Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Wenye nchi wapo Ndani.., Kama ni Kushitaki mashitaka yenu peleka kwa watu, kama hawawaelewi fanyeni hima waweze kuwaelewa..
Huko nje hakuna maana ishakuwa uwanja wa fujo..., Tena kwa wanaoharibu huko bora wao wangeanza kuja hata huku kujishitaki kwa madhambi waliyokuwa wanafanya na sasa hivi wameanza kuyafanya hata bila kificho...
Huko nje hakuna maana ishakuwa uwanja wa fujo..., Tena kwa wanaoharibu huko bora wao wangeanza kuja hata huku kujishitaki kwa madhambi waliyokuwa wanafanya na sasa hivi wameanza kuyafanya hata bila kificho...