Pre GE2025 Tundu Lissu na John Heche watangaza kuipeleka ajenda yao ya "No Reform No Election" nje ya nchi

Pre GE2025 Tundu Lissu na John Heche watangaza kuipeleka ajenda yao ya "No Reform No Election" nje ya nchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Kumbe Heche na Lissu walikuwa na mpango wa kando kuendeleza kampeni yao ya No Reforms No Election ukiachana na kuwaambia watu walale barabarani

Erythrocyte nimeanza kukuelewa sasa

===================================================

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche amesema yeye na Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu wanatarajia kupeleka ajenda ya no reform, no election hadi nje ya nchi.

Akizungumza na wanachama wa chama hicho wa Kanda ya Kaskazini, mkoani Arusha leo Heche amesema tayari chama hicho kimewashirikisha wadau mbalimbali kuhusu ajenda hiyo na kwamba wataipeleka mbali zaidi.

“Ajenda yetu no reform, no election inazungumzika hata kama wanaizungumzia negatively (kwa mtazamo hasi) lakini wanazungumza ajenda ya CHADEMA, tumetoka na ajenda hiyo ndiyo kila siku Wasira anaimba na leo ndio Makala alikuwa anaizungumza” amesema Heche.

“Sisi ni watu tunatumia brain (akili) tume engage (kushirikisha) tumeandika mapungufu 16 ya uchaguzi ambayo hayamuwezeshi mpinzani yoyote kushinda uchaguzi, nani miongoni mwenu anaweza kusema kwamba anaweza kushinda uchaguzi kwa utaratibu huu tulionao?” amehoji Heche

no reform.png

Source: Nipashe
 
Kila atamkapo neno nje ya nchi huwa ninazidi kumdharau ndugu Tundu Lissu......

Kwanini ninamdharau ?!!

Nje nje nje nje nje....

Boss wa huko nje ni mh.Rais Trump ambaye watu wa "nje" huko ULAYA hana mpango nao.....

"Nje" ya EU mh.Trump si lengo lake zaidi ya masuala mtambuka ya nchi yake....

Anashirikiana na Urusi ambayo ni adui wa EU na Brussels marafiki zake mh.Tundu Lissu....

Mh.Tundu Lissu aache ukale ,haumsaidii.....
Yeye na wenzake akina Robert Amsterdam walilobby wabunge wa CDU pale bungeni Bundestag ili waisukume serikali yao ya Ujerumani iishinikize Tanzania isitishe mradi mkubwa wa ujenzi wa bwawa la kufua umeme pale Rufiji.....

Yakawa matokeo hasi....

Leo hii tunakaribia kuwa na megawati 2215 kuingizwa gridi ya taifa.....

Ndugu Tundu Lissu aache "ushamba" ,chambilecho hayati JPM(resty easy) nje HATUNA WAJOMBA......

#Mwenyezi Mungu amhifadhi na kumlinda rais wetu mh.Samia Suluhu Hassan ,aaamin aaamin aaaaamin!

#Tanzania is a sovereign nation!
 
Wakuu,

Kumbe Heche na Lissu walikuwa na mpango wa kando kuendeleza kampeni yao ya No Reforms No Election ukiachana na kuwaambia watu walale barabarani

Erythrocyte nimeanza kukuelewa sasa

===================================================

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche amesema yeye na Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu wanatarajia kupeleka ajenda ya no reform, no election hadi nje ya nchi.

Akizungumza na wanachama wa chama hicho wa Kanda ya Kaskazini, mkoani Arusha leo Heche amesema tayari chama hicho kimewashirikisha wadau mbalimbali kuhusu ajenda hiyo na kwamba wataipeleka mbali zaidi.

“Ajenda yetu no reform, no election inazungumzika hata kama wanaizungumzia negatively (kwa mtazamo hasi) lakini wanazungumza ajenda ya CHADEMA, tumetoka na ajenda hiyo ndiyo kila siku Wasira anaimba na leo ndio Makala alikuwa anaizungumza” amesema Heche.

“Sisi ni watu tunatumia brain (akili) tume engage (kushirikisha) tumeandika mapungufu 16 ya uchaguzi ambayo hayamuwezeshi mpinzani yoyote kushinda uchaguzi, nani miongoni mwenu anaweza kusema kwamba anaweza kushinda uchaguzi kwa utaratibu huu tulionao?” amehoji Heche

Source: Nipashe
Nendeni shenzi
 
Hapo inakua changamoto,viongozi wa serikali wanataka hela kutoka nje za mikopo,ili wafanye uchaguzi wa kiini macho,halafu Lissu nae anataka awaharibie,hiyo si hatari sasa?
USAID wanajiondoa ,agencies za EU zinatafakari tena kuhusu misaada....

Misaada ya masharti inakwenda kubadilika.....

Tundu Lissu na CHADEMA wako nyuma ya W.A.K.A.T.I.....
 
Wakuu,

Kumbe Heche na Lissu walikuwa na mpango wa kando kuendeleza kampeni yao ya No Reforms No Election ukiachana na kuwaambia watu walale barabarani

Erythrocyte nimeanza kukuelewa sasa

===================================================

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche amesema yeye na Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu wanatarajia kupeleka ajenda ya no reform, no election hadi nje ya nchi.

Akizungumza na wanachama wa chama hicho wa Kanda ya Kaskazini, mkoani Arusha leo Heche amesema tayari chama hicho kimewashirikisha wadau mbalimbali kuhusu ajenda hiyo na kwamba wataipeleka mbali zaidi.

“Ajenda yetu no reform, no election inazungumzika hata kama wanaizungumzia negatively (kwa mtazamo hasi) lakini wanazungumza ajenda ya CHADEMA, tumetoka na ajenda hiyo ndiyo kila siku Wasira anaimba na leo ndio Makala alikuwa anaizungumza” amesema Heche.

“Sisi ni watu tunatumia brain (akili) tume engage (kushirikisha) tumeandika mapungufu 16 ya uchaguzi ambayo hayamuwezeshi mpinzani yoyote kushinda uchaguzi, nani miongoni mwenu anaweza kusema kwamba anaweza kushinda uchaguzi kwa utaratibu huu tulionao?” amehoji Heche

Source: Nipashe
Shida ni moja tu ccm wanatumia hoja nyepesi katika hoja ngumu, mpaka wengine wanaona Vyombo vya dola ndola ndo Suluhu,
Sasa sie wenye roho ya Umungu ndani yetu tunasema ccm ipo kwenye mtego mkubwa sana , ukilazimisha uchaguzi maana yake hao viongozi watakua batili na kama ni batili hawawezi tambuliwa na wananchi achilia mbali mataifa Mengine.

SSH, alipoingia madarakani alitakiwa kurudisha katiba mezani hii ingemjega sana kisiasa , ila wahuni wakampeleka chaka.

Kamati ya siasa ya ccm taifa ni imani yangu wanajua hili kwamba wameyakanyaga , hakulaliki huko basi tu sio jambo lolote linaweza zungumzika .

Mpaka sasa hakuna uchaguzi ila machawa wasiokua na uwezo wa kutafakari ndo wapo kupiga porojo tu.

Mbaya sana wenda uongonzi mpya wa Chadema umefunga milango katika hili la reforms kwa ccm kama ndivyo ccm mnachomokaje?
 
USAID wanajiondoa ,agencies za EU zinatafakari tena kuhusu misaada....

Misaada ya masharti inakwenda kubadilika.....

Tundu Lissu na CHADEMA wako nyuma ya W.A.K.A.T.I.....
Kuonyesha wako nyuma ya wakati,inabidi kusitisha kabisa kuomba mikopo,kabla ya wao wa nje kusitisha.
Kama itawezekana kusitisha,natumaini tutakua tulichelewa kufanya hivyo.
 
Kuonyesha wako nyuma ya wakati,inabidi kusitisha kabisa kuomba mikopo,kabla ya wao wa nje kusitisha.
Kama itawezekana kusitisha,natumaini tutakua tulichelewa kufanya hivyo.
Zama mpya.... ametufundisha mh.Rais Donald Trump.....

Tunakwenda huko....

Nje hakuna wajomba ,sawa ?!!
 
Nimesoma maelezo yaliyowekwa kwenye mada "kirasharasha".
Pamoja na kukubali lengo la hatua hiyo (kueneza kampeni hadi huku nje); nawasihi sana viongozi wetu hawa wasisahau kuwa mwamuzi pekee wa hatma ya nchi yetu ni mwananchi, mTanzania mwenyewe; ambaye hakuna nguvu yoyote inayoweza kutumiwa na hawa walaghai wa CCM kuzuia lengo la haya mabadiliko.

Nwasihi sana viongozi hawa nguvu zote wazielekeze katika kuwa elimisha wananchi hawa kuzitambua haki zao na kukataa kuvurugwa kwa njia zozote za haki zao za kuwachagua viongozi wanao wataka kwa haki na uhuru kamili.

Mkuu, Erythro, ninayo mengi na wewe tokea hapa kwenda mbele. Ninakuelewa vizuri.
 
Marehemu Maalim Seif (rip) aliwahi kuzunguka Duniani kuomba Tanzania na Zanzibar zifutiwe misaada.

Hata hili naona litafanikiwa.
 
Hapo inakua changamoto,viongozi wa serikali wanataka hela kutoka nje za mikopo,ili wafanye uchaguzi wa kiini macho,halafu Lissu nae anataka awaharibie,hiyo si hatari sasa?
Mambo kama haya ndo nayatakaga mimi.
 
Marehemu Maalim Seif (rip) aliwahi kuzunguka Duniani kuomba Tanzania na Zanzibar zifutiwe misaada.

Hata hili naona litafanikiwa.
Zama za hayati Seif Sharrif Hamad (resty easy ) Marekani haikuwa na akina Trump na viongozi watakaokuja na fikra za akina Trump.....

Nje hatuna wajomba....resty easy El Commandante John Pombe Magufuli ,amen !
 
CCM kipindi hiki ina mgombea dhaifu na asiyekubalika kuliko kipindi kingine chochote tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe, kazi mnayo.
CCM haijawahi kuwa na mgombea DHAIFU....haijawahi....ni mindset yako tu....

Mgombea dhaifu kwa kuwa ni MWANAMKE ,si ndio ee wewe MISOGYNYIST ?!!
 
Ninyi wahuni Mwaka 2025 hakuna uchafuzi, Tutafanya juu chini usifanyike.
Ha ha ha ha wahuni ni wale wanaotaka ukibaraka kutoka kwa WATU wa nje......hakuna awezaye kuzuia UCHAGUZI wa kisheria....nakuapia HAYUPO HAYUPO HAYUPO.....

Hamna lolote la kufanya.....ha ha ha ha
 
Back
Top Bottom