chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Baada ya Lissu kushambuliwa kwa risasi, muhimili pekee uliohakikisha uzi mwembamba uliokamata maisha ya Lissu usikatike ni Mbowe.
Mbowe katoa hela mfukoni, kachangisha, goodwill (hii chadema njaa kama Mdude hawataelewa) ikatumika kuhakikisha Lissu anatibiwa.
Lissu kapona, kafukuza mke, kaoa mzungu, sijui ni C.I.A huyo mama kapandikizwa, bado anatembea anatukana kila mtu nchi nzima, pamoja na Mbowe.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Lissu: Aliyeshika chupa ya damu nikipelekwa Nairobi ni Msigwa sio Mbowe
Mbowe katoa hela mfukoni, kachangisha, goodwill (hii chadema njaa kama Mdude hawataelewa) ikatumika kuhakikisha Lissu anatibiwa.
Lissu kapona, kafukuza mke, kaoa mzungu, sijui ni C.I.A huyo mama kapandikizwa, bado anatembea anatukana kila mtu nchi nzima, pamoja na Mbowe.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Lissu: Aliyeshika chupa ya damu nikipelekwa Nairobi ni Msigwa sio Mbowe