Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ni masiha wetu tuliepewa na Mungu, tumpokee

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ni masiha wetu tuliepewa na Mungu, tumpokee

I am Groot

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,929
Reaction score
10,747
FACTORY RESET ya maana itaenda kufanyika katika historia ya nchi hii tangu kuumbwa kwake. Yale mashimo watu fulani walizoea kujifichia na kuila nchi hii taratibu kama bandubandu yatafukiwa sasa 'Malaika wataishi kama mashetani'. Matumaini yatarudi ya kuishi kwa usawa kati ya raia wote bila kujali kama ni kiongozi au raia wa chini.

Sheria kandamizi nyingi zilizitwishwa kwa raia wasioweza kupaza sauti zao na kusikilizwa sasa ni wakati wa kujiamini na kuchukua hatua stahiki ili kuondolewa maonezi hayo yaliyowapa wakati mgumu. Nchi hii ni ile nchi ya ahadi iliyoahidiwa na Mungu tangu zama za wana wa Israel.

Na huu ndio wakati wa kuifikia nchi yetu iwe mikononi mwetu wananchi kiongozi aliyesubiriwa kutufikisha nchi ya maziwa na asali yu miongoni mwetu tushikamane nae kuwaondoa maadui zetu katika nchi iliyo yetu.

Watanzania wote wenye mapenzi mema tutatoka mashariki, magharibi, kaskazini na kusini kwa pamoja tutashikamana na TUNDU LISSU kufanya mageuzi ifikapo 28\10\2020.

(MAENDELEO HAYANA CHAMA) ==> (MSIPOWACHAGUA VIONGOZI WA CHAMA CHANGU NATAKA NIWAAMBIE UKWELI MAENDELEO ENEO HILI MTAYASIKIA TU!)

# kila ngome itaanguka mbele yake.

NI YEYE masiha tuliye ahiyeahidiwa tangu enzi za manabii tumfuate.
 
Ndugu tafadhali nakushauri unafanya kosa kubwa sana. Mbona mbataka kumfanya TL anakuwa Mgombea wa Wakidini, waislamu hawakubaliani na Masih, lakini kuna waislamu wengi wanamunga mkono Lissu, lakini wanauchukia mfumo DINI.
 
Mungu yu pamoja nasi, najiuliza ni mwanadamu gani mwenye mwili wa nyama na damu ataupuuza muujiza huu? Jibu nalopata ni kuwa, maneno ya unabii yamefunuliwa ndani ya watoto wadogo nao wajihesabuo kuwa wana hekima wamefumbwa wasijue maana yake.

Hakika ni yeye 2020.
 
Ndugu tafadhali nakushauri unafanya kosa kubwa sana. Mbona mbataka kumfanya TL anakuwa Mgombea wa Wakidini, waislamu hawakubaliani na Masih, lakini kuna waislamu wengi wanamunga mkono Lissu, lakini wanauchukia mfumo DINI.
Kosa gani kama hawakubaliani na masiah wataka nae asimkubali?
 
Ndugu tafadhali nakushauri unafanya kosa kubwa sana. Mbona mbataka kumfanya TL anakuwa Mgombea wa Wakidini, waislamu hawakubaliani na Masih, lakini kuna waislamu wengi wanamunga mkono Lissu, lakini wanauchukia mfumo DINI.
Kosa gani kama hawakubaliani na masiah wataka nae asimkubali?
 
Kosa gani kama hawakubaliani na masiah wataka nae asimkubali?
Lissu sio Masihi, ni mwanasiasa, na mwanasiasa yoyote ni mnafiki, muongo, na asiyetumiza ahadi, masihi hana hayo. Na masihi imo kwenye imani ya kikristo tuu, haiko Uislamu, Judism, Hinduism
 
Watumishi hao wa umma ni pamoja hawa wakurugenzi, wakuu wa wilaya pamoja na wakuu wa mikoa.

USHAURI:
Naomba san Mhe
TUNDU LISSU katika kampeni zako hawa watu usiwatangazie UBAYA au KISASI kwa sababu tu ni wateule wa Rais , Bali uwaahidi utawasaidiaje kulinda ajira zao ukiwa Rais ukizingatia maisha yao yapo kwenye hizo ajira kwa maana kwamba wanasomesha, wanategemewa, wanasaidia ndugu na wazazi wao kupitia ajira hizo.

Kwahiyo katika kampeni zako hakikisha unajitahidi kutoa maneno ya faraja yanayo akisi hatma yao wewe utakapo kuwa Rais.

KUMBUKA : Kundi hili la watumishi wa umma wana mchango mkubwa sana kwenye ushindi wako wa Oktoba 28 , sio tu kukupigia kura , bali ni pamoja na kutenda HAKI katika uchaguzi huu.

Vinginevyo kama hawatapata hatma ya maisha yao watazilinda Ajira zao kwa gharama yoyote.
 
Ndugu tafadhali nakushauri unafanya kosa kubwa sana. Mbona mbataka kumfanya TL anakuwa Mgombea wa Wakidini, waislamu hawakubaliani na Masih, lakini kuna waislamu wengi wanamunga mkono Lissu, lakini wanauchukia mfumo DINI.
Hata KIPAGANI ...NI YEYE ...mmekula keki kakikundi
 
Hata KIPAGANI ...NI YEYE ...mmekula keki kakikundi
Mshaanza mambo ya kutenga watu kidini. Wajinga sana nyie washabaki. Hamjui mnamuharibia TL fursa ya ushindi , kwa hili mtakosa kura nyingi sana
 
Lissu sio Masihi, ni mwanasiasa, na mwanasiasa yoyote ni mnafiki, muongo, na asiyetumiza ahadi, masihi hana hayo. Na masihi imo kwenye imani ya kikristo tuu, haiko Uislamu, Judism, Hinduism
Hukuyasema hayo kipindi jiwe anafananishwa na masihi
 
Dhambi hukemewa
Ukitia unafiki unakua umeipa nguvu
Kama wakati umefika hakuna wa kuzuia
Watumishi hao wa umma ni pamoja hawa wakurugenzi, wakuu wa wilaya pamoja na wakuu wa mikoa.

USHAURI:
Naomba san Mhe
TUNDU LISSU katika kampeni zako hawa watu usiwatangazie UBAYA au KISASI kwa sababu tu ni wateule wa Rais , Bali uwaahidi utawasaidiaje kulinda ajira zao ukiwa Rais ukizingatia maisha yao yapo kwenye hizo ajira kwa maana kwamba wanasomesha, wanategemewa, wanasaidia ndugu na wazazi wao kupitia ajira hizo.

Kwahiyo katika kampeni zako hakikisha unajitahidi kutoa maneno ya faraja yanayo akisi hatma yao wewe utakapo kuwa Rais.

KUMBUKA : Kundi hili la watumishi wa umma wana mchango mkubwa sana kwenye ushindi wako wa Oktoba 28 , sio tu kukupigia kura , bali ni pamoja na kutenda HAKI katika uchaguzi huu.

Vinginevyo kama hawatapata hatma ya maisha yao watazilinda Ajira zao kwa gharama yoyote.
 
Amen!! Amen!! Mungu akapate kusimama nae vyema kwenye safari hii ya matumaini ya walio wengi
 
FACTORY RESET ya maana itaenda kufanyika katika historia ya nchi hii tangu kuumbwa kwake. Yale mashimo watu fulani walizoea kujifichia na kuila nchi hii taratibu kama bandubandu yatafukiwa sasa 'Malaika wataishi kama mashetani'. Matumaini yatarudi ya kuishi kwa usawa kati ya raia wote bila kujali kama ni kiongozi au raia wa chini.

Sheria kandamizi nyingi zilizitwishwa kwa raia wasioweza kupaza sauti zao na kusikilizwa sasa ni wakati wa kujiamini na kuchukua hatua stahiki ili kuondolewa maonezi hayo yaliyowapa wakati mgumu. Nchi hii ni ile nchi ya ahadi iliyoahidiwa na Mungu tangu zama za wana wa Israel.

Na huu ndio wakati wa kuifikia nchi yetu iwe mikononi mwetu wananchi kiongozi aliyesubiriwa kutufikisha nchi ya maziwa na asali yu miongoni mwetu tushikamane nae kuwaondoa maadui zetu katika nchi iliyo yetu.

Watanzania wote wenye mapenzi mema tutatoka mashariki, magharibi, kaskazini na kusini kwa pamoja tutashikamana na TUNDU LISSU kufanya mageuzi ifikapo 28\10\2020.

(MAENDELEO HAYANA CHAMA) ==> (MSIPOWACHAGUA VIONGOZI WA CHAMA CHANGU NATAKA NIWAAMBIE UKWELI MAENDELEO ENEO HILI MTAYASIKIA TU!)

# kila ngome itaanguka mbele yake.

NI YEYE masiha tuliye ahiyeahidiwa tangu enzi za manabii tumfuate.
Hata walio muamini kibwetere nao walikuwa watu, mwisho wao ukaishia kuungua kwenye kanisa
 
Na hakuna malaika au Yesu (wamwitavyo) mwenye jeuri na kiburi.
Yesu akaulizwa, "Je, ni halali kulipa kodi?"
Naye akasema, "Nionesheni sarafu". Wakamwonesha. Akauliza, " Ina picha ya nani?".
Wakamjibu, "Ya Kaisari"
Basi naye akasema, "Mpeni Kaisari yaliyo ya Kaisari na mpeni Mungu yaliyo ya Mungu!"

Kama umesoma fasihi kama mimi umeelewa!
 
FACTORY RESET ya maana itaenda kufanyika katika historia ya nchi hii tangu kuumbwa kwake. Yale mashimo watu fulani walizoea kujifichia na kuila nchi hii taratibu kama bandubandu yatafukiwa sasa 'Malaika wataishi kama mashetani'. Matumaini yatarudi ya kuishi kwa usawa kati ya raia wote bila kujali kama ni kiongozi au raia wa chini.

Sheria kandamizi nyingi zilizitwishwa kwa raia wasioweza kupaza sauti zao na kusikilizwa sasa ni wakati wa kujiamini na kuchukua hatua stahiki ili kuondolewa maonezi hayo yaliyowapa wakati mgumu. Nchi hii ni ile nchi ya ahadi iliyoahidiwa na Mungu tangu zama za wana wa Israel.

Na huu ndio wakati wa kuifikia nchi yetu iwe mikononi mwetu wananchi kiongozi aliyesubiriwa kutufikisha nchi ya maziwa na asali yu miongoni mwetu tushikamane nae kuwaondoa maadui zetu katika nchi iliyo yetu.

Watanzania wote wenye mapenzi mema tutatoka mashariki, magharibi, kaskazini na kusini kwa pamoja tutashikamana na TUNDU LISSU kufanya mageuzi ifikapo 28\10\2020.

(MAENDELEO HAYANA CHAMA) ==> (MSIPOWACHAGUA VIONGOZI WA CHAMA CHANGU NATAKA NIWAAMBIE UKWELI MAENDELEO ENEO HILI MTAYASIKIA TU!)

# kila ngome itaanguka mbele yake.

NI YEYE masiha tuliye ahiyeahidiwa tangu enzi za manabii tumfuate.
Asante sana, ndugu zangu lazima tufanye tukio la nguvu kukataa ukandamizaji na uhuni unaoendelea chini ya ccm ukiongozwa na magu. Tusisubiri kupewa haki mezani, haitatokea lazima tuingie mitaani na moto mkali.
 
Huyo Mungu mnayemzungumzia sijui ni Mungu wa aina gani? Maana ameanza kuhusishwa toka kwa Slaa na Lowassa lakini hajafanya maajabu yeyote hadi leo,sasa mnamuhusisha na Lissu.

Naona ccm ina nguvu kuliko huyo Mungu.
 
Back
Top Bottom