Tundu Lissu ni clever but not Intelligent person. Ni Kiongozi mwenye papara sana na hana utulivu kabisa

Watekaji na wauaji walifikiri hawaonekani, beberu mshenzi lakini nampendea vitu kama hivi haviachagi vipite, King of Saudi alivyomuua Jamal Khashoggi alifikiri ni untouchable lakini aliishia kuwahukumu walinzi wake vifo na kulipa millions of dollars maana beberu alimwekea mchezo aliofanya wote mezani, TIGO na serikali wataishia kulipa millions bila kukubaliwa ila watajua sasa wako under surveillance, watu individuals kama Makonda na CEO wa TIGO wanaweza kuishia kufungwa Kwa muda mrefu sana
 

..for the sake of this discussion tuseme Lissu "alidukuliwa. "

..huyo bwana aliyewashitaki TIGO anadai taratibu za kisheria hazikufuatwa ktk "kumdukua" Tundu Lissu.

..kwenye nchi nyingi duniani, taarifa za mawasiliano ya mteja haziwezi kutolewa na makampuni ya simu bila AMRI YA MAHAKAMA. Je, kwa hapa Tanzania sheria ikoje kuhusu suala hilo?

..Kwa upande mwingine, nadhani umma utapenda kuwajua waliokuwa wakitaka taarifa za Lissu ni kina nani. Na malengo yao yalikuwa ni nini? Je, kuna uhusiano gani kati ya hao waliomdukua na waliojaribu kumuua?

..Jambo la msingi ni Lissu apate HAKI yake.
 

Kosa lake lipo wapi?. Kuhusu kumkamata ndege wewe unayejiita legal brain lazima utambue alikuwa anaamanisha nini sio kuleta tafsiri zako hapa. Lissu alimaanisha kuattach property za serikali. Maana Kwa hapa bongo ku enforce decree kwa serikali ni ngumu Sana.
 
Nikukumbushe tu kuwa Lissu ni miongoni mwa mawakili au wanasheria walioshinda keai nyingi sana.
Kwa taarifa yako anaoufanya Lissu ni mchezo wa akili sana kama afanyavyo Simba porini.

Simba dume huwa ananguruma kuwatoa mafichoni wanyama na ndipo simba jike hushambulia.

Mi ccm inaenda kutolewa hadharani yajikaange menyewe🤣🤣🤣
 
Mzee, pamoja na mambo mengine huu ni mtaji wa siasa pia na lazima utumike kubadilisha upepo wakati huu CCM wanajiona wameweza kuzima maandamano yao
 
Wewe hakuna unalojua. Tangu ushindwe kujua tofauti ya AU Chairperson na AU Commission Chairperson huwa nakuona Kama mjuaji asiyejua kitu.

Kisheria, ili serikali ivhukue taarifa za mteja ni lazima iombe kibali mahakamani.
Unfortunately that’s just your opinion of me, but that doesn’t define me.

That’s just your psychological thinking of me.

Halikadhalika katika kujiongeza kwangu, sifikirii kabisa kuhusu how econonist wa JF thinks of my development. .

I won’t even remember what we argued about two weeks ago if we were on the same page or in disagreement. I have so much to worry in life than live with JF debates in my mind.

Good for you if your head has space for that.
 
(Alichoongea ni sehemu ndogo ya ushahidi uliopo na mengine ameyaongea kwa makusudi kwa lengo la kuwa trigger ili wa react)

Hapo kwenye mabano umeongea vizuri.
Lengo kuu ni kuwatoa mafichoni wauaji waanze kujitekenya wenyewe😂
 
Hata mimi niliwaza hivyo lakini kaamua, (kukinukisha mapema), kuchafua hali ya hewa kutokana hali ya siasa ilivyo kwasasa, ushahidi anao ila ana jaribu kutahadhalisha upande mwingine kwamtindo wa jamba jamba
 

Wewe ndio unahitaji kunyooshwa. Maana unajifanya mjuaji Sana.
 

Ndio maana Lissu anawapeleka Tigo mahakamani ili wawataje waliopewa taarifa. Halafu hapo ndipo kesi ya msingi itaanza. Hata mashushu hustakiwa.
Let's wait and see.
Ndio maana Lissu anawapeleka Tigo mahakamani ili wawataje waliopewa taarifa. Halafu hapo ndipo kesi ya msingi itaanza. Hata mashushu hustakiwa.
 
Watanzania tumejaliwa kukosoa Tuu,, Wewe Hujui lolote. Msimpangie aongelee Nini Mbona hamkumpangia mlipotaka kumuua Acha apumue. Takataka nyie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…