Hae Mosu
Member
- Dec 23, 2019
- 43
- 33
CHADEMA wana nguvu kuliko serikali.Inside job ya Chadema hyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHADEMA wana nguvu kuliko serikali.Inside job ya Chadema hyo
Hao waliotaka kumuua Mungu anawapa semina kidokidogo. Wengine wote waliufyata baada ya vitisho lakini Lissu yupo!Acha tufanye utani kwa sababu ya ujinga wetu, lakini Tundu Lisu ni kiumbe kingine hata hapo CHADEMA sio mahàli pake. Mpaka kesho sidhani kama CHADEMA wanajue wanaishi na kiumbe cha amina gani. Walioamuru apigwe risasi wanamjua vizuri.
Ujasiri hautafsiriwi kwa kujipeleka mwenyewe kwenye kinywa cha simba...Jasiri anayeufyata na kukimbia kulelewa na wazungu
Huwezi kumlinganisha Nyerere na Lissu kwa ujasiri, Lissu anamzidi Nyerere mbali sana.Baada ya Nyerere lissu ndiye anafuata kwa uzalendo na ujasiri
Na aliporudi CCM mkaufyata tenaTundu Lissu mbabe wake ni Lowassa, maana pamoja na Lissu kujua hivyo na mwenyewe alishawahi kusema kwamba Lowassa ni fisadi na kuwashangaa ccm kumpa fomu ya kugombea urais fisadi, ila Lowassa alipokuja Chadema kutaka kugombea urais Lissu aliufyata hakuzungumza tena ufisadi wa Lowassa.
Aliporudi ccm ndio Lissu akaanza kuongea tena.Na aliporudi CCM mkaufyata tena
Naijua hiyo stori lakini alikuwa ni mpambanaji na aliwasha moto mzito kwenye issue ya mgombea binafsi wa Urais. Yule alikuwa ni jeshi la mtu mmoja. Issue ya Rostam ilimtia doa. Hawa wengine wa sasa madoa yao wamefanikiwa kuyaficha vizuri.Mtikila kiboko yake alikua fisadi Rostam Aziz.
Alienda kukopa kwa Rostam sh milioni tatu.
Rostam akamwandikisha maelezo.
Mtikila akasahau akaanza kuwaponda mafisadi pamoja na Rostam.
Rostam akatoa barua ya mkopo ya Mtikila.
Pamoja na Ombi la msaada ya fedha za kwaya ya kanisa la Mtikila.
Mtikila akaona aibu.
Rostam mafia
Rais mchapakazi haijawahi kutokea tangu ziumbwe mbingu na ardhi .R.I.P jemedari ,mtu kama wewe lazima ulete izo fitna na huwezi ona mchango wke kwasababu wewe ni Mganda.Nchi hii haikuwahi kupata mtu mpenda sifa na MUONGO kama Marehemu wa legacy.aka Jiwe,aka Mwendazake,aka Rais wa Malaika
Naona kama hili ni bandiko la kuabudu na kutweza, kama ni kumkosoa, JPM amekosolewa sana, na wengi, ila hili la ujasiri, ni kweli Lissu jasiri.Tanzania hii hakuan mtu aliweza jumps makavu zaidi ya Lissu.
Tanzania hii nasema hakuna aliyeweza kumkosoa Mchato yule. Si wazee, si wabunge, si viongozi wa Kiroho, sio Makamanda, sio wanazuoni, sio mabalozi. Tundu Lissu aliweza kumjibu Lissu kwa hoja walishindwa.