Tundu Lissu nenda taratibu, tumia hekima na busara kumaliza tofauti zako na Freeman Mbowe. Vinginevyo mnaiua CHADEMA

Tundu Lissu nenda taratibu, tumia hekima na busara kumaliza tofauti zako na Freeman Mbowe. Vinginevyo mnaiua CHADEMA

Tanzania ya Samia imeifunika CHADEMA vibaya Sana. Urafiki wa Tundu Lissu na Mbowe hauta ifufua. Uchaguzi wa mwaka ujao utakuwa msema kweli
 
Tatizo la Chadema ni Mbowe,

Shida yenu tukianza kumsema humu kinazuka kile kikundi chake cha kikabila kumtetea...

Mbowe ni pro maslahi sana, hua namshauri Lissu atengeneze Chama kipya...

Najua kitachukua mda mrefu, lakini by 2030 kitakua tishio na tunaweza kuchukua nchi...

Kuendelea kuing'ang'ania Chadema, kuna siku watamshinda nguvu na kumzushia propaganda itakayochukua mda kuisafisha.
Nlikuwa naipenda CHADEMA from the heart
Shida kubwa wanafeli kuwa na leadership succession plan.
Kisingizio ooh bado tunamhitaji Mbowe ina maana siku huyo Mbowe akaunga juhudi itakuwa ndo mwisho wa CHADEMA?
Mm nlitegemea awe amewandaa akina Mbowe wengine wakuchukua mikoba yake mwisho wa siku huku down watu hawawezi kuwaelewa km Wana dhamiri Safi ya kushika dola.
Sitaki kuandika gazeti nyumbu watanipopoa na mawe kila kitu ndyo mwenyekiti nonsense!
 
Nilisema tangu mwanzo kuwa Chadema sio chama cha upinzani, ni geresha tu ili kuonekana Tz kuna upinzani. Mbowe ni kama Mrema tu!
 
Mimi The Palm Beach si mwanachama wa CHADEMA ila ni mpenzi na mfuasi wake na nakiunga mkono kwelikweli chama hiki...

Ni wazi kuwa Kuna mgogoro mkubwa kati ya Mwenyekiti Freeman Mbowe na Makamu Mwenyekiti wake Tundu Lissu ndani ya CHADEMA

Nitasikitika na kuumia sana kama chama hiki cha siasa kilicho tegemeo pekee la Watanganyika nacho kitafuata njia ya CUF, TLP na NCCR - MAGEUZI kujidhoofisha na kisha kwenda kujifia zake huko.

Na naona wazi kabisa, kazi hii ya kukisambaratisha chama hiki inafanywa na viongozi wenyewe kwa kujua au kutojua.

Mpaka hatua hii, haina shaka kuwa iko shida ndani ya CHADEMA hususani kwa viongozi wakuu wa chama. Ili kukiokoa chama hiki na kuhifadhi moto wake uliowashwa kwa miaka takribani 30 sasa usizimike ni lazima ifanyike intervention ya haraka kuzuia hali hii isifikie point of no return.

Press Conference ya Tundu Lissu huko Singida leo imethibitisha shaka yangu hii.

Kila alichoki - address kule Singida mbele ya waandishi wa habari kuhusu uchaguzi wa serikali za vijiji na mitaa hakina shida, ni kizuri na ni kweli hali ndivyo ilivyo

Lakini mwishoni alipoulizwa swali na waandishi wa habari kama hiyo ni kauli ya chama ama la na yeye kujibu kuwa, kila alichokisema hapo ni cha yeye Tundu Lissu na sio kauli ya chama na kwamba baadaye ndio atapeleka hoja hizo ndani ya chama na kushinikiza ziwe ni kauli rasmi ya chama, nikawa shocked kidogo na kuliona tatizo hili ninalolisema hapa kwa uwazi kabisa...

Hii ya Singida ni mwendelezo wa tukio na kauli nyingine aliyoitoa kule Same - Kilimanjaro. Hii ya Same ilimshambulia Mwenyekiti wake Freeman Mbowe moja kwa moja bila kificho....

Kauli ya Tundu Lissu kule Same - Kilimanjaro aliitoa baada ya kusambaa kwa tuhuma kuwa, ule mkutano uliokuwa uhututubiwe na yeye huko Same, eti ulizuiliwa na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe kwa kushirikiana na CCM kwa kutumia Polisi...

Ieleweke kuwa hoja hapa si kuzuiliwa kwa mkutano huo iwe ni kwa sababu hiy kweli au nyingine....

Tatizo ni namna Tundu Lissu alivyoshughulikia tuhuma hizo zilizomuhusisha Mwenyekiti wake...

Kauli yake kule Same Kilimanjaro ilikuwa hii, nanukuu;

"........Kama ni kweli, basi nyie ndiyo wenye chama, ndio wanachama wa chama hiki. mnapaswa kujiuliza Je, kila anayevaa makombati haya ni mwenzetu kwa kiasi gani kama anaweza kushirikiana na wabaya wetu kutuhujumu. Ila kama tuhuma hizi sio za kweli, basi mtanisamehe.."

Hii statement ni tata sana. Ni kama vile Makamu Mwenyekiti alishajiridhisha kuwa ni kweli Mwenyekiti wake ametenda hivyo na akaisema indirectly ili kupeleka ujumbe mahususi kwake...

Kwa kawaida, mimi nilifikiri kuwa, kabla ya kusema lolote, basi Makamu Mwenyekiti alipaswa kutumia hekima kidogo ya kuwasiliana na Mwenyekiti wake na kupata kauli yake juu ya tuhuma hizo zilizoelekezwa kwake. Na majibu ya Mwenyekiti ndiyo yalipaswa kuwa mwongozo wake kujibu hoja hiyo hadharani mbele ya umma...

Lakini kwa kauli yake hii, moja kwa moja inaonesha kuwa hakuwa amewasiliana na Mwenyekiti wake.

Na kama ni hivyo, napata shaka kuelewa kama hata Mwenyekiti na ofisi kuu ya chama (katibu mkuu na mtendaji mkuu wa chama) kama walikuwa wanajua kuwa Makamu Mwenyekiti wao atakuwa ziarani Same - Kilimanjaro siku hizo.

USHAURI:

CHADEMA kaeni chini, malizeni tofauti zenu amicably. Na kama kuna mambo yanayokwanza wengine, basi yashughulikiwe haraka ndani ya chama kwa taratibu za wazi za kichama....

Kuonesha tofauti zenu waziwazi huku nje ni hatari sana na wapinzani wenu wakuu CCM watatumia mwanya na udhaifu huu kuwamaliza kabisa na kusambaratika Moja kwa moja...

Hiki (Anguko la CHADEMA) ndicho CCM wanachokisubiri kukiona kikitokea Ili waweze kupumua....

Na hili la kuisambaratisha CHADEMA likitokea mikononi mwenu wewe Freeman Mbowe, Tundu Lissu, John Mnyika na Kamati kuu kwa ujumla fahamuni leo kuwa, mtalipa gharama kubwa sana Ili Watanganyika wawasamehe...!!!

CC: Erythrocyte
CHADEMA HAWAPENDI KUSEMWA NGOJA WAJE WAKUTOLEE MATUSI HAPO UTAONA MWENYEWE SISI HATUKUSAIDIII
 
Umenena vema Mkuu
CDM wanayumba kutokana na mambo kadhaa:

CDM wameshindwa kuhimili kishindo cha chnagmoto za Ukubwa wa Taasisi.
Taasisi inapokuwa kubwa sana huwa ni desturi kwa migongano na changamoto kubwa kuibuka kwa kasi. Njia ya kuhimili hili ni kujenga na kufanya maamuzi kwa kuzingatia kanunu, sheria na vikao halali. dosari hii imesababisha washindwe kutofautisha kati ya adui wa kiongozi na adui wa chama. Wamewapoteza makamanda wao muhimu ambao waliwalea na kuwakuza kwa jasho na damu kwa sababu nyepesi nyepesi tu. Yaani una Messi, Iniesta na Xavi alafu mwenyekiti wa club unwapoteza kirahisi tu bila kujari hatma ya club yako. Ukiwa club kubwa lazima uwe na uwezo wa ku handle ma stars. Ukiona wanaanza kukufunika usiwaondoe kubaliana na hali kwa maslahi ya club, cha msingi club ishamiri. Ukiona kiongozi anapenda kuzungukwa na mambumbumbu na kuwageuza watu wenye upeo mkubwa kuwa maadui, ujue Taasisi husika lazima ipoteze mweleko.

Leadership crisis;
Waanzilishi waliwaamini vijana, wakawajenga na kuwalea vema kwa ajili ya kukiongoza chama hicho. Baadaye wakaamua kwa ridhaa yao kukabidhi uongozi wa CDM kwa vijana hao. Lakini vijana hao ambao sasa ni wazee wameshindwa kurithisha weledi, uzoefu kwa kizazi kingine. Viongozi wana vikundi ndani ya chama kwa ajili kutetea uwepo wao ndani ya chama badala ya kuwaandaa vijana kwa ajili ya kukipambania chama. Miaka ya nyuma ilikuwa kawaida kwa vijana kupelekwa Europe kwa ajili ya mafunzo na kuwajengea uwezo, Myika, Zitto n.k ni mifano ya vijana waliolelewa na chama. Udhaifu wa uongozi umesababisha kutamalaki kwa sera ya zidumu fikra za kiongozi na yeyote atakayepishana na kiongozi anaoneka msaliti na hafai kwenye chama. Udhaifu huo umesababisha CDM ikose mipango na mikakati ya muda mrefu na muda mfupi. Kundi la wasomi lililoongozwa na kina Baregu limeyeyuka kwa sababu uongozi unajiona miungu watu, hauitaji fact zinazotokana na utafiti bali fikra na matamanio binafsi ya viongozi. Udhaifu huo umesababisha uongozi ufanye makosa makubwa kimaamuzi ambayo yamenyong'onyesha matumaini ya wafuasi hasa ambao siyo wanachama CDM lakini walikuwa na imani na kuiunga mkono CDM. Laiti kama wangekuwa na washauri na watafiti wazuri baadhi ya mitego ya kisiasa wangeiruka. Kwa sasa kila kiongozi ni speaker anasema chochoto na popote bila kupima athari za kisiasa za sasa na muda mrefu za matendo yao.

Maslahi binafsi;
viongozi wameanza kuweka mbele maslahi binafsi kama Mrema alivyokuwa anafanya NCCR. Kutokana na msukumo wa maslahi binafsi kuna kiongozi nadhani wa club ya simbaa aliwahi wakabidhi umoja wa wanawake na vijana wa club yake kwa mpinzania wake mkuu mwenyeki wa Tanzania Young Afrcn. Kadhalika akaingia kwenye negotiation ambayo hata mjinga alijua kuwa ulikuwa mtego ambao ulilenga kumweka ndege tunduni, ambapo hatma yake imepelekea yeye binafsi kuwa wakala wa timu pinzani.

Delegation of power kwa ngazi ya Mkoa, wilaya, kata na vijiji imefeli na hakuna mtu anayejisumbua.
Hauwezi kushinda vita kama hauna last mile warriors. lazima uwe na watu wenye mamlaka ya kufanya maamuzi haraka katika mazingira waliyopo (kata, vijiji, wilaya) badala ya kusubiri kamati kuu na baraza kuu.

CDM imeshindwa kuukamata mfumo
Badala ya kuukamata mfumo wao wanapambana na mfumo. hata pale mfumo unapotaka kujenga ukaribu nao wao wanaupiga mishare huku wakijua fikra kuwa siku ya mwisho hatma yao kimkakati itahitaji ushirikiano na mfumo. wana fursa ya kuukamata mfumo lakini hawaitumii. Maalimu Seif RIP alipopata fursa hii, aliitumia ipasavyo kule katika kisiwa cha karafuu Ukerewee naaliweza kupindue meza, sema ndio hivyo mambo mengine hayaelezeki.

Jambo ambao CDM wanapaswa kulijua na kulifanyia kazi kwa sasa; watu wengi ambao siyo wanachama wao wakiwemo baadhi ya the green team wanatamani wawe imara ili wawakabidhi jahazi. wimbi hilo halitokani na jitihada za viongozi wa CDM bali ni matokeo ya kuumizwa na kuwachoka the green team. endapo CDM wakiendelea kulegalega, ataibuka mtu kutoka the green team ataunda chama kimpya na wao watakuwa kama NCCR na TLP.
Good insights....

Asante kwa maoni na mtazamo wako mzuri...

Natumaini CHADEMA wameuchukua na wataufanyia kazi...
 
CHADEMA HAWAPENDI KUSEMWA NGOJA WAJE WAKUTOLEE MATUSI HAPO UTAONA MWENYEWE SISI HATUKUSAIDIII
Hapana..

Wanasikiliza, wanaelewa na wanafanyia kazi maoni ya watu...

Usihofu, toa maoni yako...
 
Tangu lini watu dizaini ya kina Lisu wakawa na hekima? Umewahi ona wapi?
I think Hekima na busara ya Tundu Lissu kwa kiwango hicho ilipo kwa sasa is far better than the entire CCM...

Ndani ya CCM (huko kwenu) na ndani ya viongozi wenu wote na wanachama na wapenzi wake ndiko kuliko na hekima ya kijinga na kipumbavu ya kiwango cha tope la mtoni...!!
 
I think Hekima na busara ya Tundu Lissu kwa kiwango hicho ilipo kwa sasa is far better than the entire CCM...

Ndani ya CCM (huko kwenu) na ndani ya viongozi wenu wote na wanachama na wapenzi wake ndiko kuliko na hekima ya kijinga na kipumbavu ya kiwango cha tope la mtoni...!!
Jibu swali,watu dizaini ya Lisu wamewahi kuwa na hekima wapi? Wanaefanana nae Gachagua katimuliwa,the likes ya Magufuli hao Huwa hawajui neno hakima
 
..Lissu akomae humo humo.

..huyu bwana akisafiri, au akipumzika kidogo tu, Ccm wanajisahau kabisa.

..hata Samia alikuwa haonekani maana Lissu alikuwa hayupo nchini.

..hata haya mazonge ya kuenguana bila Lissu kuyapigia kelele, Ccm wangetia pamba kwenye masikio, na kuendelea na hujuma zao.
Kabisa mkuu, huko CDM tatizo ni Mbowe tu. Anatakiwa achague kuwa MOTO ili akinusuru chama au awe BARIDI ili akiue chama mara moja tupate mbadala wa upinzani wa kweli mwingine, hii hali yake ya sasa ya kuwa VUGUVUGU sio sawa.
 
Kuwa na mitazamo tofauti siyo kosa kwenye chama cha siasa. Siyo kikundi cha kwaya kile kwamba kila mtu lazima acheze sawa na mwenzie
Absolutely, YES..

Lakini kuna tofauti zinapaswa kumalizwa ndani ya kuta za pembe nne za ofisi zetu bila kumulikwa na camera za TVs..

Hawa CCM mnaowaona, wanatofautiana sana kiasi cha kuuana kwa sababu ya nafasi na madaraka...

Lakini nyongi ya tofauti zao huzimaliza huko ndani...

Ndiyo maana hayapendwi na wananchi lakini kwa kuwa yana maslahi binafsi kupitia chama chao, yanahakikisha yanaukumbatia uozo huo hivyo hivyo...
 
Mimi The Palm Beach si mwanachama wa CHADEMA ila ni mpenzi na mfuasi wake na nakiunga mkono kwelikweli chama hiki...

Ni wazi kuwa Kuna mgogoro mkubwa kati ya Mwenyekiti Freeman Mbowe na Makamu Mwenyekiti wake Tundu Lissu ndani ya CHADEMA

Nitasikitika na kuumia sana kama chama hiki cha siasa kilicho tegemeo pekee la Watanganyika nacho kitafuata njia ya CUF, TLP na NCCR - MAGEUZI kujidhoofisha na kisha kwenda kujifia zake huko.

Na naona wazi kabisa, kazi hii ya kukisambaratisha chama hiki inafanywa na viongozi wenyewe kwa kujua au kutojua.

Mpaka hatua hii, haina shaka kuwa iko shida ndani ya CHADEMA hususani kwa viongozi wakuu wa chama. Ili kukiokoa chama hiki na kuhifadhi moto wake uliowashwa kwa miaka takribani 30 sasa usizimike ni lazima ifanyike intervention ya haraka kuzuia hali hii isifikie point of no return.

Press Conference ya Tundu Lissu huko Singida leo imethibitisha shaka yangu hii.

Kila alichoki - address kule Singida mbele ya waandishi wa habari kuhusu uchaguzi wa serikali za vijiji na mitaa hakina shida, ni kizuri na ni kweli hali ndivyo ilivyo

Lakini mwishoni alipoulizwa swali na waandishi wa habari kama hiyo ni kauli ya chama ama la na yeye kujibu kuwa, kila alichokisema hapo ni cha yeye Tundu Lissu na sio kauli ya chama na kwamba baadaye ndio atapeleka hoja hizo ndani ya chama na kushinikiza ziwe ni kauli rasmi ya chama, nikawa shocked kidogo na kuliona tatizo hili ninalolisema hapa kwa uwazi kabisa...

Hii ya Singida ni mwendelezo wa tukio na kauli nyingine aliyoitoa kule Same - Kilimanjaro. Hii ya Same ilimshambulia Mwenyekiti wake Freeman Mbowe moja kwa moja bila kificho....

Kauli ya Tundu Lissu kule Same - Kilimanjaro aliitoa baada ya kusambaa kwa tuhuma kuwa, ule mkutano uliokuwa uhututubiwe na yeye huko Same, eti ulizuiliwa na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe kwa kushirikiana na CCM kwa kutumia Polisi...

Ieleweke kuwa hoja hapa si kuzuiliwa kwa mkutano huo iwe ni kwa sababu hiy kweli au nyingine....

Tatizo ni namna Tundu Lissu alivyoshughulikia tuhuma hizo zilizomuhusisha Mwenyekiti wake...

Kauli yake kule Same Kilimanjaro ilikuwa hii, nanukuu;

"........Kama ni kweli, basi nyie ndiyo wenye chama, ndio wanachama wa chama hiki. mnapaswa kujiuliza Je, kila anayevaa makombati haya ni mwenzetu kwa kiasi gani kama anaweza kushirikiana na wabaya wetu kutuhujumu. Ila kama tuhuma hizi sio za kweli, basi mtanisamehe.."

Hii statement ni tata sana. Ni kama vile Makamu Mwenyekiti alishajiridhisha kuwa ni kweli Mwenyekiti wake ametenda hivyo na akaisema indirectly ili kupeleka ujumbe mahususi kwake...

Kwa kawaida, mimi nilifikiri kuwa, kabla ya kusema lolote, basi Makamu Mwenyekiti alipaswa kutumia hekima kidogo ya kuwasiliana na Mwenyekiti wake na kupata kauli yake juu ya tuhuma hizo zilizoelekezwa kwake. Na majibu ya Mwenyekiti ndiyo yalipaswa kuwa mwongozo wake kujibu hoja hiyo hadharani mbele ya umma...

Lakini kwa kauli yake hii, moja kwa moja inaonesha kuwa hakuwa amewasiliana na Mwenyekiti wake.

Na kama ni hivyo, napata shaka kuelewa kama hata Mwenyekiti na ofisi kuu ya chama (katibu mkuu na mtendaji mkuu wa chama) kama walikuwa wanajua kuwa Makamu Mwenyekiti wao atakuwa ziarani Same - Kilimanjaro siku hizo.

USHAURI:

CHADEMA kaeni chini, malizeni tofauti zenu amicably. Na kama kuna mambo yanayokwanza wengine, basi yashughulikiwe haraka ndani ya chama kwa taratibu za wazi za kichama....

Kuonesha tofauti zenu waziwazi huku nje ni hatari sana na wapinzani wenu wakuu CCM watatumia mwanya na udhaifu huu kuwamaliza kabisa na kusambaratika Moja kwa moja...

Hiki (Anguko la CHADEMA) ndicho CCM wanachokisubiri kukiona kikitokea Ili waweze kupumua....

Na hili la kuisambaratisha CHADEMA likitokea mikononi mwenu wewe Freeman Mbowe, Tundu Lissu, John Mnyika na Kamati kuu kwa ujumla fahamuni leo kuwa, mtalipa gharama kubwa sana Ili Watanganyika wawasamehe...!!!

CC: Erythrocyte
Sasa chama ambacho mwenyekiti ni wa kudumu, na fikira zake za wizi zitadumu.
 
Jibu swali,watu dizaini ya Lisu wamewahi kuwa na hekima wapi?
Ulilolisoma hapo juu ndilo jibu langu kwako...

Lakini kama unataka nirudie, basi narudia kusema kuwa👇🏻👇🏻

Upumbavu (the opposite of "hekima") wa Tundu Lissu is one million times better than hekima ya CCM yote ukiwemo wewe ChoiceVariable...!!

Kama unabisha nioneshe hekima yako kwanza kisha tulinganishe na upumbavu wa TL na mwisho utaona kuwa upumbavu wa TL uta exceed ujinga na upumbavu wako wa kiwango kikubwa sana ambao kwako ni "hekima" yako..!
 
Chadema ife mara ngapi? By the way Watanzania ni kama wamegoma kuisapoti imebakia wanaharakati tuu.

Kina Heche wako wapi? 😂😂 Tangu lini watu dizaini ya kina Lisu wakawa na hekima? Umewahi ona wapi?

Kila mtu apambane kivyake.
Chadema ingekuwa imekufa msingewaengua wagombea wao ili kipimo iwe sanduku la kura. CCM ndiyo imekufa imebakia kuwa genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola tu kuendelea kutawala.
 

Attachments

  • IMG-20200726-WA0000.jpg
    IMG-20200726-WA0000.jpg
    43.7 KB · Views: 4
  • Screenshot_2024-09-25-20-18-05-1.png
    Screenshot_2024-09-25-20-18-05-1.png
    589.7 KB · Views: 4
  • JamiiForums-979014263.jpeg
    JamiiForums-979014263.jpeg
    63 KB · Views: 4
  • FB_IMG_1727624526218.jpg
    FB_IMG_1727624526218.jpg
    42.8 KB · Views: 5
  • FB_IMG_1727185842688.jpg
    FB_IMG_1727185842688.jpg
    37.8 KB · Views: 4
  • FB_IMG_1727158232732.jpg
    FB_IMG_1727158232732.jpg
    48 KB · Views: 3
  • FB_IMG_1727158226330.jpg
    FB_IMG_1727158226330.jpg
    48.9 KB · Views: 3
  • FB_IMG_1727145615769.jpg
    FB_IMG_1727145615769.jpg
    88.5 KB · Views: 4
Ili Chadema ipige hatua mbowe anatakiwa akae pembeni
 
Mimi The Palm Beach si mwanachama wa CHADEMA ila ni mpenzi na mfuasi wake na nakiunga mkono kwelikweli chama hiki...

Ni wazi kuwa Kuna mgogoro mkubwa kati ya Mwenyekiti Freeman Mbowe na Makamu Mwenyekiti wake Tundu Lissu ndani ya CHADEMA

Nitasikitika na kuumia sana kama chama hiki cha siasa kilicho tegemeo pekee la Watanganyika nacho kitafuata njia ya CUF, TLP na NCCR - MAGEUZI kujidhoofisha na kisha kwenda kujifia zake huko.

Na naona wazi kabisa, kazi hii ya kukisambaratisha chama hiki inafanywa na viongozi wenyewe kwa kujua au kutojua.

Mpaka hatua hii, haina shaka kuwa iko shida ndani ya CHADEMA hususani kwa viongozi wakuu wa chama. Ili kukiokoa chama hiki na kuhifadhi moto wake uliowashwa kwa miaka takribani 30 sasa usizimike ni lazima ifanyike intervention ya haraka kuzuia hali hii isifikie point of no return.

Press Conference ya Tundu Lissu huko Singida leo imethibitisha shaka yangu hii.

Kila alichoki - address kule Singida mbele ya waandishi wa habari kuhusu uchaguzi wa serikali za vijiji na mitaa hakina shida, ni kizuri na ni kweli hali ndivyo ilivyo

Lakini mwishoni alipoulizwa swali na waandishi wa habari kama hiyo ni kauli ya chama ama la na yeye kujibu kuwa, kila alichokisema hapo ni cha yeye Tundu Lissu na sio kauli ya chama na kwamba baadaye ndio atapeleka hoja hizo ndani ya chama na kushinikiza ziwe ni kauli rasmi ya chama, nikawa shocked kidogo na kuliona tatizo hili ninalolisema hapa kwa uwazi kabisa...

Hii ya Singida ni mwendelezo wa tukio na kauli nyingine aliyoitoa kule Same - Kilimanjaro. Hii ya Same ilimshambulia Mwenyekiti wake Freeman Mbowe moja kwa moja bila kificho....

Kauli ya Tundu Lissu kule Same - Kilimanjaro aliitoa baada ya kusambaa kwa tuhuma kuwa, ule mkutano uliokuwa uhututubiwe na yeye huko Same, eti ulizuiliwa na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe kwa kushirikiana na CCM kwa kutumia Polisi...

Ieleweke kuwa hoja hapa si kuzuiliwa kwa mkutano huo iwe ni kwa sababu hiy kweli au nyingine....

Tatizo ni namna Tundu Lissu alivyoshughulikia tuhuma hizo zilizomuhusisha Mwenyekiti wake...

Kauli yake kule Same Kilimanjaro ilikuwa hii, nanukuu;

"........Kama ni kweli, basi nyie ndiyo wenye chama, ndio wanachama wa chama hiki. mnapaswa kujiuliza Je, kila anayevaa makombati haya ni mwenzetu kwa kiasi gani kama anaweza kushirikiana na wabaya wetu kutuhujumu. Ila kama tuhuma hizi sio za kweli, basi mtanisamehe.."

Hii statement ni tata sana. Ni kama vile Makamu Mwenyekiti alishajiridhisha kuwa ni kweli Mwenyekiti wake ametenda hivyo na akaisema indirectly ili kupeleka ujumbe mahususi kwake...

Kwa kawaida, mimi nilifikiri kuwa, kabla ya kusema lolote, basi Makamu Mwenyekiti alipaswa kutumia hekima kidogo ya kuwasiliana na Mwenyekiti wake na kupata kauli yake juu ya tuhuma hizo zilizoelekezwa kwake. Na majibu ya Mwenyekiti ndiyo yalipaswa kuwa mwongozo wake kujibu hoja hiyo hadharani mbele ya umma...

Lakini kwa kauli yake hii, moja kwa moja inaonesha kuwa hakuwa amewasiliana na Mwenyekiti wake.

Na kama ni hivyo, napata shaka kuelewa kama hata Mwenyekiti na ofisi kuu ya chama (katibu mkuu na mtendaji mkuu wa chama) kama walikuwa wanajua kuwa Makamu Mwenyekiti wao atakuwa ziarani Same - Kilimanjaro siku hizo.

USHAURI:

CHADEMA kaeni chini, malizeni tofauti zenu amicably. Na kama kuna mambo yanayokwanza wengine, basi yashughulikiwe haraka ndani ya chama kwa taratibu za wazi za kichama....

Kuonesha tofauti zenu waziwazi huku nje ni hatari sana na wapinzani wenu wakuu CCM watatumia mwanya na udhaifu huu kuwamaliza kabisa na kusambaratika Moja kwa moja...

Hiki (Anguko la CHADEMA) ndicho CCM wanachokisubiri kukiona kikitokea Ili waweze kupumua....

Na hili la kuisambaratisha CHADEMA likitokea mikononi mwenu wewe Freeman Mbowe, Tundu Lissu, John Mnyika na Kamati kuu kwa ujumla fahamuni leo kuwa, mtalipa gharama kubwa sana Ili Watanganyika wawasamehe...!!!

CC: Erythrocyte


Mbona tofauti ziko kwenye mitandao tu!
 
Back
Top Bottom