Pre GE2025 Tundu Lissu ni funzo kubwa kwetu walimwengu, hakika tenda wema nenda zako, Leo Lissu anamtukana Mbowe?

Pre GE2025 Tundu Lissu ni funzo kubwa kwetu walimwengu, hakika tenda wema nenda zako, Leo Lissu anamtukana Mbowe?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Baada ya Lissu kushambuliwa kwa risasi, muhimili pekee uliohakikisha uzi mwembamba uliokamata maisha ya Lissu usikatike ni Mbowe.

Mbowe katoa hela mfukoni, kachangisha, goodwill (hii chadema njaa kama Mdude hawataelewa) ikatumika kuhakikisha Lissu anatibiwa.

Lissu kapona, kafukuza mke, kaoa mzungu, sijui ni C.I.A huyo mama kapandikizwa, bado anatembea anatukana kila mtu nchi nzima, pamoja na Mbowe.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Lissu: Aliyeshika chupa ya damu nikipelekwa Nairobi ni Msigwa sio Mbowe
 
Baada ya Lissu kushambuliwa kwa risasi, muhimili pekee uliohakikisha uzi mwembamba uliokamata maisha ya Lissu usikatike ni Mbowe.

Mbowe katoa hela mfukoni, kachangisha, goodwill (hii chadema njaa kama Mdude hawataelewa) ikatumika kuhakikisha Lissu anatibiwa.

Lissu kapona, kafukuza mke, kaoa mzungu, sijui ni C.I.A huyo mama kapandikizwa, bado anatembea anatukana kila mtu nchi nzima, pamoja na Mbowe
Mbona mimi hajanitukana? Katukana nchi nzima kivipi hapo sasa, tufafanulie bwana taga.
 
Baada ya Lissu kushambuliwa kwa risasi, muhimili pekee uliohakikisha uzi mwembamba uliokamata maisha ya Lissu usikatike ni Mbowe.

Mbowe katoa hela mfukoni, kachangisha, goodwill (hii chadema njaa kama Mdude hawataelewa) ikatumika kuhakikisha Lissu anatibiwa.

Lissu kapona, kafukuza mke, kaoa mzungu, sijui ni C.I.A huyo mama kapandikizwa, bado anatembea anatukana kila mtu nchi nzima, pamoja na Mbowe
Huyo mtu wenu ni looser , haiwezekani Toka anzaliwa anapinga Kila kitu,anampinga Nyerere,Mwinyi,Mkapa,Jakaya, Magufuli,Samia na Kila maendeleo ya Tzn anapinga. Toka kijana Hadi Leo anazeeka anapinga tuu Kila kitu.

Huyu mtu ni mzima kichwani au Upinzani ni ugonjwa wa akili?
 
Baada ya Lissu kushambuliwa kwa risasi, muhimili pekee uliohakikisha uzi mwembamba uliokamata maisha ya Lissu usikatike ni Mbowe.

Mbowe katoa hela mfukoni, kachangisha, goodwill (hii chadema njaa kama Mdude hawataelewa) ikatumika kuhakikisha Lissu anatibiwa.

Lissu kapona, kafukuza mke, kaoa mzungu, sijui ni C.I.A huyo mama kapandikizwa, bado anatembea anatukana kila mtu nchi nzima, pamoja na Mbowe

Safari hii hatoboi kwa dikteta Idd Mbowe
 
Baada ya Lissu kushambuliwa kwa risasi, muhimili pekee uliohakikisha uzi mwembamba uliokamata maisha ya Lissu usikatike ni Mbowe.

Mbowe katoa hela mfukoni, kachangisha, goodwill (hii chadema njaa kama Mdude hawataelewa) ikatumika kuhakikisha Lissu anatibiwa.

Lissu kapona, kafukuza mke, kaoa mzungu, sijui ni C.I.A huyo mama kapandikizwa, bado anatembea anatukana kila mtu nchi nzima, pamoja na Mbowe
Hivi una akili timamu kweli wewe? Mbona unaropoka kama unakaribia kukata roho au sakaratul maut ?
 
Naona ccm mmekazana kumtenga lissue na mbowe
Itakuwa Lumumba mmepata hela
Ziara ya mama imeleta makakoto
Ili mkamilishe project yenu iliyokufa
 
Baada ya Lissu kushambuliwa kwa risasi, muhimili pekee uliohakikisha uzi mwembamba uliokamata maisha ya Lissu usikatike ni Mbowe.

Mbowe katoa hela mfukoni, kachangisha, goodwill (hii chadema njaa kama Mdude hawataelewa) ikatumika kuhakikisha Lissu anatibiwa.

Lissu kapona, kafukuza mke, kaoa mzungu, sijui ni C.I.A huyo mama kapandikizwa, bado anatembea anatukana kila mtu nchi nzima, pamoja na Mbowe
Lisu anawavuruga masisiemu mmeshajaa kwenye mfumo wake tayari na bado kampeni hazijaanza kuleni mshibe hicho chuma Mungu anasababu nacho ndio mana kimepita kwenye bonded la uvuli wa Mauti kifupi amekua resurrected na hakuna atakaepingana na uwezo wa Mungu ukibisha shauri yako yawakute ya ndugu yenu
 
Uchochezi huo, amemtukana je? Mfano tafadhari
 
Mama Abdul ana akili kweli eti kauza bandari
Akili za maccm zimejaa matope , hivi maccm wanafikiri adui yao ni chadema? Ccm kama mnaakili mgeilinda chadema kuliko hata ccm yenyewe. Kama chadema isingekuwepo kwa utawala huu wa CCM hakika Tanzania sasa hivi ingekuwa kwenye list ya nchi kama sieraleon, liberia,Sudan, Rwanda nk
 
Baada ya Lissu kushambuliwa kwa risasi, muhimili pekee uliohakikisha uzi mwembamba uliokamata maisha ya Lissu usikatike ni Mbowe.

Mbowe katoa hela mfukoni, kachangisha, goodwill (hii chadema njaa kama Mdude hawataelewa) ikatumika kuhakikisha Lissu anatibiwa.

Lissu kapona, kafukuza mke, kaoa mzungu, sijui ni C.I.A huyo mama kapandikizwa, bado anatembea anatukana kila mtu nchi nzima, pamoja na Mbowe.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Lissu: Aliyeshika chupa ya damu nikipelekwa Nairobi ni Msigwa sio Mbowe
Mkapa = Mbowe
JK = Mbowe
JPM = Mbowe
Samia = Mbowe

Makani karithi chama kwa Mtei, Makani kaoa dada wa Mtei(SHEMEJI), Mbowe karithi kwa Makani, Mbowe kaoa mtoto wa Mtei (mkwe)
 
Back
Top Bottom