Mabeberu wanamtegemea Lisu, kwani ni kipi wanakikosa hadi sasa hapa nchini hadi wamtumie Lisu?
Hata Mimi ningepata nafasi ya kupeleka watoto wangu ulaya ningewapeleka hata Leo, mtabaki nyie mnaaona sifa kuitwa wanyonge huku viongozi wakisomesha watoto wao shule Bora.