Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ni Mtu hatari asipuuzwe!

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ni Mtu hatari asipuuzwe!

Lissu atazinguliwa tu na hakuna mtakachoweza kufanya, mmejaa humu na majina feki kwa uoga halafu mnaongelea mapinduzi. Sijawahi ona watu waoga na wenye mikwara Kama wabongo. Lissu hana madhara yoyote Ila mitandaoni ndo mnampaisha sana. Yawezekana safari yake ikaishia wiki ijayo na mtaishia kulalamika humu tu. Huwa nasema siku zote, Lissu ana akili nyingi sana za darasani Ila kuhusu elimu DUNIA ni ZERO kichwani.
Rubbish...
 
Swala la Lissu kushambuliwa ni siri, na hiyo siri ndiyo itakayomrudisha zero madarakani, atateuliwa tu.
 
lusungo said:
That’s why nimesema asipuuzwe! Neno haki huinua taifa lizingatiwe.
Hiyo ndiyo njia pekee ya kupambana na huyu mtu anayeitwa Tundu Lissu

Ufanyike uchaguzi huru na wa haki, katika sanduku la kura na yeye Lissu ashindwe katika uchaguzi ulio huru na wa haki

Kinyume cha hapo PATACHIMBIKA!
 
Hata kwa kikwete ngonjera zilikuwa hizihizi, mnabadilisha maneno tu tune ileile. Kwa maneno yako kuwa ni mtu hatari Basi huyu akipewa nchi ataharibu. Hatapewa.
Ataharibu mara ngapi wakati imeshaharibiwa tayari na jp?.
 
Back
Top Bottom