Kiongozi mkuu2020
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 1,748
- 998
Kwani serikali na polisi ndio walioshambuliwa??..serikali na jeshi la polisi ndio wenye mamlaka ya kufungua kesi hiyo.
..ndio maana ulishuhudia serikali imemshtaki askari aliyemuua muandishi wa habari daudi mwangosi badala ya familia au ndugu za marehemu kufungua kesi dhidi ya askari.
Kwani serikali na polisi ndio walioshambuliwa??
Hoja au matusi.Akifumuliwa kwa hoja au kwa risasi?
Magufuli hakua Fundi wa Siasa,alimshindwa Lisu kisiasa akaamuru aliyoamuru
Nchi yetu pendwa, kipenzi cha nchi nyingi duniani, kilimbilio la watu wote waliokua wakikandamizwa kwenye nchi zao hakuwahi kutawaliwa na Rais wa ajabu kama Magufuli.
Rais ambaye hakuwapenda raia wake, hakusikiliza tulio hai, akitoa matamko ya kudhalilisha na kukejeli.
Rais ambae hakuheshimu wazee, wala maraisi waliomtangulia. Hakusikiliza ushauri wa mtu yeyote.
Wazee watatu, Mwinyi, Mkapa na Kikwete walipojaribu kushauri waliambiawa waache"kuwashwawashwa".
Wakuu wa vyombo vya kutoa haki walimwogopa, Mahakama na Bunge.
Wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama walimwogopa.
Washauri wake kitaaluma walimwogopa.
Viongozi wa Kiroho walimwogopa.
Bora angekua Ana fanya ama kutoa maamuzi sahihi,lakini sehemu kubwa ya maamuzi yake yalikua ya HOVYO.
Lakini pamoja na kuogopwa kote huko, kijana Mtanzania Tundu Antipas Mugwai Lissu hakumuogopa asilani.
Tundu alikosoa, alitetea na alisema kile alichostahili kusema.
Tundu alianza kumsumbua Mkapa kutokana na baadhi ya Watanzania wenzetu wachimbaji wa madini kufukiwa,kuzikwa wakubwa hai, yaani wakubwa wazima wa afya.
Tundu aliendelea kutetea watu hao hata kipindi Cha Kikwete,na wakati Fulani wa uchaguzi Kikwete akiwa angombea Urais aliwahi Kumpigia Kampeni DK Wilbroad Slaa wa Chadema ambae nae alikua angombea Urais akichuana na Kikwete.Kikwete aliamua kusema kwenye Kampeni huko Singida.
"Msimchague Tundu Lissu, ni afadhali Dkt. Slaa awe Rais kuliko Tundu Lissu kuwa Mbunge.
Tundu Lissu aliendelea kuitesa serikali ya CCM kwa hoja zake.
Tundu Lisu hakumuacha Magufuli salama.
Kwa sababu ya Magufuli kutokuheshimu katiba aliupata wakati ngumu zaidi kwa Lissu bigwa wa sheria.
Katika maraisi hawa watatu Magufuli ndio amekufa sio mvumulivu kabisa kwa hoja za Lissu.
Lisu aliamka siku Moja na akaponea Tundu la sindano kwa kumiminiwa risasa 38 na zilizoingia mwilini Ni 16.
Lisu alitibiwa Dodoma, Nairobi na Belgium.
Uchaguzi Mkuu wa pili kwa Magufuli Lisu alirudu kibabe na kugombea Urais akipambana vikali na Magufuli.
Katika Kampeni hizo Lissu alionesha uwezo wa hali ya juu Sana kujenga hoja na ushawishi.
Kitu cha ajabu na cha kushangaza Lissu alikua pamoja na hoja za kiuchaguzi lakini alieleza mabaya na mapungufu yote ya rais aliekua anaogopwa kuliko Raisi yoyote Tanzania, Magufuli, Lissu alipenda kumwita Magufuli "mwovu"
Lisu haogopi bwana alikua anamchana Live dikteta uchwara yule, kamchana kwelikweli na dikteta akawa mpole tu.
Tanzania hii hakuan mtu aliweza jumps makavu Live dikteta yule zaidi ya Lissu.
Lisu kwanza kumchana dikteta yule akiwa hajapigwa risasi, akamchana alipopigwa risasi na akaendelea kumchana baada ya kupigwa risasi.
Lisu kamchana dikteta yule kwa hoja na hoja zake wakashindwa kuzijibu kwa hoja, badala yake kifo ndio ikawa majibu ya hoja za Lissu.
Baada ya Kampeni Lissu akaondoka kibabe.
Tanzania hii nasema hakuna aliyeweza kumkosoa Mchato yule. Si wazee, si mauaji, si wabunge, si viongozi wa Kiroho, sio Makamanda, sio wanazuoni, sio mabalozi. Tundu Lissu aliweza kumjibu Lissu kwa hoja walishindwa.
Kwa binadamu Lissu kaweza
Lakini Mungu Ni Fundi.
Mwambie jamaaa yenu akafuatilie kesi yake mahakamani kama anaujasirii..naelewa kwanini unafikiri hivyo.
..lakini sheria zetu ndio zimeipa Jamhuri mamlaka ya kushitaki makosa ya jinai.
..kwa suala la Lissu, jamhuri / serikali ndio yenye mamlaka ya kuchunguza, kuwakamata, na kuwashitaki, waliomshambulia.
..hata mimi au wewe tukishambuliwa --MUNGU atuepushe-- polisi watachunguza na kuwakamata watuhumiwa, na serikali itawashtaki mahakamani.
Nachekesa saaanaaa...serikali na jeshi la polisi ndio wenye mamlaka ya kufungua kesi hiyo.
..ndio maana ulishuhudia serikali imemshtaki askari aliyemuua muandishi wa habari daudi mwangosi badala ya familia au ndugu za marehemu kufungua kesi dhidi ya askari.
Mwambie jamaaa yenu akafuatilie kesi yake mahakamani kama anaujasirii
Dikiteita Mungu akamfyekelea kwa mbaliNchi yetu pendwa, kipenzi cha nchi nyingi duniani, kilimbilio la watu wote waliokua wakikandamizwa kwenye nchi zao hakuwahi kutawaliwa na Rais wa ajabu kama Magufuli.
Rais ambaye hakuwapenda raia wake, hakusikiliza tulio hai, akitoa matamko ya kudhalilisha na kukejeli.
Rais ambae hakuheshimu wazee, wala maraisi waliomtangulia. Hakusikiliza ushauri wa mtu yeyote.
Wazee watatu, Mwinyi, Mkapa na Kikwete walipojaribu kushauri waliambiawa waache"kuwashwawashwa".
Wakuu wa vyombo vya kutoa haki walimwogopa, Mahakama na Bunge.
Wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama walimwogopa.
Washauri wake kitaaluma walimwogopa.
Viongozi wa Kiroho walimwogopa.
Bora angekua Ana fanya ama kutoa maamuzi sahihi,lakini sehemu kubwa ya maamuzi yake yalikua ya HOVYO.
Lakini pamoja na kuogopwa kote huko, kijana Mtanzania Tundu Antipas Mugwai Lissu hakumuogopa asilani.
Tundu alikosoa, alitetea na alisema kile alichostahili kusema.
Tundu alianza kumsumbua Mkapa kutokana na baadhi ya Watanzania wenzetu wachimbaji wa madini kufukiwa,kuzikwa wakubwa hai, yaani wakubwa wazima wa afya.
Tundu aliendelea kutetea watu hao hata kipindi Cha Kikwete,na wakati Fulani wa uchaguzi Kikwete akiwa angombea Urais aliwahi Kumpigia Kampeni DK Wilbroad Slaa wa Chadema ambae nae alikua angombea Urais akichuana na Kikwete.Kikwete aliamua kusema kwenye Kampeni huko Singida.
"Msimchague Tundu Lissu, ni afadhali Dkt. Slaa awe Rais kuliko Tundu Lissu kuwa Mbunge.
Tundu Lissu aliendelea kuitesa serikali ya CCM kwa hoja zake.
Tundu Lisu hakumuacha Magufuli salama.
Kwa sababu ya Magufuli kutokuheshimu katiba aliupata wakati ngumu zaidi kwa Lissu bigwa wa sheria.
Katika maraisi hawa watatu Magufuli ndio amekufa sio mvumulivu kabisa kwa hoja za Lissu.
Lisu aliamka siku Moja na akaponea Tundu la sindano kwa kumiminiwa risasa 38 na zilizoingia mwilini Ni 16.
Lisu alitibiwa Dodoma, Nairobi na Belgium.
Uchaguzi Mkuu wa pili kwa Magufuli Lisu alirudu kibabe na kugombea Urais akipambana vikali na Magufuli.
Katika Kampeni hizo Lissu alionesha uwezo wa hali ya juu Sana kujenga hoja na ushawishi.
Kitu cha ajabu na cha kushangaza Lissu alikua pamoja na hoja za kiuchaguzi lakini alieleza mabaya na mapungufu yote ya rais aliekua anaogopwa kuliko Raisi yoyote Tanzania, Magufuli, Lissu alipenda kumwita Magufuli "mwovu"
Lisu haogopi bwana alikua anamchana Live dikteta uchwara yule, kamchana kwelikweli na dikteta akawa mpole tu.
Tanzania hii hakuan mtu aliweza jumps makavu Live dikteta yule zaidi ya Lissu.
Lisu kwanza kumchana dikteta yule akiwa hajapigwa risasi, akamchana alipopigwa risasi na akaendelea kumchana baada ya kupigwa risasi.
Lisu kamchana dikteta yule kwa hoja na hoja zake wakashindwa kuzijibu kwa hoja, badala yake kifo ndio ikawa majibu ya hoja za Lissu.
Baada ya Kampeni Lissu akaondoka kibabe.
Tanzania hii nasema hakuna aliyeweza kumkosoa Mchato yule. Si wazee, si mauaji, si wabunge, si viongozi wa Kiroho, sio Makamanda, sio wanazuoni, sio mabalozi. Tundu Lissu aliweza kumjibu Lissu kwa hoja walishindwa.
Kwa binadamu Lissu kaweza
Lakini Mungu Ni Fundi.
Baada ya Nyerere lissu ndiye anafuata kwa uzalendo na ujasiri
Wewe unauelewa wa masuala ya sheria. Na hapo unazungumzia makosa ya jinsi ambapo hilo la kumhamanikia kwa Lisu ni miongoni mwayo. Kwa makosa ya jinai, Jamhuri ndiyo yenye wajibu na dhamana ya kushitaki. Hilo ni suala la sheria. Kwa anayekupinga, ni katika kudhihirisha kauli kwamba asiye na ufahamu mpana wa jambo ndiyo huwa mwongeaji sana mwenye kujifanya mjuvi...naelewa kwanini unafikiri hivyo.
..lakini sheria zetu ndio zimeipa Jamhuri mamlaka ya kushitaki makosa ya jinai.
..kwa suala la Lissu, jamhuri / serikali ndio yenye mamlaka ya kuchunguza, kuwakamata, na kuwashitaki, waliomshambulia.
..hata mimi au wewe tukishambuliwa --MUNGU atuepushe-- polisi watachunguza na kuwakamata watuhumiwa, na serikali itawashtaki mahakamani.
Chadema ndiyo waliondosha walinzi na cctv eneo lá tukio? Basi wananguvu sana kuliko serikali katili ya ccm.Inside job ya Chadema hyo
Mtikila kiboko yake alikua fisadi Rostam Aziz.Hizi ni zile zile ibada za kuabudu binadamu. Walikuwepo akina Rev. Mtikila bwana.