Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Ikifanywa mizengwe ya kumnyima [HASHTAG]#lissuthegreat2020[/HASHTAG] nafasi yake anayostahili 2020 basi Chadema itakuwa imejimaliza yenyewe na kufanya kazi ile hawa wahuni na mafisadi wa MACCM wamejaribu kwa miaka chungu nzima sasa kuifanya ya kuimaliza Chadema lakini hawajafua dafu.

Lissu ana personality kubwa kushinda dikteta uchwara, hatakacha kusafiri nchi za nje kama huyu uchwara kwa sababu lugha ya kwa mama haipandi.

[HASHTAG]#lissuthegreat2020[/HASHTAG]

akipitishwa chadema atakuwa rais!!!


ila hawezi kamwe kupitishwa
 
Mkuu Paskali, hata Tundu mwenyewe anajua kuwa ni mzuri sana kwenye nafasi ya kuongea hovyo na kukosoa lakini si utekelezaji. TLS sasa imeshamshinda,hakuna linalofanyika kwa manufaa ya wanasheria.
Unajua malengo waliyojiwekea? Au unabwabwaja!!!!
 
Tetty,
hakuna masomo wala profesional ya kusomea ili uwe rais:narudia tena hakuna masomo wala profesional ya kusomea ili uwe rais:kuna marais weng dunian hawakusoma sheria lakin wamezifikisha inch zao katika uchumi uliobora zaid:kiongoz bora hupimwa kwa matendo na uwezo wa kusimamia maendeleo na kuchochea ukuaj na ustawi wa jamii yake huku akitanguliza uzalendo kwanza kwa taifa lake
 
h

hakuna masomo wala profesional ya kusomea ili uwe rais:narudia tena hakuna masomo wala profesional ya kusomea ili uwe rais:kuna marais weng dunian hawakusoma sheria lakin wamezifikisha inch zao katika uchumi uliobora zaid:kiongoz bora hupimwa kwa matendo na uwezo wa kusimamia maendeleo na kuchochea ukuaj na ustawi wa jamii yake huku akitanguliza uzalendo kwanza kwa taifa lake
Wamezifikisha nchi zao hapo kwa kuwasikiliza wanasheria.....that's the difference
 
Mayalla Lissu anaweza kuwa raisi wa TLS yenu lakini siyo Raisi wa JMT. Huyo ni mwanaharakati siyo mwanasiasa!!
 
yamindinda,
w big up mkuu watu wanacomment kwa ushabik tu hata kuchungulia sheria inasemaje hawatak lkn mtu anakwambia kaonewa::anasubir kiongoz wake atoe .msimamo na yy achukue huo huo:::kutafakar nooo
 
Tundu is a poor choice! Too biased to one corner., we need an all rounder president., either from CCM or opposition.
Zitto is toxic and Mbowe is old story, EL is too tainted.
Our oppositions in a bad state.

If i were CDM i would start grooming new candidates before its too late.

Stable and focused approach.
 
Mkuu Pascal
Nakushauri Kwa Upole Na Upendo Kwa Hili Bandiko Andaa Wadhamini Na Mali Zisizohamishika Maana Duh!!!

Kazi Kubwa Sana

Mkuu, naona hujamuelewa Pascal analenga nini.

Msome tena maana Pascal tunaemfahamu vizuri ana uwezo wa kuandika.
 
Wenye uelewa wa unachomaanisha tumekupata.

Ila umeharibu uliposema "kilichotokea Zanzibar" maana Tundu Lissu hawezi kuwa mgombea wa uraisi ndani ya Chadema.

Tatizo la Tundu Lissu ni kutafuta huruma kwa wananchi kupitia jukwaani ambapo anaongea kama mBunge wa Chadema na akipelekwa polisi anajitetea kama raisi wa TLS.

Bibi Fatma Karume nae haelewi huu mchezo unaochezwa na Tundu Lissu naona amejiingiza mzimamzima akitumia kofia ya jina la familia.

Hakika atakapokanyaga tope zito kama lile la pale Selander darajani karibu na pale Sea View alipowahi kukaa, itakuwa ngumu sana kuchomoka.
 
Kwa hali ilivyo sasa Tanzania akigombea yoyote upinzani anapita tu, maana watu walisha ichoka serikali ya ccm hasa wanafunzi wa vyuo vikuu na wafanyakazi waajiliwa( waalimu,wauguzi,na madaktari), tatzo ni kuwa hata akishinda hawezi kupewa nchi.
Democracy ya kweli ipo mbingun tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lissu mwenyewe anajijua kama ni mropokaji na alishasema hilo wakati anafungua mkutano wa TLS,akawaomba wamvumilie kwa uropokaji na jazba ndio alivyozaliwa eti.

Pasco umetudharau sana watanzania kwa kusema Tundu Lissu asimame na Magufuli
 
Kwani serikali nzima itaendeshwa na Lissu? Vp RCs, DCs, mawaziri pamoja na nafasi zingine za kisiasa zinazopaswa kishikwa na wanachadema wenyewe are they elite enough to run the government?
Wapo wa kutosha sana sana tuu. Uelewe kuwa kutokana na mwenendo wa siasa zetu wapo wengi uanachama wao wa vyama vya upinzani ni wa siri. Kuna maofisa waandamizi wa serikali (kama alivyokuwa Kitila) wengi tuu ambao ni wanachama wa vyama vya upinzani.
Hata hivyo usijali sana, hao ma RC na ma DC kwa ilani ya Chadema wametajwa kuwa hawana ulazima kuwepo hivyo muswaada unaweza kutengenezwa ndani ya siku 100 na kupelekwa bungeni kufuta uwepo wao katika katiba.
 
Back
Top Bottom