Uchaguzi 2020 Tundu Lissu na timu nzima ya CHADEMA, kura nyingi sana ziko kwa akina mama na wanawake, nendeni na kauli mbiu hii "Mama Mwokoe Mwanao"

Wazo zuri , nadhan watalifanyia kazi ASAP
 
Mtaji WA CCM ni wajinga ambao ndio wengi zaidi tz
 
Kuiga ni kuzuri je mnatumia mbinu gani kuiboresha hicho mlichokiiga ndo shida inapoanza hapo
 
Mtaji WA CCM ni wajinga ambao ndio wengi zaidi tz
Huna uwezo wa kutaka watu wote waamini kile ambacho wewe unakiamani, ambacho kinakufanya wewe ujihisi sio mjinga. Huo uwezo sio wa kibinaadamu na nafikiri hiyo kazi hata Mungu hakuifanya.
 
Naamini wahusika wamesikia na kuelewa, pia watafanyia kazi.
 
Lakini hatulazimishi walimu waende kwenye kampeni
Zaidi ya kubumba barua na kuchongesha mihuri feki sidhani kama mngeweza kuishi mjini.

Hizo barua zote mnazosambaza ni feki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…