Baba Mtakatifu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 1,332
- 2,465
Huyo wa kupambana na lisu muulize kwanza pambano la kwanza alishinda? Kama c kubebwa na refa angeshinda? Yaan huyo ata nikisimama Mimi kama refa atachezesha fair basi namwacha mbali sana.... Sema ndo ivyo tena refa mwenyewe kawekwa na yy kwann asitetee ugali.