Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ni Mtu hatari asipuuzwe!

Rubbish...
 
Swala la Lissu kushambuliwa ni siri, na hiyo siri ndiyo itakayomrudisha zero madarakani, atateuliwa tu.
 
lusungo said:
That’s why nimesema asipuuzwe! Neno haki huinua taifa lizingatiwe.
Hiyo ndiyo njia pekee ya kupambana na huyu mtu anayeitwa Tundu Lissu

Ufanyike uchaguzi huru na wa haki, katika sanduku la kura na yeye Lissu ashindwe katika uchaguzi ulio huru na wa haki

Kinyume cha hapo PATACHIMBIKA!
 
Hata kwa kikwete ngonjera zilikuwa hizihizi, mnabadilisha maneno tu tune ileile. Kwa maneno yako kuwa ni mtu hatari Basi huyu akipewa nchi ataharibu. Hatapewa.
Ataharibu mara ngapi wakati imeshaharibiwa tayari na jp?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…