Pre GE2025 Tundu Lissu na John Heche watangaza kuipeleka ajenda yao ya "No Reform No Election" nje ya nchi

Pre GE2025 Tundu Lissu na John Heche watangaza kuipeleka ajenda yao ya "No Reform No Election" nje ya nchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wenye nchi wapo Ndani.., Kama ni Kushitaki mashitaka yenu peleka kwa watu, kama hawawaelewi fanyeni hima waweze kuwaelewa..

Huko nje hakuna maana ishakuwa uwanja wa fujo..., Tena kwa wanaoharibu huko bora wao wangeanza kuja hata huku kujishitaki kwa madhambi waliyokuwa wanafanya na sasa hivi wameanza kuyafanya hata bila kificho...
 
Suluhu ya KONGO itamalizwa na WAKONGOMANI wenyewe....umeona jinsi wanapoelekea ?!!!

Vikao vingapi havijasaidia?!!

Nje hakuna wajomba....
 
Wazungu wenyewe wanakwaruana, watawajali blacks?
Labda nje ya mipaka yetu kwa majirani Waafrika wenzetu

Lakini wazungu wao ni maslahi tu na hawawezi kufuata wengine wakati hawana ugomvi na waliopo.
Mzungu ukija kwao atakupa nyumba, posho, matibabu na Elimu
Ila ukosema unataka mabadiliko atakudharau na bla bla nyingi
Hawa wazungu ni wanafiki wa hali ya juu na sio wa kuwategemea kabisa na wajua kuteta
Kina mama wakalale
 
Wakuu,

Kumbe Heche na Lissu walikuwa na mpango wa kando kuendeleza kampeni yao ya No Reforms No Election ukiachana na kuwaambia watu walale barabarani

Erythrocyte nimeanza kukuelewa sasa

===================================================

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche amesema yeye na Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu wanatarajia kupeleka ajenda ya no reform, no election hadi nje ya nchi.

Akizungumza na wanachama wa chama hicho wa Kanda ya Kaskazini, mkoani Arusha leo Heche amesema tayari chama hicho kimewashirikisha wadau mbalimbali kuhusu ajenda hiyo na kwamba wataipeleka mbali zaidi.

“Ajenda yetu no reform, no election inazungumzika hata kama wanaizungumzia negatively (kwa mtazamo hasi) lakini wanazungumza ajenda ya CHADEMA, tumetoka na ajenda hiyo ndiyo kila siku Wasira anaimba na leo ndio Makala alikuwa anaizungumza” amesema Heche.

“Sisi ni watu tunatumia brain (akili) tume engage (kushirikisha) tumeandika mapungufu 16 ya uchaguzi ambayo hayamuwezeshi mpinzani yoyote kushinda uchaguzi, nani miongoni mwenu anaweza kusema kwamba anaweza kushinda uchaguzi kwa utaratibu huu tulionao?” amehoji Heche

Source: Nipashe
Trump lazima aingilie kati! Kitaeleweka tu.
 
Ha ha ha tuna mpango wetu pia !!Hatujiandikishi kupiga kura,hatutapiga kura na atakaye panga mstari kupiga kura lazima damu imetoke puani subiri utaona.Tumechoka
Karibu sana mkuu

Keyboard warriors watamu sana

Huwa walainiiii
 
Wakuu,

Kumbe Heche na Lissu walikuwa na mpango wa kando kuendeleza kampeni yao ya No Reforms No Election ukiachana na kuwaambia watu walale barabarani

Erythrocyte nimeanza kukuelewa sasa

===================================================

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche amesema yeye na Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu wanatarajia kupeleka ajenda ya no reform, no election hadi nje ya nchi.

Akizungumza na wanachama wa chama hicho wa Kanda ya Kaskazini, mkoani Arusha leo Heche amesema tayari chama hicho kimewashirikisha wadau mbalimbali kuhusu ajenda hiyo na kwamba wataipeleka mbali zaidi.

“Ajenda yetu no reform, no election inazungumzika hata kama wanaizungumzia negatively (kwa mtazamo hasi) lakini wanazungumza ajenda ya CHADEMA, tumetoka na ajenda hiyo ndiyo kila siku Wasira anaimba na leo ndio Makala alikuwa anaizungumza” amesema Heche.

“Sisi ni watu tunatumia brain (akili) tume engage (kushirikisha) tumeandika mapungufu 16 ya uchaguzi ambayo hayamuwezeshi mpinzani yoyote kushinda uchaguzi, nani miongoni mwenu anaweza kusema kwamba anaweza kushinda uchaguzi kwa utaratibu huu tulionao?” amehoji Heche

Source: Nipashe
Aibuuu, aibu yao hao mashoga. Baba wa Taifa afufuke ombi mahsusi.
 
Uachage uzwazwa....uchaguzi ni kila baada ya miaka 5....unaongelea TIME gani ndugu ?!!
Uchaguzi ni takwa la kisheria ,takwa hilo liongelewe leo hii ?!!

Nchi haina machafuko ,haina vita ,hakuna ULTIMATUM ,mnaburuzwaje kijingajinga ?!

#Nje hakuna wajomba!
Ona bwege hii..Hii mijitu mijinga mijinga ndio unafanya Taifa linabaki kuwa ombaomba
 
Back
Top Bottom