Uchaguzi 2020 Tundu Lissu na Dkt. Magufuli wajiandae kisaikolojia, lolote linaweza kutokea

Mwaka 2015 CCM walipata kura 8.8M na Chadema 6M kulikuwa na tofauti ya 2.8M. CCM waliweza kuikamata kanda ya ziwa.

Kipindi hiki upepo umegeuka na kanda ya ziwa haipo kama wakati ule na inategemewa vijana wengi watapiga kura kwa mara ya kwanza . Pia kuna presence kubwa ya watanzania mitandaoni kuliko 2015 na ndio maana pamoja na kukosa mabango ujumbe wa TAL bado unafika tu.

Mikoa ya Kagera , Mara, Kigoma, Mtwara,Lindi,Geita, Shinyanga, Iringa, Mbeya, Dar, Kilimanjaro, Arusha na maeneo ambayo JPM hataweza kwenda yanaweza kupiga kura Chadema. Na kule Zanzibar sio siri CCM inazidi kupoteza umaarufu.

Mchuana wa Dodoma, Tabora, Tanga unaweza kuwa key.Na CCM wakichapwa kwenye maeneo hayo ndio shughuli imeisha!!
 
Acha na koma kumlinganisha Raisi wetu na takataka, ...
Safi sana mkuu,kumlinganisha Rais wetu Mh.Lissu na matakataka ni kumkosea sana heshima.Leo umeongea point tangu umekuwa humu jukwaani.Naona fahamu zinaanza kukurejea KUELEKEA Oct 28.
 
Hakuna wajinga wakat wew umeshavuka viwango vya ujinga na kuwa mpumbavu . Hebu angalia utopolo ulioandika.
Lisu hawezi kushinda uchaguzi huu.ccm Na kiongozi wetu tukubali kubadilika baada ya uchaguzi Na tuache propaganda za kitoto.watanzania sio wajinga kama tunavyofikiria
 
Bado hoja ni zile zile nyepesi!

Kwanini uchguzi huu ni mgumu?

Jibu: Lisu ni jasiri sana!

. Vituko Vya chadema hivi
Huna hoja acha wenye vichwa vinavyofikiri kwa weledi km mleta post wafikiri kwa niaba yko.Ni nn ulichoandika sasa.Busara ungesoma halafu ukapiga kimya.Hizo hoja ngumu ulizoleta wewe ziko wapi.mpuuzi tu.
 
H Huna hoja.Subiri Oct 28.
 
Bahati mbaya sana kwa wafuasi wa Magufuli mambo kama haya ni matusi kwao.
Nileteeeni Gwajimaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaàaaaaaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaàaaaaaaaaaàaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Hamnionei hata huruma sauti hadi inakauka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao wenye vyeti halali mmewaajiri?
Wewe utopolo
Hawajaajiriwa.

Sasa kipi bora kuwa na wafanyakazi wenye vyeti feki, halafu na wenye vyeti halali wakose kazi.

Na kuwa na wafanyakazi halali walio na vyeti halali. Alafu vyeti visivyo halali wakakosa?
 
Ulichokinena ndicho nilichokiona mimi tokea siku ya kwanza ya kampeni, Lissu kwa kiwango kikubwa na nadhani amefanikiwa sana kutumia mambo makubwa ambayo ccm wamefanya katika haya wanayoita maendeleo ikiwemo kununua hizo ndege, flyover kuyatumia katika kampeni zake na kuonekana "It is good for nothing" yanaonekana ni mambo ya kifisadi uliokubuhu.

Lakini jengine sijuw niseme ccm nao hawakutarajia au hawakujipanga kujengea hoja hayo maendeleo wanayodai mana Magufuli alipojaribu kujibu vitambulisho vile sio lazima halafu akaja akasema unaweza kuombea mkopo Lissu ndio amekuja kuwakata roho kabisa kabisa alipokishika kitambulisho kumbe hakina jina wala anuani wala chochote.

Lakini jengine linalofurahisha kwa upinzani Lissu saivi kwenye kampeni tayari ameshajua yale mambo yanayooumiza zaidi upande ccm na yeye anakuwa akirudia mara mara ili kuzidi kushawishi watu na sasa watu naona kila aendapo ni kuliko alikotoka.

Mimi nilijuwa kwenye kampeni hizi ccm watataradadi sana kwenye maendeleo ya ujenzi, na ununuzi wa hizo ndege na mabarabara nk na nilidhani upinzani kwa kweli hawatakuwa na hoja na hata ccm wenyewe wamekuwa wakisema kabla ya kampeni kwamba mara hii uchaguzi utakuwa rahisi sana mkuu amefanya mambo mengi nadhani hapa ndipo walipobweteka.

Kama hicho kiwanja cha ndege Chato watanzania wengi walikuwa hawajui lakini sasa imeonekana yule jamaa pale juu amefuja sana hela za walipa kodi kwa kweli huu uchaguzi upo katika position ambayo ni very interesting. Yuou never know lakini Lissu amefika mbali sana kuliko viongozi wote waliowahi kuwa wapinzani kwenye ngazi ile ya urais wa JMT. Chochote kinaweza kutokea.

Lakini jengine Lissu ananiacha hoi akiwambia wananchi na kusisitiza kwamba uchaguzi ni muhimu kuliko wowote ule anawajenga wananchi kisaikolojia katika kiwango cha juu kwenda kumpigia kura. Anatumia akili sana kuiba uwezo na mawazo ya watu waone kuna haja ya mabadiliko kwa namna yoyote ile. nampongeza sana.

Na hili la Magufuli kupiga magoti naamini hapigi tena magoti Lissu amemuua sana alipopiga magoti.

Jana namuona Mafuguli anawatahadharisha wana ccm tu wasjiingize kwenye maandamano sikuona hoja za msingi kushawishi achaguliwe tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…