Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
...kama tuna mienendo yetu na inawaudhi ,ni kwanini WASITUNYIME hiyo misaada tuombayo ?!!!Kama mna mienendo yenu, mnachukuaga hela za watu za watu za nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...kama tuna mienendo yetu na inawaudhi ,ni kwanini WASITUNYIME hiyo misaada tuombayo ?!!!Kama mna mienendo yenu, mnachukuaga hela za watu za watu za nini?
Lissu anakwenda NJE kuomba fedha ya kuendeshea CHAMA CHAKE....Hapa ndani hamna anaeweza kuzuia Uchaguzi, sio wanachadema wala nani na ndio maana Lissu anaenda NJE kuomba msaada.
Wahisani wakikataa kutoa hela za kuendeshea Uchaguzi, huo Uchaguzi utafanyikaje?
Jidanganye....Kaa usali sana EU na Marekani wasibadilishe maamuzi yao kuhusu misaada.
Nahisi unahisi watakaokuwa affected mostly ni CCM sio CHADEMA maana serikali ya CCM inategemea sana misaada ya wahisani kuendesha nchi.
Siku wahisani wakitoa mikopo na misaada ndo itakuwa mwisho wa CCM
Utoto huo....Tena uchaguzi ukifanyika watakaoenda kupanga mstari wapigwe mawe haswa
Lissu anakwenda NJE kuomba fedha ya kuendeshea CHAMA CHAKE....
Kwa kweli mwenyekiti Lissu anaujua UKATA aliokuta ofisini mwake....
Ni ujanjajanja wake wa kuwahadaa WAJINGA...bali bakuli la CHADEMA linakwenda kutembezwa ULAYA.....
Huko ndio kuna pesaWakuu,
Kumbe Heche na Lissu walikuwa na mpango wa kando kuendeleza kampeni yao ya No Reforms No Election ukiachana na kuwaambia watu walale barabarani
Erythrocyte nimeanza kukuelewa sasa
===================================================
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche amesema yeye na Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu wanatarajia kupeleka ajenda ya no reform, no election hadi nje ya nchi.
Akizungumza na wanachama wa chama hicho wa Kanda ya Kaskazini, mkoani Arusha leo Heche amesema tayari chama hicho kimewashirikisha wadau mbalimbali kuhusu ajenda hiyo na kwamba wataipeleka mbali zaidi.
“Ajenda yetu no reform, no election inazungumzika hata kama wanaizungumzia negatively (kwa mtazamo hasi) lakini wanazungumza ajenda ya CHADEMA, tumetoka na ajenda hiyo ndiyo kila siku Wasira anaimba na leo ndio Makala alikuwa anaizungumza” amesema Heche.
“Sisi ni watu tunatumia brain (akili) tume engage (kushirikisha) tumeandika mapungufu 16 ya uchaguzi ambayo hayamuwezeshi mpinzani yoyote kushinda uchaguzi, nani miongoni mwenu anaweza kusema kwamba anaweza kushinda uchaguzi kwa utaratibu huu tulionao?” amehoji Heche
Source: Nipashe
Karibu wakutoe maviTena uchaguzi ukifanyika watakaoenda kupanga mstari wapigwe mawe haswa
Nilitaka kusema, hawa watu matapeli kama akina Mwamposa siyo wa kupotezea muda mwingi kwao kwa vile wao ni bidhaa tu inayonunuliwa na CCM wenye hela, lakini nimesita kusema hivyo kwa kuelewa maana yako ya "kila mwananchi" kufikiwa bila kujali yeye ni bidhaa au la!Kuanzia February 27 kila mwananchi atafikiwa, ondoa shaka, tumeanza na Taasisi za Dini, ambako tumewaambia hakuna kuombea wanaoiba uchaguzi, kimsingi wamekubali ila wanaangalia namna ya kufanya, Bado wawili tu ambao nao tumeshatuma timu kuwaelimisha, wawili wenyewe ni BAKWATA na Mwamposa
Inabidi nikushangae tu wewe kwa uelewa hafifu kama huu.Hapa ndani hamna anaeweza kuzuia Uchaguzi, sio wanachadema wala nani na ndio maana Lissu anaenda NJE kuomba msaada.
Wahisani wakikataa kutoa hela za kuendeshea Uchaguzi, huo Uchaguzi utafanyikaje?
Kwahiyo unavyoona wewe mfumo wa chaguzi zetu upo sawa? Hauna upendeleo wowote kwa CCM?Siasa haiendi bila mazungumzo....
Tunachokikataa ni watu wajinga kuja na maamuzi na misimamo yao isiyo "partisan" na iliyo kinyume na UANZWISHWAJI WA TAIFA HILI....hapa si Kenya wala huko EU....tuna historia yetu ,mienendo yetu na malengo yetu kama taifa "as a secondary of independent goals".....
Uchaguzi wa nchi si MALI ya wanasiasa wa CCM na upinzani tu....ni matakwa ya KIDOLA na wale wasio na vyama na wasioshiriki siasa ya vyama ya aina yoyote.........
#Tanzania is a sovereign nation !!
#Nje HATUNA wajomba !!
Uko sawa.... hauna upendeleo....Kwahiyo unavyoona wewe mfumo wa chaguzi zetu upo sawa? Hauna upendeleo wowote kwa CCM?
Mkuu tutunze posts zetu hizi halafu baada ya Disemba, 2025 tuone kama hiyo No Reform, No Election imefanya kazi ama la.No reform no election . Niliwahi kusema hapa kuwa hii ni Ngoma ya chadema ambayo ccm wanaicheza pasipokujua beat na wimbo unamaanisha Nini.
......ukizitunza tu utawaaibisha ,nakwambia wanakwenda KUAIBIKA...Mkuu tutunze posts zetu halafu baada ya Disemba, 2025 hiyo No Reform, No Election kama imefanya kazi.
Hata za UKUTA tuliwatunzia wakaziruka kuwa sio zao! Ahahahahaha!!......ukizitunza tu utawaaibisha ,nakwambia wanakwenda KUAIBIKA...
...hawaaminiki hao ,ha ha haHata za UKUTA tuliwatunzia wakaziruka kuwa sio zao! Ahahahahaha!!
Ahsante!...hawaaminiki hao ,ha ha ha
Tabia ,hulka na mienendo yao ni kama mtu anayependa kupata furaha kupitia kunywa KILEVI....sasa hao waache wajifurahishe kwa makelele.....
Ulizitunza za UKUTA na uendeleze WEMA wako wa kuwatunzia.....
Hongera na karibu mkuu !Ahsante!