Kumbe kamtafuta Chakwera Lazarius ili kuujua uzoefu?? Au Chakwera katumwa na UN?? Yote yanawezekana.Chakwera ametumwa na UN kuja kulishawishi hili jinga la hapa kuwa litachakazwa kipigo cha mbwa mwizi kama likicheza na demokrasia. Si unajua malawi walimaliza kwa amani na ustaarabu mkubwa. Wapuuzi wa desturi ni lazima waonywe!
Maccm yana hasira siku hizi. Full kulipuka tu😄😄Ilitoka ufipa hii
Kazi za kijamii. Kamati kuu Chadema mko juu sanaWatajuta kumsimamisha. Kama za kijamii zinaendelea.
Akishuka akale kwa mama ntilie 🤣 🤣Hahaaaa..... Maccm si yatapasuka mitumbo yao hiyo iliyojaa ufisadi😀😀🤣🤣
Nilikuwepo kariakoo watu wanamshangaa kama wameona Simba mjini kisha wanaedelea na mambo yao!Imagine! Yaani Chadema unaweza sema hawajawahi hata kupita shule. Halafu amepanda kwenye Mwendokasi lakini wala hashobokewi.
Huo usafiri aliotumia ni maendeleo ya vitu au watu?. Manyumbu kazi mnayo, Oct 28 lazima drama ziishe.Ni mwendo wa kukutana na kila raia kila kona, wakifunga mlango mmoja watu wanafungua mingine kumi na moja, CCM mtupishe mwaka huu, tumewachoka.
Kila anaekutana na Lissu lazima atabasamu, huo ndio mpango wa Mungu muweza alie juu asieshindwa na chochote.
Brilliant. He is a man of the people.Basi sawa!!
Kumbe Bwana Lissu anapenda vitu na maendeleo...tehteh“Nimepanda mabasi ya mwendokasi UDART kwa mara ya kwanza. Hapa nimekutana na Dada Rachel ambaye ananipa uzoefu wake wa usafiri huu. Naelekea Kariakoo”.
Hahahaha anatafuta kuraBrilliant. He is a man of the people.
Wewe mbwa hujui hata akinunua maji amelipa kodi?Sijui vichwa vyenu vina matatizo gani?Hela gani ametoa kodi huyo?
Malipo yote ya ubunge pesa ametumia ulaya sasa hapo amechangia nini kwenye kodi?
Huko akipokuwa mbunge hana historia ya chochote alichokifanya kwa wananchi wa jumbo lake.
Akibisha mwambie ataje hata vitu viwili?
Haikumsaidia Lowasa hiyo njia. Watanzania watakusifu wakingia sanduku la kura wanakuchinja“Nimepanda mabasi ya mwendokasi UDART kwa mara ya kwanza. Hapa nimekutana na Dada Rachel ambaye ananipa uzoefu wake wa usafiri huu. Naelekea Kariakoo”.
Wewe ukiwa kiongozi utawanyamazisha watu kwa risasi...hapa unatumia matusi ila tuseme mnapewa nchi angalau kwa dakika moja yaani itakuwa balaaWewe mbwa hujui hata akinunua maji amelipa kodi?Sijui vichwa vyenu vina matatizo gani?
Nilimuombea sana alipopata matatizo ya kushambuliwa apone haraka ili aje aone Tanzania inavyostawi baada ya yeye mwenyewe Lissu kuiombea mabaya Tanzania kuwa itemewe mate usoni na ulimwengu. Namshukuru Mungu amejibu maombi yangu katika muda muafaka.Atapita kila kwa kila ilichotengeneza CCM roho inamuuma hadi anaugua tene
Sema vilivyotengenezwa kwa kodi zetu,unakuwaje mura?Atapita kila kwa kila ilichotengeneza CCM roho inamuuma hadi anaugua tene
Naona utafiti wa mataga ni noma.European Union Delegation : Magufuli to win this election by 82%, Chadema -Tundu Lissu 14% other parties 4%, This sensor was conducted by staffs of European Union Delegation who was on the ground running the programme supervised by Kohen. It has been issued today.