Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ni aina ya binadamu ambao ukiwa nao lazima ufuate anachotaka, usipotaka utasumbuka

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ni aina ya binadamu ambao ukiwa nao lazima ufuate anachotaka, usipotaka utasumbuka

Kwa kweli namuonea huruma sana Rais wangu mpendwa mtetezi wa wanyonge John Joseph Magufuli. Namuonea huruma kwa usumbufu unaompata kwa tatizo ambalo angeweza kulidhibiti mapema. Tundu Lissu ni tatizo kubwa sana kwa Rais wetu. Bisha, pinga na tukana ukweli ndio huo.

KWA NINI LISSU NI TATIZO?
Kiasili watu aina ya Lissu ni SUPEREGO mbaya zaidi mungu kamuongezea very smart brain. Watu wa sampuli hii huwa hawaamini waliowazunguka ni bora zaidi yao hivyo hukuchukulia kama underdog tu. Ukosoaji wote wa Lissu kwa Magufuli ni vile Lissu haamini kama Magufuli ni bora zaidi yake basi humuona tu kama underdog.

1. Usumbufu wa Lissu muulize mama Anna Makinda, atakupa feedback

2. Kikwete alimuelewa Lissu ni aina ya MTU gani na aliwahi kusema ni bora achaguliwe Slaa kuwa Rais lakini Lissu asiwe mbunge, kwa nini?

3. Hata waliompiga risasi ni dhahiri walimuelewa Lissu sema hawakujua njia sahihi ya kupambana nae.

4. Hata NEC sasa inamfuata

5. Angalia mahakama ana kesi sita zote zinamfuata.

6. Angalia hata CHADEMA Leo yote inamfuata anachopanga, bila Lissu unafikiri CHADEMA kingemwekea Magufuli pingamizi?

KOSA ALILOLIFANYA MAGUFULI.
Mpaka ninapoandika 7000hrs Magufuli ameshafanya kosa la kuruhusu usumbufu. Hebu niambie unafikiri majina ambayo yanamyima usingizi linaloongoza ni jina la nani?. Kuepuka huu usumbufu alipaswa kuhakikisha Lissu atoboi kwa tume, au zile mahakama zenye makesi yake yangetumika kumdhibiti. Amini maandishi yangu, kumuacha Lissu agombee kunainufaisha CHADEMA kwa kiwango kikubwa sana. Hata akinyimwa urais Lissu ataongeza idadi kubwa ya wabunge, Lissu ni kama mganga aliyeletwa kufufua wafu, wapiga kura wengi walikuwa sawa na wafu sasa wanapata hamasa ya uhai kutoka kwa Lissu.

OMBI KWA CHADEMA.
Kwa aina ya siasa ya uhuni zinazofanyika sasa hivi Lissu alipaswa kuwa mwenyekiti, MBOWE ukitaka CHADEMA ikabiliane na siasa za uharamia baada ya uchaguzi mkabidhi uwenyekiti Lissu wewe bakia mlezi wa chama

Bado nina imani tume na Rais, CCM mnanafasi ya kumdhibiti kupitia kampeni.

Kwanini wamdhibiti wakati na wao ni wagombea tu yaani mgombea unaanza kumdhibiti mwenzako badala kutangaza sera zako kwetu wananchi ili tuweze kuwapima na kuamuwa nani atuongoze. Subirini muziki kampeni zikianza ndo mtafahamu kuwa watu wachoka huu udicteta
 
Huwa najiuliza kama zile risasi zisingemuweka benchi kwa miaka mitatu sijui ingekuwa vipi,maana alianza kula sahani moja na mkuu kabla hata hajaizoea Ikulu.

Sasa karudi juzi tu lakini tayari disco limejaa vumbi watu wanatafutana kwa miluzi,Lissu ni mtu na nusu.
 
Kwanini wamdhibiti wakati na wao ni wagombea tu yaani mgombea unaanza kumdhibiti mwenzako badala kutangaza sera zako kwetu wananchi ili tuweze kuwapima na kuamuwa nani atuongoze. Subirini muziki kampeni zikianza ndo mtafahamu kuwa watu wachoka huu udicteta
Huku ni Afrika mkuu, maoni yako ni ya Ulaya walikostaarabika
 
Mungu ni mwema, ndiye mtu pekee kwa sasa asiye na hofu na Magufuli
Huwa najiuliza kama zile risasi zisingemuweka benchi kwa miaka mitatu sijui ingekuwa vipi,maana alianza kula sahani moja na mkuu kabla hata hajaizoea Ikulu.

Sasa karudi juzi tu lakini tayari disco limejaa vumbi watu wanatafutana kwa miluzi,Lissu ni mtu na nusu.
 
Shida siyo Lisu,shida ni sheria zilizotungwa na wabunge wa "ndiyoooooooo",ndo zinazo waadabisha!,Siku zote Lisu ni mtu ambaye anazielewa sheria zinataka nini na pia ni msimamia sheria,Tatizo lisu anaonekana mchungu kwasababu anasema ukweli!,na ukisema ukweli kwa serikali inayoongozwa na chama cha mapinduzi ni kama umewachokoza!,Siku zote mtu anapofanya mambo mabaya akiambiwa ukweli lazima achukie!

Mfano:

Kwa mfano hapo mtaani kwenu kama kuna mtu me/ke ambaye unafahamu kabisa atakuwa anajihusisha na mambo ya kishirina na ukamchana makavu lazima akuchukie,na haitaishia kukuchukia lazima akushughulikie kisawa sawa na wachawi wenzie!,usipokuwa na Mungu basi jua lazima utaenda na maji



Bila shaka nimeeleweka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani ifike wakati kila kitu kiende kwa matakwa ya sheria waache wagombea wote wapambane kwa hoja wao Tume wasimamie sheria zisivunjwe. Mambo ya kudhibitiana yawekwe pembeni.
 
Kwa kweli namuonea huruma sana Rais wangu mpendwa mtetezi wa wanyonge John Joseph Magufuli. Namuonea huruma kwa usumbufu unaompata kwa tatizo ambalo angeweza kulidhibiti mapema. Tundu Lissu ni tatizo kubwa sana kwa Rais wetu. Bisha, pinga na tukana ukweli ndio huo.

KWA NINI LISSU NI TATIZO?
Kiasili watu aina ya Lissu ni SUPEREGO mbaya zaidi mungu kamuongezea very smart brain. Watu wa sampuli hii huwa hawaamini waliowazunguka ni bora zaidi yao hivyo hukuchukulia kama underdog tu. Ukosoaji wote wa Lissu kwa Magufuli ni vile Lissu haamini kama Magufuli ni bora zaidi yake basi humuona tu kama underdog.

1. Usumbufu wa Lissu muulize mama Anna Makinda, atakupa feedback

2. Kikwete alimuelewa Lissu ni aina ya MTU gani na aliwahi kusema ni bora achaguliwe Slaa kuwa Rais lakini Lissu asiwe mbunge, kwa nini?

3. Hata waliompiga risasi ni dhahiri walimuelewa Lissu sema hawakujua njia sahihi ya kupambana nae.

4. Hata NEC sasa inamfuata

5. Angalia mahakama ana kesi sita zote zinamfuata.

6. Angalia hata CHADEMA Leo yote inamfuata anachopanga, bila Lissu unafikiri CHADEMA kingemwekea Magufuli pingamizi?

KOSA ALILOLIFANYA MAGUFULI.
Mpaka ninapoandika 7000hrs Magufuli ameshafanya kosa la kuruhusu usumbufu. Hebu niambie unafikiri majina ambayo yanamyima usingizi linaloongoza ni jina la nani?. Kuepuka huu usumbufu alipaswa kuhakikisha Lissu atoboi kwa tume, au zile mahakama zenye makesi yake yangetumika kumdhibiti. Amini maandishi yangu, kumuacha Lissu agombee kunainufaisha CHADEMA kwa kiwango kikubwa sana. Hata akinyimwa urais Lissu ataongeza idadi kubwa ya wabunge, Lissu ni kama mganga aliyeletwa kufufua wafu, wapiga kura wengi walikuwa sawa na wafu sasa wanapata hamasa ya uhai kutoka kwa Lissu.

OMBI KWA CHADEMA.
Kwa aina ya siasa ya uhuni zinazofanyika sasa hivi Lissu alipaswa kuwa mwenyekiti, MBOWE ukitaka CHADEMA ikabiliane na siasa za uharamia baada ya uchaguzi mkabidhi uwenyekiti Lissu wewe bakia mlezi wa chama

Bado nina imani tume na Rais, CCM mnanafasi ya kumdhibiti kupitia kampeni.
Umeongea point lkn umekosea beti ya mwisho lkn usijali najua akili imekuingia kura utampa lisu
 
Nadhani ifike wakati kila kitu kiende kwa matakwa ya sheria waache wagombea wote wapambane kwa hoja wao Tume wasimamie sheria zisivunjwe. Mambo ya kudhibitiana yawekwe pembeni.
Kwahiyo majaliwa, Nape na ndugai jee
 
Ulipoanza ni sawa, Tundu ni mtu ambaye ana asili ya udikteta..anapenda watu wafuate anachotaka au anachopenda yeye..

Ukitofautiana nae wewe unakuwa adui yake. Mfano ni zitto kabwe, dr. Silaa na wengineo.

Magufuli na mahakama si kama inafata anachotaka. Kumbuka huyu jamaa kila anachofanya, mawasiliano yake na kila kitu serikali inakijua.

Kwa sasa ameonekana hana madhara yoyote. Kumbuka kabla hajatandikwa risasi huyu jamaa alikuwa anafanya mawasiliano na makampuni makubwa na watu waliokuwa na migogoro na serikali ili serikali ishindwe na mwishowe apige hela.
Kumbuka mawasiliano yake ya siri na acacia wakati serikali imeibana Acacia. Alijaribu hadi kuitishia serikali kushitakiwa MIGA.

Lakini ikitokea anafanya mawasiliano yoyote ya kutishia amani ya nchi au usalama basi hutaona anamaliza round. Kwa sasa amebaki kulalama na kumlaumu magufuli akitumia ujinga wa baadhi ya watanzania aliowaacha kipindi kile. Ila kwa sasa wengi wameamka na vyombo vya habari vimemuonya kuwa vitatangaza sera sio matusi na kejeli za kwenye vilabu vya komoni au chibuku.
 
Moja haikaiii,mbili haisimamiiii,tatu hairukiiii tumsubri refa maana kuna mchezaji alijifanya staa sasa kavuta jezi ndani ya 18 refa kafunika
 
Ulipoanza ni sawa, Tundu ni mtu ambaye ana asili ya udikteta..anapenda watu wafuate anachotaka au anachopenda yeye..

Ukitofautiana nae wewe unakuwa adui yake. Mfano ni zitto kabwe, dr. Silaa na wengineo.

Magufuli na mahakama si kama inafata anachotaka. Kumbuka huyu jamaa kila anachofanya, mawasiliano yake na kila kitu serikali inakijua.

Kwa sasa ameonekana hana madhara yoyote. Kumbuka kabla hajatandikwa risasi huyu jamaa alikuwa anafanya mawasiliano na makampuni makubwa na watu waliokuwa na migogoro na serikali ili serikali ishindwe na mwishowe apige hela.
Kumbuka mawasiliano yake ya siri na acacia wakati serikali imeibana Acacia. Alijaribu hadi kuitishia serikali kushitakiwa MIGA.

Lakini ikitokea anafanya mawasiliano yoyote ya kutishia amani ya nchi au usalama basi hutaona anamaliza round. Kwa sasa amebaki kulalama na kumlaumu magufuli akitumia ujinga wa baadhi ya watanzania aliowaacha kipindi kile. Ila kwa sasa wengi wameamka na vyombo vya habari vimemuonya kuwa vitatangaza sera sio matusi na kejeli za kwenye vilabu vya komoni au chibuku.
Hapa umelitumia vibaya neno dikteta mkuu.
 
Kwa kweli namuonea huruma sana Rais wangu mpendwa mtetezi wa wanyonge John Joseph Magufuli. Namuonea huruma kwa usumbufu unaompata kwa tatizo ambalo angeweza kulidhibiti mapema. Tundu Lissu ni tatizo kubwa sana kwa Rais wetu. Bisha, pinga na tukana ukweli ndio huo.

KWA NINI LISSU NI TATIZO?
Kiasili watu aina ya Lissu ni SUPEREGO mbaya zaidi mungu kamuongezea very smart brain. Watu wa sampuli hii huwa hawaamini waliowazunguka ni bora zaidi yao hivyo hukuchukulia kama underdog tu. Ukosoaji wote wa Lissu kwa Magufuli ni vile Lissu haamini kama Magufuli ni bora zaidi yake basi humuona tu kama underdog.

1. Usumbufu wa Lissu muulize mama Anna Makinda, atakupa feedback

2. Kikwete alimuelewa Lissu ni aina ya MTU gani na aliwahi kusema ni bora achaguliwe Slaa kuwa Rais lakini Lissu asiwe mbunge, kwa nini?

3. Hata waliompiga risasi ni dhahiri walimuelewa Lissu sema hawakujua njia sahihi ya kupambana nae.

4. Hata NEC sasa inamfuata

5. Angalia mahakama ana kesi sita zote zinamfuata.

6. Angalia hata CHADEMA Leo yote inamfuata anachopanga, bila Lissu unafikiri CHADEMA kingemwekea Magufuli pingamizi?

KOSA ALILOLIFANYA MAGUFULI.
Mpaka ninapoandika 7000hrs Magufuli ameshafanya kosa la kuruhusu usumbufu. Hebu niambie unafikiri majina ambayo yanamyima usingizi linaloongoza ni jina la nani?. Kuepuka huu usumbufu alipaswa kuhakikisha Lissu atoboi kwa tume, au zile mahakama zenye makesi yake yangetumika kumdhibiti. Amini maandishi yangu, kumuacha Lissu agombee kunainufaisha CHADEMA kwa kiwango kikubwa sana. Hata akinyimwa urais Lissu ataongeza idadi kubwa ya wabunge, Lissu ni kama mganga aliyeletwa kufufua wafu, wapiga kura wengi walikuwa sawa na wafu sasa wanapata hamasa ya uhai kutoka kwa Lissu.

OMBI KWA CHADEMA.
Kwa aina ya siasa ya uhuni zinazofanyika sasa hivi Lissu alipaswa kuwa mwenyekiti, MBOWE ukitaka CHADEMA ikabiliane na siasa za uharamia baada ya uchaguzi mkabidhi uwenyekiti Lissu wewe bakia mlezi wa chama

Bado nina imani tume na Rais, CCM mnanafasi ya kumdhibiti kupitia kampeni.
anatafuta attention ya kijinga anaishia kupigwa mawe, nashangaa kwann hakuna ata jiwe moja lilimpata kule kilimanjaro! ila mda bado tunao wakati wa kampeni kurusha mawe
 
Back
Top Bottom