufu mengi kwa Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi kuliko Mgombea Urais wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema, nalisema hili bila kificho.

Baada ya TUME YA UCHAGUZI kuidhinisha Wagombea 15 wa kiti cha Urais wa JMT, kwa tiketi ya vyama mbalimbali, kadri muda unavyozidi kwenda ni vyama viwili tu ndiyo vimeonyesha nia ya kushika hatamu, nadhani wengine wamekata moto, sasa ni Chama Cha Mapinduzi-CCM na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema.

Wakati chama Cha Mapinduzi kikijinandi kuwa Mgombea wake ametekeleza mambo mengi katika Uongozi wake wa serikali ya awamu ya tano, chagamoto za uhalisia wa maisha ya mtanzania, bado zinamhukumu hivyo hana budi kukubaliana na chagamoto nyingi atakazo kutana nazo katika kampeni zake, kuna makosa mengi na mara kwa mara yamekuwa yakijirudia, sifahamu ni kwa nini, ama Chama cha Mapinduzi hakina meneja kampeni?

Sifahamu! kwa maana Mgombea wa chama hicho akikosa ubunifu pindi anapokuwa jukwaani na kujikuta akitoa matamko badala ya kumwaga sera. Binafsi hukuona haja ya Dr Magufuli kujibu hoja ya Tundu Lissu kuhusu vitambulisho vya wamachinga.

Jibu alilolitoa ni mtihani kwake mwenyewe, unaposema vitambulisho vya wamachinga havina maana wakati wewe ndiye uliyevitoa unatoa mwanya wa mpinzani wako kukuhoji zaidi.

Najaribu kufikri Mgombea wa CCM anapowaambia wananchi, wakimchagua Mbunge wa Upinzani hatowapelekea maendeleo.
Lakujiuliza hapa ivi CCM wanashindwa kumkanya Mgombea wao kuwa tuko kwenye nchi ya Demokrasia? Watanzania wananahaki ya kumchangua kiongozi wamtakaye na Maendeleo ni haki ya kila mwananchi kwa sababu ndiye mlipa kodi?

Nasema kauli, kauli, kauli, kauli za namna hiyo ni ishara ya kiongozi kushindwa

Upande wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema, chagamoto yao kubwa ni watu wanaomzunguka Mgombea, ni watu wanaoendeshwa na hulka, kinachoibeba Chadema ni uwezo binafsi wa Mgombea kucheza na akili ya wananchi na mpinzani wake wa karibu.

Akili ya Tundu Lissu inaufanya uchaguzi uwe mgumu, kukosekana kwa fikra mpya ndani ya Chama cha Mapinduzi, kunatoa mwanya kwa Lissu kulitawala jukwaa atakavyo katika kampeni, naweza kusema Tundu Lissu yuko kwenye ubora wa kimataifa

Kinachompa chagamoto Dr Magufuli ni yeye kuamini ndiye anaweza kuliko watu wanaomzunguka, sijui kwanini Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Dr Bashiru anashindwa, kutengeneza muunganiko wa jamii moja ndani ya Chama kimoja ili kutuliza hali ya hewa.

Ikiwa hali itaendelea hivi Dr Magufuli ajiandae kisaikolojia, kushindwa kwa 49% au kushinda kwa 51% huenda akaipoteza Ikulu, na Tundu Lissu ajiandae kushindwa kwa 49% au kushinda kwa 51%

Kitendo cha Dr Magufuli kushindwa kuwapa hamasa watu wa Bukoba wakati wa tetemeko la aridhi kumempunguzia kura za kanda ya Ziwa, na kuendelea kudhani watanzania bado ni jamii ya kuendeshwa huenda kukamtia katika promoko la karne.

Kabla ya 28 October 2020 anapaswa awaunganishe wana CCM, ambao hadi sasa wamepasuka, idadi kubwa ya viongozi wa ngazi za juu ndani ya CCM hawamuungi mkono Dr Magufuli, Japokuwa machoni wanampa tabasamu huku nyuma wanamchinja.
Kabla hata ya wapiga kura million 29,188,347 hawamchinja.

Huu ni mtazamo na hoja yangu, binafsi naona.

"Kuna Mgombea Urais anaongea na wananchi, kuna Mgombea Urais anawafokea wananchi"

Sijui mtazamo wako!

Kalamu Ya Mwebrania
Na: George Kabadi
MgombeaUrais2035
Kuna maandiko kama haya zaidi ya kumi humu JF. Is it a coincedence? Au ni mkakati? Anyway tukutane 28 Oktoba tuone ukweli wa haya maandiko.
 
Naomba kuuliza uchaguzi uliopita upinzani walisema wameibiwa kura sasa hawa Ccm hzi kura wanaiba muda gani au maeneo gani wakati kule vituoni matokeo yana kuwa safi kabsa.
 
*ASASI YA KIRAIA YA DEMOKRASIA TANZANIA (TDO)*

_*TAARIFA KWA UMMA*_

*TDO* ni asasi ya kiraia isiyokuwa ya kiserikali (NGO) ililosajiliwa kisheria kwa lengo la kulinda demokrasia nchini.

Asasi hiyo ni moja ya Taasisi zilizosajiliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa ajili ya kuangalia (observe) uchaguzi ili kuhakikisha unakua huru na wa haki.

Tunautaarifu umma kuhusu vitendo visivyokua vya kidemokrasia vinavyofanywa na viongozi wa CHADEMA.

Waangalizi wetu wamethibitisha kwamba viongozi wa CHADEMA wanapita usiku na kuwaambia wanawake kwamba watoe vitambulisho vyao vya kupigia kura ili wapate mikopo.

Viongozi hao wanachukua hizo kadi na kwenda kuzidurufu (photocopy).

Tuna taarifa kwamba hizo kopi wanakwenda kuzitengenezea vitambulisho feki ili wavitumie mapema asubuhi kujipigia kura.

Baadhi ya wanawake walioahidiwa mikopo tayari wameshatoa vitambulisho vyao.

Asasi yetu bado linaendelea na utafiti ili kubaini maeneo yote yaliyoathiriwa na vitendo hivyo. Waangalizi wetu wanaamini kuwa huenda uovu huu umefanyika nchi nzima.

_*Kufuatia vitendo hivyo tunatoa wito ufuatao:*_

Watanzania wote wajiepushe kutoa vitambulisho vyao kwasababu huenda vikatumiwa kufanya uhalifu.

CHADEMA iache vitendo hivyo ambavyo vinakiuka sheria, kanuni na maadili ya uchaguzi.

TAKUKURU, Jeshi la Polisi na Mamlaka zingine zihakikishe kwamba rushwa (adui wa haki) inadhibitiwa ili uchaguzi uwe huru na wa haki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado,tena bado sana kwa upinzani kuitoa madarakani CCM.
kuna wapiga kura wengi sana mijini na vijijini ambao bado hawajafikiwa na ushawishi wa kubadilika na kuwa wapinzani na wakakubali,watu wanamna hii wapo wengi hasa vijijini.

hata nguvu ya upinzani mijini inaonekana kwa hamasa na mlipuko wa muda mchache tu kwenye mikutano ama mapokezi.
Ili ushindi upatikane kunamipango nje ya juu ya jukwaa la kampeni na mapokezi ya mgombea, jambo ambalo wapinzani wamepwaya sana.

Viongozi wa vijiji na wenyeviti wa mitaa (kwa sasa hawa wote ni wa CCM)ni angle mojawapo nzuri sana ya kufanikisha mikakati ya ushindi kwakuwa wanaijua vizuri jografia ya mitaa/vijiji pamoja na kuwatambua watu wake.
mengine sitosema kiundani zaidi hayo machache yanatosha kuipa ushindi wa kimbunga CCM.
JPM mitano tena,ushindi mwaka huu zaidi ya 90%
Nakubali
IMG-20200923-WA0002.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na: George Kabadi

Nimekuwa miongoni mwa wafuatiliaji wazuri wa kampeni za mwaka huu 2020, Naomba kupigana moja kwa moja na hoja za watu wanaodai uchaguzi wa mwaka huu siyo mgumu kama ule wa mwaka 2015. Napigana nao kwa sababu kuu mbili.

MOSI, Uchaguzi wa 2015, Edward Lowassa alikuwa na watu wengi lakini hakuwa bora, hivyo siasa ya 2015 ilikuwa siasa ya upepo usio na mikakati.

PILI, Lowassa alibebwa na nguvu ya umaarufu kwa maana hata wasio wapiga kura waliohudhuria kampeni zake.

Tofauti kubwa iliyopo katika uchaguzi wa mwaka huu na uchaguzi uliopita, ni kuwa Mgombea wa CCM, ni Mgombea ambaye tayari jamii ishauona Mwelekeo wake, na Mgombea wa Upinzani ni Mgombea halisi zao halisi la upinzani.

Tazama kampeni za Tundu Lissu, na tazama kampeni za John Magufuli utagundua kuwa kuna Mgombea Urais anaongea na wananchi na kuna Mgombea Urais anawafokea wananchi.

Kuna mapungufu mengi kwa Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi kuliko Mgombea Urais wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema, nalisema hili bila kificho.

Baada ya TUME YA UCHAGUZI kuidhinisha Wagombea 15 wa kiti cha Urais wa JMT, kwa tiketi ya vyama mbalimbali, kadri muda unavyozidi kwenda ni vyama viwili tu ndiyo vimeonyesha nia ya kushika hatamu, nadhani wengine wamekata moto, sasa ni Chama Cha Mapinduzi-CCM na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema.

Wakati chama Cha Mapinduzi kikijinandi kuwa Mgombea wake ametekeleza mambo mengi katika Uongozi wake wa serikali ya awamu ya tano, chagamoto za uhalisia wa maisha ya mtanzania, bado zinamhukumu hivyo hana budi kukubaliana na chagamoto nyingi atakazo kutana nazo katika kampeni zake, kuna makosa mengi na mara kwa mara yamekuwa yakijirudia, sifahamu ni kwa nini, ama Chama cha Mapinduzi hakina meneja kampeni?

Sifahamu! kwa maana Mgombea wa chama hicho akikosa ubunifu pindi anapokuwa jukwaani na kujikuta akitoa matamko badala ya kumwaga sera. Binafsi hukuona haja ya Dr Magufuli kujibu hoja ya Tundu Lissu kuhusu vitambulisho vya wamachinga.

Jibu alilolitoa ni mtihani kwake mwenyewe, unaposema vitambulisho vya wamachinga havina maana wakati wewe ndiye uliyevitoa unatoa mwanya wa mpinzani wako kukuhoji zaidi.

Najaribu kufikri Mgombea wa CCM anapowaambia wananchi, wakimchagua Mbunge wa Upinzani hatowapelekea maendeleo.
Lakujiuliza hapa ivi CCM wanashindwa kumkanya Mgombea wao kuwa tuko kwenye nchi ya Demokrasia? Watanzania wananahaki ya kumchangua kiongozi wamtakaye na Maendeleo ni haki ya kila mwananchi kwa sababu ndiye mlipa kodi?

Nasema kauli, kauli, kauli, kauli za namna hiyo ni ishara ya kiongozi kushindwa

Upande wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema, chagamoto yao kubwa ni watu wanaomzunguka Mgombea, ni watu wanaoendeshwa na hulka, kinachoibeba Chadema ni uwezo binafsi wa Mgombea kucheza na akili ya wananchi na mpinzani wake wa karibu.

Akili ya Tundu Lissu inaufanya uchaguzi uwe mgumu, kukosekana kwa fikra mpya ndani ya Chama cha Mapinduzi, kunatoa mwanya kwa Lissu kulitawala jukwaa atakavyo katika kampeni, naweza kusema Tundu Lissu yuko kwenye ubora wa kimataifa

Kinachompa chagamoto Dr Magufuli ni yeye kuamini ndiye anaweza kuliko watu wanaomzunguka, sijui kwanini Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Dr Bashiru anashindwa, kutengeneza muunganiko wa jamii moja ndani ya Chama kimoja ili kutuliza hali ya hewa.

Ikiwa hali itaendelea hivi Dr Magufuli ajiandae kisaikolojia, kushindwa kwa 49% au kushinda kwa 51% huenda akaipoteza Ikulu, na Tundu Lissu ajiandae kushindwa kwa 49% au kushinda kwa 51%

Kitendo cha Dr Magufuli kushindwa kuwapa hamasa watu wa Bukoba wakati wa tetemeko la aridhi kumempunguzia kura za kanda ya Ziwa, na kuendelea kudhani watanzania bado ni jamii ya kuendeshwa huenda kukamtia katika promoko la karne.

Kabla ya 28 October 2020 anapaswa awaunganishe wana CCM, ambao hadi sasa wamepasuka, idadi kubwa ya viongozi wa ngazi za juu ndani ya CCM hawamuungi mkono Dr Magufuli, Japokuwa machoni wanampa tabasamu huku nyuma wanamchinja.
Kabla hata ya wapiga kura million 29,188,347 hawamchinja.

Huu ni mtazamo na hoja yangu, binafsi naona.

"Kuna Mgombea Urais anaongea na wananchi, kuna Mgombea Urais anawafokea wananchi"

Sijui mtazamo wako!

Kalamu Ya Mwebrania
Na: George Kabadi
MgombeaUrais2035
Tusubir October mana uzi Sasa ivi zimesha kua nyingi mpaka zinakera ila tundulisu akijitaid Sana ni asilimia 3

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Ikiwa hali itaendelea hivi Dr Magufuli ajiandae kisaikolojia, kushindwa kwa 49% au kushinda kwa 51% huenda akaipoteza Ikulu, na Tundu Lissu ajiandae kushindwa kwa 49% au kushinda kwa 51%
Sahau hii ndoto yako.
Magufuli atamshinda Lissu kwa ushindi unao anzia 60%.
Mark my words.
 
Subilini 28, halafu muludi hapa mtueleze nini kimewa sibu.
 
Na: George Kabadi

Nimekuwa miongoni mwa wafuatiliaji wazuri wa kampeni za mwaka huu 2020, Naomba kupigana moja kwa moja na hoja za watu wanaodai uchaguzi wa mwaka huu siyo mgumu kama ule wa mwaka 2015. Napigana nao kwa sababu kuu mbili.

MOSI, Uchaguzi wa 2015, Edward Lowassa alikuwa na watu wengi lakini hakuwa bora, hivyo siasa ya 2015 ilikuwa siasa ya upepo usio na mikakati.

PILI, Lowassa alibebwa na nguvu ya umaarufu kwa maana hata wasio wapiga kura waliohudhuria kampeni zake.

Tofauti kubwa iliyopo katika uchaguzi wa mwaka huu na uchaguzi uliopita, ni kuwa Mgombea wa CCM, ni Mgombea ambaye tayari jamii ishauona Mwelekeo wake, na Mgombea wa Upinzani ni Mgombea halisi zao halisi la upinzani.

Tazama kampeni za Tundu Lissu, na tazama kampeni za John Magufuli utagundua kuwa kuna Mgombea Urais anaongea na wananchi na kuna Mgombea Urais anawafokea wananchi.

Kuna mapungufu mengi kwa Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi kuliko Mgombea Urais wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema, nalisema hili bila kificho.

Baada ya TUME YA UCHAGUZI kuidhinisha Wagombea 15 wa kiti cha Urais wa JMT, kwa tiketi ya vyama mbalimbali, kadri muda unavyozidi kwenda ni vyama viwili tu ndiyo vimeonyesha nia ya kushika hatamu, nadhani wengine wamekata moto, sasa ni Chama Cha Mapinduzi-CCM na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema.

Wakati chama Cha Mapinduzi kikijinandi kuwa Mgombea wake ametekeleza mambo mengi katika Uongozi wake wa serikali ya awamu ya tano, chagamoto za uhalisia wa maisha ya mtanzania, bado zinamhukumu hivyo hana budi kukubaliana na chagamoto nyingi atakazo kutana nazo katika kampeni zake, kuna makosa mengi na mara kwa mara yamekuwa yakijirudia, sifahamu ni kwa nini, ama Chama cha Mapinduzi hakina meneja kampeni?

Sifahamu! kwa maana Mgombea wa chama hicho akikosa ubunifu pindi anapokuwa jukwaani na kujikuta akitoa matamko badala ya kumwaga sera. Binafsi hukuona haja ya Dr Magufuli kujibu hoja ya Tundu Lissu kuhusu vitambulisho vya wamachinga.

Jibu alilolitoa ni mtihani kwake mwenyewe, unaposema vitambulisho vya wamachinga havina maana wakati wewe ndiye uliyevitoa unatoa mwanya wa mpinzani wako kukuhoji zaidi.

Najaribu kufikri Mgombea wa CCM anapowaambia wananchi, wakimchagua Mbunge wa Upinzani hatowapelekea maendeleo.
Lakujiuliza hapa ivi CCM wanashindwa kumkanya Mgombea wao kuwa tuko kwenye nchi ya Demokrasia? Watanzania wananahaki ya kumchangua kiongozi wamtakaye na Maendeleo ni haki ya kila mwananchi kwa sababu ndiye mlipa kodi?

Nasema kauli, kauli, kauli, kauli za namna hiyo ni ishara ya kiongozi kushindwa

Upande wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema, chagamoto yao kubwa ni watu wanaomzunguka Mgombea, ni watu wanaoendeshwa na hulka, kinachoibeba Chadema ni uwezo binafsi wa Mgombea kucheza na akili ya wananchi na mpinzani wake wa karibu.

Akili ya Tundu Lissu inaufanya uchaguzi uwe mgumu, kukosekana kwa fikra mpya ndani ya Chama cha Mapinduzi, kunatoa mwanya kwa Lissu kulitawala jukwaa atakavyo katika kampeni, naweza kusema Tundu Lissu yuko kwenye ubora wa kimataifa

Kinachompa chagamoto Dr Magufuli ni yeye kuamini ndiye anaweza kuliko watu wanaomzunguka, sijui kwanini Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Dr Bashiru anashindwa, kutengeneza muunganiko wa jamii moja ndani ya Chama kimoja ili kutuliza hali ya hewa.

Ikiwa hali itaendelea hivi Dr Magufuli ajiandae kisaikolojia, kushindwa kwa 49% au kushinda kwa 51% huenda akaipoteza Ikulu, na Tundu Lissu ajiandae kushindwa kwa 49% au kushinda kwa 51%

Kitendo cha Dr Magufuli kushindwa kuwapa hamasa watu wa Bukoba wakati wa tetemeko la aridhi kumempunguzia kura za kanda ya Ziwa, na kuendelea kudhani watanzania bado ni jamii ya kuendeshwa huenda kukamtia katika promoko la karne.

Kabla ya 28 October 2020 anapaswa awaunganishe wana CCM, ambao hadi sasa wamepasuka, idadi kubwa ya viongozi wa ngazi za juu ndani ya CCM hawamuungi mkono Dr Magufuli, Japokuwa machoni wanampa tabasamu huku nyuma wanamchinja.
Kabla hata ya wapiga kura million 29,188,347 hawamchinja.

Huu ni mtazamo na hoja yangu, binafsi naona.

"Kuna Mgombea Urais anaongea na wananchi, kuna Mgombea Urais anawafokea wananchi"

Sijui mtazamo wako!

Kalamu Ya Mwebrania
Na: George Kabadi
MgombeaUrais2035
Tathmini mujaarabu kabisa. Mgombea mmoja anaongea na wananchi na kuomba kura lakini mgombea mwingine anawafokea wananchi, kuwatukana kwa dharau kubwa huku akionesha dhaahir kuwa hahitaji kura zao. Mimi naona wagombea wetu wawili wanaoonekana wapo katika mchuano mkali ni "uncomperable". Hapa hakuna cha 51% kwa 49%. Mgombea aliye serious aliyeamua kuomba kura za watanzania kwa dhati ataibuka na 80% dhidi ya 20% za mtesi, mtukanaji, mdhalilishaji na mwenye kudharau umma wa watanzania. MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Na: George Kabadi

Nimekuwa miongoni mwa wafuatiliaji wazuri wa kampeni za mwaka huu 2020, Naomba kupigana moja kwa moja na hoja za watu wanaodai uchaguzi wa mwaka huu siyo mgumu kama ule wa mwaka 2015. Napigana nao kwa sababu kuu mbili.

MOSI, Uchaguzi wa 2015, Edward Lowassa alikuwa na watu wengi lakini hakuwa bora, hivyo siasa ya 2015 ilikuwa siasa ya upepo usio na mikakati.

PILI, Lowassa alibebwa na nguvu ya umaarufu kwa maana hata wasio wapiga kura waliohudhuria kampeni zake.

Tofauti kubwa iliyopo katika uchaguzi wa mwaka huu na uchaguzi uliopita, ni kuwa Mgombea wa CCM, ni Mgombea ambaye tayari jamii ishauona Mwelekeo wake, na Mgombea wa Upinzani ni Mgombea halisi zao halisi la upinzani.

Tazama kampeni za Tundu Lissu, na tazama kampeni za John Magufuli utagundua kuwa kuna Mgombea Urais anaongea na wananchi na kuna Mgombea Urais anawafokea wananchi.

Kuna mapungufu mengi kwa Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi kuliko Mgombea Urais wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema, nalisema hili bila kificho.

Baada ya TUME YA UCHAGUZI kuidhinisha Wagombea 15 wa kiti cha Urais wa JMT, kwa tiketi ya vyama mbalimbali, kadri muda unavyozidi kwenda ni vyama viwili tu ndiyo vimeonyesha nia ya kushika hatamu, nadhani wengine wamekata moto, sasa ni Chama Cha Mapinduzi-CCM na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema.

Wakati chama Cha Mapinduzi kikijinandi kuwa Mgombea wake ametekeleza mambo mengi katika Uongozi wake wa serikali ya awamu ya tano, chagamoto za uhalisia wa maisha ya mtanzania, bado zinamhukumu hivyo hana budi kukubaliana na chagamoto nyingi atakazo kutana nazo katika kampeni zake, kuna makosa mengi na mara kwa mara yamekuwa yakijirudia, sifahamu ni kwa nini, ama Chama cha Mapinduzi hakina meneja kampeni?

Sifahamu! kwa maana Mgombea wa chama hicho akikosa ubunifu pindi anapokuwa jukwaani na kujikuta akitoa matamko badala ya kumwaga sera. Binafsi hukuona haja ya Dr Magufuli kujibu hoja ya Tundu Lissu kuhusu vitambulisho vya wamachinga.

Jibu alilolitoa ni mtihani kwake mwenyewe, unaposema vitambulisho vya wamachinga havina maana wakati wewe ndiye uliyevitoa unatoa mwanya wa mpinzani wako kukuhoji zaidi.

Najaribu kufikri Mgombea wa CCM anapowaambia wananchi, wakimchagua Mbunge wa Upinzani hatowapelekea maendeleo.
Lakujiuliza hapa ivi CCM wanashindwa kumkanya Mgombea wao kuwa tuko kwenye nchi ya Demokrasia? Watanzania wananahaki ya kumchangua kiongozi wamtakaye na Maendeleo ni haki ya kila mwananchi kwa sababu ndiye mlipa kodi?

Nasema kauli, kauli, kauli, kauli za namna hiyo ni ishara ya kiongozi kushindwa

Upande wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema, chagamoto yao kubwa ni watu wanaomzunguka Mgombea, ni watu wanaoendeshwa na hulka, kinachoibeba Chadema ni uwezo binafsi wa Mgombea kucheza na akili ya wananchi na mpinzani wake wa karibu.

Akili ya Tundu Lissu inaufanya uchaguzi uwe mgumu, kukosekana kwa fikra mpya ndani ya Chama cha Mapinduzi, kunatoa mwanya kwa Lissu kulitawala jukwaa atakavyo katika kampeni, naweza kusema Tundu Lissu yuko kwenye ubora wa kimataifa

Kinachompa chagamoto Dr Magufuli ni yeye kuamini ndiye anaweza kuliko watu wanaomzunguka, sijui kwanini Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Dr Bashiru anashindwa, kutengeneza muunganiko wa jamii moja ndani ya Chama kimoja ili kutuliza hali ya hewa.

Ikiwa hali itaendelea hivi Dr Magufuli ajiandae kisaikolojia, kushindwa kwa 49% au kushinda kwa 51% huenda akaipoteza Ikulu, na Tundu Lissu ajiandae kushindwa kwa 49% au kushinda kwa 51%

Kitendo cha Dr Magufuli kushindwa kuwapa hamasa watu wa Bukoba wakati wa tetemeko la aridhi kumempunguzia kura za kanda ya Ziwa, na kuendelea kudhani watanzania bado ni jamii ya kuendeshwa huenda kukamtia katika promoko la karne.

Kabla ya 28 October 2020 anapaswa awaunganishe wana CCM, ambao hadi sasa wamepasuka, idadi kubwa ya viongozi wa ngazi za juu ndani ya CCM hawamuungi mkono Dr Magufuli, Japokuwa machoni wanampa tabasamu huku nyuma wanamchinja.
Kabla hata ya wapiga kura million 29,188,347 hawamchinja.

Huu ni mtazamo na hoja yangu, binafsi naona.

"Kuna Mgombea Urais anaongea na wananchi, kuna Mgombea Urais anawafokea wananchi"

Sijui mtazamo wako!

Kalamu Ya Mwebrania
Na: George Kabadi
MgombeaUrais2035
Chadema hii ya Lissu ni ndembe ndembe kuliko ile ya mabadiliko lowasa. Mnafeli kuanzia udiwani mpaka Urais.
 
Tathmini mujaarabu kabisa. Mgombea mmoja anaongea na wananchi na kuomba kura lakini mgombea mwingine anawafokea wananchi, kuwatukana kwa dharau kubwa huku akionesha dhaahir kuwa hahitaji kura zao. Mimi naona wagombea wetu wawili wanaoonekana wapo katika mchuano mkali ni "uncomperable". Hapa hakuna cha 51% kwa 49%. Mgombea aliye serious aliyeamua kuomba kura za watanzania kwa dhati ataibuka na 80% dhidi ya 20% za mtesi, mtukanaji, mdhalilishaji na mwenye kudharau umma wa watanzania. MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Ha ha ha Lissu huyu kibaraka wa mabeberu,apate kura 80%?.Unacheza wewe, chama cha Mbowe kina washabiki tena mitandaoni tu huko kwenye field hata hao 20% ni wengi mno.
IMG_20201003_141950_235.jpg
 
Back
Top Bottom