Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Upo sahihi sn mkuuKwa sasa hivi Tundu Lissu ndiye mwanasiasa mwenye mvuto Tanzania. Hoja zake zinajadiliwa na kila mtu na zimepelekea hata vyuo kutunga mitihani kuhusu Muungano na hali ya siasa nchi ni.
Mwanafunzi wengi wanaofanya mitihani ya majaribio wameona reflection ya hoja za Lisu kwenye masomo na maswali.
Vijiwe vyote vinamjadili Lissu na kufanya viongozi kuweweseka kuhusu moto anaouwasha.
Watu kama Halima wanalipwa kupunguza makali ya Lissu lakini pia baadhi ya viongozi wa kisiasa wameonekana wazi kukerwa na idadi kubwa ya wananchi wanaomsikiliza.
Akiendelea kupiga mawe hivi wabunge watapata wakati mgumu sana majimboni 2025, wananchi watakuwa wamejaa chuki.
Hawa ni kuwanyoosha haswaAcha wivu we mpumbavu kama wewe na wajukuu zako mtafia huko kijijini kwenu IKWINGWIFU ni wewe
Kimboka inakuhusuLISU hafai hata kuwa mjumbe wa nyumba 10
Hatutaki mwanasiasa mwenye mvuto.Kwa sasa hivi Tundu Lissu ndiye mwanasiasa mwenye mvuto Tanzania.
Wenye akili tunamwelewa lisuKwa sasa hivi Tundu Lissu ndiye mwanasiasa mwenye mvuto Tanzania. Hoja zake zinajadiliwa na kila mtu na zimepelekea hata vyuo kutunga mitihani kuhusu Muungano na hali ya siasa nchi ni.
Mwanafunzi wengi wanaofanya mitihani ya majaribio wameona reflection ya hoja za Lisu kwenye masomo na maswali.
Vijiwe vyote vinamjadili Lissu na kufanya viongozi kuweweseka kuhusu moto anaouwasha.
Watu kama Halima wanalipwa kupunguza makali ya Lissu lakini pia baadhi ya viongozi wa kisiasa wameonekana wazi kukerwa na idadi kubwa ya wananchi wanaomsikiliza.
Akiendelea kupiga mawe hivi wabunge watapata wakati mgumu sana majimboni 2025, wananchi watakuwa wamejaa chuki.
Mabeberu wanamtegemea Lisu, kwani ni kipi wanakikosa hadi sasa hapa nchini hadi wamtumie Lisu?Jidanganyeni .
Mwenzenu si raia wa Tz na hata familia yake haipo Tanzania.
Lissu NI kibaraka wa mabeberu.
Maendeleo yanaletwa na wananchi kwa kufanya Kazi, huku wakilipa kodi.Hatutaki mwanasiasa mwenye mvuto.
Tunataka mwanasiasa atakaeweza kuisukuma TANZANIA kimaendeleo.
Muungano wa matambiko ni WA kupigwa chini na watu wasioamini ushirikina.Lisu ni mharakati aliyobobea. Hilo apewe maua yake.
Walakin
Na kwa maoni yangu-Haitatokea hata siku moja, akawa Raisi wa Tanzania.
Itakuwa ni hatari kwa Usalama wa Muungano na Taifa letu.
nashkuru kwa kuelewa hilo kwamba maendeleo hayataletwa na lisuMaendeleo yanaletwa na wananchi kwa kufanya Kazi, huku wakilipa kodi.
Ni kweli,.ndio maana tunataka kiongozi mwenye mvuto kwa ajili ya hamasa kwa wananchi kuchapa kazi.nashkuru kwa kuelewa hilo kwamba maendeleo hayataletwa na lisu
Hatutaki kiongozi mwenye mvutoNi kweli,.ndio maana tunataka kiongozi mwenye mvuto kwa ajili ya hamasa kwa wananchi kuchapa kazi.
Nyani haoni kundule! Wenye afya ya akili mdororo ni ccm wanaogawa kanga na kofia kwa wapigakura maskini ambao nao akili zao zimeozeshwa na umaskini usiomithilika uliosababishwa na sera mbovu za ccm!Wafuasi wake wengi ukiwapima afya ya akili zao zina mushkeli!
Huyu TUNDU LISU mnayepigia debe na kumpamba sana humu,kiuhalisia alishapoteza sifa ya kuaminika muda mrefu sana.Ni kweli Lisu na washirika wake wamekuwa waibuaji wa madudu na maovu mengi ya utawala huu wa CCM, lakini alitushangaza na kutukatisha tamaa wengi wetu pale alipokinzana waziwazi na JPM alipoamua kuivunja mikataba iliyokuwa kero ya miaka mingi, matokeo yake Lisu aligeuka kuwa mtetezi wa hayo makampuni, kesi zilifunguliwa dhidi ya serikali na tulishuhudia ndege zetu zikishikiliwa huko nje ,hivyo alitufundisha wengi kuwa hatupaswi kumwamini mwanasiasa yeyote naye akiwemo.Kwa sasa hivi Tundu Lissu ndiye mwanasiasa mwenye mvuto Tanzania. Hoja zake zinajadiliwa na kila mtu na zimepelekea hata vyuo kutunga mitihani kuhusu Muungano na hali ya siasa nchi ni.
Mwanafunzi wengi wanaofanya mitihani ya majaribio wameona reflection ya hoja za Lisu kwenye masomo na maswali.
Vijiwe vyote vinamjadili Lissu na kufanya viongozi kuweweseka kuhusu moto anaouwasha.
Watu kama Halima wanalipwa kupunguza makali ya Lissu lakini pia baadhi ya viongozi wa kisiasa wameonekana wazi kukerwa na idadi kubwa ya wananchi wanaomsikiliza.
Akiendelea kupiga mawe hivi wabunge watapata wakati mgumu sana majimboni 2025, wananchi watakuwa wamejaa chuki.
Kwa mtaji huo unadai yanayonekana kwenye picha👇🏿 ni matambiko ya ushirikina?Muungano wa matambiko ni WAkupigwa chini na watu wasioamini ushirikina.
Jidanganye ogopaJidanganyeni .
Mwenzenu si raia wa Tz na hata familia yake haipo Tanzania.
Lissu NI kibaraka wa mabeberu.
Haya ndio yalifanywa hadharani, nyuma ya pazia ulikuwa uchafu mtupu.Kwa mtaji huo unadai yanayonekana kwenye picha👇🏿 ni matambiko ya ushirikina?
🤔 hatari aisee🤦🏾♂️