Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Mkuu Pascal
Nakushauri Kwa Upole Na Upendo Kwa Hili Bandiko Andaa Wadhamini Na Mali Zisizohamishika Maana Duh!!!

Kazi Kubwa Sana
Mkuu Kennedy ,
Kwanini niandae wadhamini?, jee bandiko hili lina tatizo gani?.
P
 
Wakudadavua amekimbia maswali yako . kuna watu katika maisha yao mabadiliko ni ngumu Kuya kubali. UnamuwekeA lift kwenye ghorofa afike haraka juu.yy anaendelea kutembea kwa ngazi..Ili ujue uwezo wa mtu lazma umpe nguvu ya kuongoza. Sasa kuna wale waliozoea kula kwa mfumo uliopo hawa ndy wapinga mabadiliko!!
 
Tundu Lissu naona amekaa kisheria sheria zaidu, nina wasi wasi na uwezo wake wa kusimamia maendeleo ya wananchi, ila all in all sidhani kama ana ushawishi mkubwa kwa wananchi. Kiufupi hafai na wala hafit hapo
Mkuu ubarinolutu , nina maswali madogo 6 kwako
  1. Kwanini una wasi wasi na uwezo wa Tundu Lissu wa kusimamia maendeleo ya wananchi?
  2. Kwanini all in all hudhani kama ana ushawishi mkubwa kwa wananchi?
  3. Kwanini unasema kuwa kwa kiufupi Lissu hafai na wala hafit hapo?.
  4. Katika waliopo, nani ana uwezo kusimamia maendeleo ya wananchi?.
  5. Nani ana ushawishi mkubwa kwa wananchi?
  6. Jee nani anaefaa na anae fit kwa urais wa Tanzania katika uchaguzi huu?.
p
 
Mkuu shemeji Tetty, duh...!.
Hivyo utampa?.
P
 
Kwa trends zinavyokwenda kuna uwezekano mkubwa hata wabunge wa kambi ya upinzani watapungua baada ya uchaguzi 2020 bila kujali nani atakuwa mgombea Urais kwa tiketi ya upinzani.
Mkuu MsemajiUkweli , huo uwezekano wa wabunge wa kambi ya upinzani watapungua baada ya uchaguzi huu wa 2020 kutokana na nini?.
Nini kitawapunguza?.
P
 
Hakika ni zaidi ya Magufuli, kwanza hana mascandle yule mwenyekiti wenu si ndiye aliyekwapua nyumba za serikali akagawa kwa wadada na nduguze?
Shemeji Tetty, acha hizo.. !. Hakuna nyumba ya serikali iliyo kwapuliwa, ule ni uamuzi wa serikali na waliogaiwa ni watumishi wa serikali haijalishi ni wadada au wakaka, au ndugu, jamaa na marafiki, the bottom line ni watumishi wa serikali!.
P
 
Paskali, si vema kumlinganisha mtu ambaye ana matatizo ya akili na Dkt Magufuli. Lisu ana matatizo yake binafsi kiakili.
Mkuu Mudawote , jee hili la Tundu Lissu kuwa na matatizo ya akili una uhakika nalo?. Miongoni mwa sifa za kugombea ni pamoja na kuwa na akili timamu, unaweza kuthibitisha kuwa Tundu Lissu ana matatizo yake binafsi ya kiakili?.
P
 
Duh kweli....
 
Mkuu YEHODAYA , duh...yaani una maanisha Tundu Lissu hajafanya lolote na chochote cha maana kule kwenye jimbo lake?. Kwani wewe ni mtu wa kule?.

Wanabodi, kama kuna mtu yoyote wa kule jimboni kwa Tundu Lissu, naombeni ajitokeze na kutueleza Tundu Lissu amefanya nini kule jimboni kwake, hata jambo moja tuu kabla hajashambuliwa, ili tulitumie kama a yard stick ya kumpa madaraka makubwa zaidi.
Nani anaweza kututajia?.
P
 
"Kwa jinsi nilivyomsikia Tundu Lissu na namna anavyoongea, then huyu Tundu Lissu ni typical yuko kama Magufuli type tena yeye ni zaidi ya Magufuli!.

Hivyo kwa vile Watanzania huwa hawachagui sera wala hawachagui vyama bali huchagua watu, kama, Magufuli ameweza kuchaguliwa kihalali na kumshinda Edward Lowassa, kwenye uchaguzi Mkuu huru na wa haki, then you cannot tell about Watanzania huwa wanachagua nini, hivyo Tundu Lissu ambaye ni zaidi ya Magufuli, akisimama na Magufuli, you can never tell what will happen!, Magufuli naweza akaachwa mbali sana! , ila litabaki swali moja tu dogo, with reference ya kilichotokea Zanzibar, hata huku bara, je ikitokea kweli Chadema ikamsimamisha Tundu Lissu na ikatokea Tundu Lissu akishinda, jee atapewa?." - Pascal Mayalla, July 24 2017

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…