Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Jaribuni muoneNEC wanamkata huyo, haya ishu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaribuni muoneNEC wanamkata huyo, haya ishu
Watajua kuwa hawajui mwaka huuWatasema wana vyombo vya dola watamkontrol. Kumbe vyombo vyenyewe vimeshaona anaonewa.
Hii imekaa poa. NEC na CCM wachochee haraka. kuna mazuzu ya ccm yandhani machafuko yakitolea yenyewe yatakuwa salama.Vita vitokee tu ili Watanzania na sisi tuweze kupewa hifadhi za ukimbizi Australia Marekani ulaya
Atakatwa bwege wenu wa kupiga mashangaziNEC wanamkata huyo, haya ishu
Endelea kuota Ila angalia usikojoe kitandani.
Umeona wapi mleta mada kasema Lissu atafanya mapinduzi ?Lissu atazinguliwa tu na hakuna mtakachoweza kufanya, mmejaa humu na majina feki kwa uoga halafu mnaongelea mapinduzi. Sijawahi ona watu waoga na wenye mikwara Kama wabongo. Lissu hana madhara yoyote Ila mitandaoni ndo mnampaisha sana. Yawezekana safari yake ikaishia wiki ijayo na mtaishia kulalamika humu tu. Huwa nasema siku zote, Lissu ana akili nyingi sana za darasani Ila kuhusu elimu DUNIA ni ZERO kichwani.
Kuna mambo mengi sana hujui ingawa unajifanya inajua sanaHakuna haki Duniani, haki ipo mbinguni tu. Na tumejiandaa JPM ashinde ngwe ya pili kwa njia yoyote. Wazungu wanasema By any means necessary. Watanzania walioamini Lowassa atawaletea mabadiliko mpaka wakadeki Lami sio wa kuwaacha waamue wenyewe,wanaweza mchagua hata Makonda awe Raisi ukiwaacha waamue. Ni ubabe ubabe tu. Kama mnaweza ingieni msituni vinginevyo subirini JPM aapishwe November mwaka huu.Mmezoea kuambiwa maneno ya kuwapa moyo, mi nawapa live. LISSU hawezi kuwa Raisi wa Tanzania,sio Leo sio 2025 . NEVER.
Lowassa alitudissapoint sana 2015 baada ya kuporwa ushindi halafu akaenda kujifungia chumbani kulia.Kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu kumepatikana mwamko na amsha amsha za aina yake!
Kupitia Safu hii napenda nijadili haiba ya wagombea urais aina ya Lissu!
Kwa waliopita ktk system ya kusolve migogoro ya power corridors ndani na nje ya nchi mtakubaliana nami hiki ninachokwenda kuandika hapa.
Duniani kote wanaotumika kuleta mapinduzi au kuongoza mageuzi huwa ni watu ambao hawana cha kupoteza ktk maisha (lumpen)
Lissu amepitia Kitu tunaita’Near Death Experience’ Duniani kote wanasiasa au wanaharakati waliopitia the Near death Experience huwa majasiri na hatari sana! Wanaopanga njama dhidi yao huchagua kufa au kupona.
Spirit Yao huwa ni kali sana na hubadilisha upepo wa mambo kwa kasi sana!
Wanaomsikiliza Lissu wanaweza kuona anatania au anatishia but psychologically anachoongea Lissu kinatoka moyoni na anadhamiria.
Miaka mingi tumekuwa tukisema upinzani umepoa na hamna wa kukinukisha ni kwa sababu hapajawai tokea Mtu wa kuongoza aina ya Lissu ambaye kwa hatua aliyopo ni Kama hana tena cha kupoteza ktk maisha.
Hivyo kupitia safu hii nasema tena Lissu asipuuzwe!
Anayosema kihusu uchaguzi huru na haki iwe kweli vinginevyo dunia itashangazwa na Tanzania itaandika historia mpya!
Nashauri tuwe na uchaguzi huru na haki kweli kweli!
Ikifikia hapo atakuwa amewaamsha wafu wote waliopotezwa. Itakuwa vita ya mifupa iliyopiganwa kwenye vita ya biblia.Atakatwa bwege wenu wa kupiga mashangazi
Ni kweli lisu anatumika na ataendelea kutumia hata baada ya uchaguzi kuleta migogoro Tanzania, hila serikali na vyombo vyake vya dola washaliona hilo, wapo many steps ahead of him, ndio maana wanacheza nae vizuri tuu na uchaguzi utaisha salama , MAGUFULI atashinda Tanzania itaendelea kuwa na amani na imara daima. Lisu atabaki na aibu yake.Kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu kumepatikana mwamko na amsha amsha za aina yake!
Kupitia Safu hii napenda nijadili haiba ya wagombea urais aina ya Lissu!
Kwa waliopita ktk system ya kusolve migogoro ya power corridors ndani na nje ya nchi mtakubaliana nami hiki ninachokwenda kuandika hapa.
Duniani kote wanaotumika kuleta mapinduzi au kuongoza mageuzi huwa ni watu ambao hawana cha kupoteza ktk maisha (lumpen)
Lissu amepitia Kitu tunaita’Near Death Experience’ Duniani kote wanasiasa au wanaharakati waliopitia the Near death Experience huwa majasiri na hatari sana! Wanaopanga njama dhidi yao huchagua kufa au kupona.
Spirit Yao huwa ni kali sana na hubadilisha upepo wa mambo kwa kasi sana!
Wanaomsikiliza Lissu wanaweza kuona anatania au anatishia but psychologically anachoongea Lissu kinatoka moyoni na anadhamiria.
Miaka mingi tumekuwa tukisema upinzani umepoa na hamna wa kukinukisha ni kwa sababu hapajawai tokea Mtu wa kuongoza aina ya Lissu ambaye kwa hatua aliyopo ni Kama hana tena cha kupoteza ktk maisha.
Hivyo kupitia safu hii nasema tena Lissu asipuuzwe!
Anayosema kihusu uchaguzi huru na haki iwe kweli vinginevyo dunia itashangazwa na Tanzania itaandika historia mpya!
Nashauri tuwe na uchaguzi huru na haki kweli kweli!
Mkuu muulize Mkapa huko aliko atakujibu au soma kitabu chake.Kwani chaguzi zingine huwa si huru na haki?
Hofu yako tu mkuu, Tundu ni MTU wa kawaida sana, japokuw kisaikolojia hayuko vizuri sabb ya lile tukio. Mungu mwema atatuvusha pamoja na kwamba anaweza kukatwa sabb yeye mwenyewe kutengenezea mazingira hayo. Tatizo analitumia hilo tukio vimbaya na kuwa na ujasiri ambao unampelekea kuloose control na back up ya foreign entities zinampa jeuri.Kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu kumepatikana mwamko na amsha amsha za aina yake!
Kupitia Safu hii napenda nijadili haiba ya wagombea urais aina ya Lissu!
Kwa waliopita ktk system ya kusolve migogoro ya power corridors ndani na nje ya nchi mtakubaliana nami hiki ninachokwenda kuandika hapa.
Duniani kote wanaotumika kuleta mapinduzi au kuongoza mageuzi huwa ni watu ambao hawana cha kupoteza ktk maisha (lumpen)
Lissu amepitia Kitu tunaita’Near Death Experience’ Duniani kote wanasiasa au wanaharakati waliopitia the Near death Experience huwa majasiri na hatari sana! Wanaopanga njama dhidi yao huchagua kufa au kupona.
Spirit Yao huwa ni kali sana na hubadilisha upepo wa mambo kwa kasi sana!
Wanaomsikiliza Lissu wanaweza kuona anatania au anatishia but psychologically anachoongea Lissu kinatoka moyoni na anadhamiria.
Miaka mingi tumekuwa tukisema upinzani umepoa na hamna wa kukinukisha ni kwa sababu hapajawai tokea Mtu wa kuongoza aina ya Lissu ambaye kwa hatua aliyopo ni Kama hana tena cha kupoteza ktk maisha.
Hivyo kupitia safu hii nasema tena Lissu asipuuzwe!
Anayosema kihusu uchaguzi huru na haki iwe kweli vinginevyo dunia itashangazwa na Tanzania itaandika historia mpya!
Nashauri tuwe na uchaguzi huru na haki kweli kweli!
"Watanzania walioamini Lowassa atawaletea mabadiliko mpaka wakadeki Lami sio wa kuwaacha waamue wenyewe,wanaweza mchagua hata Makonda awe Raisi ukiwaacha waamue. Ni ubabe ubabe tu."Hakuna haki Duniani, haki ipo mbinguni tu. Na tumejiandaa JPM ashinde ngwe ya pili kwa njia yoyote. Wazungu wanasema By any means necessary. Watanzania walioamini Lowassa atawaletea mabadiliko mpaka wakadeki Lami sio wa kuwaacha waamue wenyewe,wanaweza mchagua hata Makonda awe Raisi ukiwaacha waamue. Ni ubabe ubabe tu. Kama mnaweza ingieni msituni vinginevyo subirini JPM aapishwe November mwaka huu.Mmezoea kuambiwa maneno ya kuwapa moyo, mi nawapa live. LISSU hawezi kuwa Raisi wa Tanzania,sio Leo sio 2025 . NEVER.
Wengine ni askari na sasa hivi wako centri (gate la kuingilia kambini) ile ya Mali inasubiriwa kwa hamu. Ikitokea tu ni kukusanya wana ccm wote hasa top layer tuna wapeleka kambi moja na wataeleza kilichofanyika ambacho wanataka watu waendelee kuwatawala bila ridhaa yao. Huo ndio utakuwa mwisho wa ccm na jina lenyewe.Kamkumbusha Magufuli ajitafakari Kama ana askari wa kutosha wakupiga watu nchi nzima!
Natumaini hujanisoma vizuri
Sasa watu waelewe tunaposema Membe anajitambua na ni kiongozi, siyo hili galasha la chadema kila siku kujisifu eti HAPATATOSHA.Hofu yako tu mkuu, Tundu ni MTU wa kawaida sana, japokuw kisaikolojia hayuko vizuri sabb ya lile tukio. Mungu mwema atatuvusha pamoja na kwamba anaweza kukatwa sabb yeye mwenyewe kutengenezea mazingira hayo. Tatizo analitumia hilo tukio vimbaya na kuwa na ujasiri ambao unampelekea kuloose control na back up ya foreign entities zinampa jeuri.
Lissu atazinguliwa tu na hakuna mtakachoweza kufanya, mmejaa humu na majina feki kwa uoga halafu mnaongelea mapinduzi. Sijawahi ona watu waoga na wenye mikwara Kama wabongo. Lissu hana madhara yoyote Ila mitandaoni ndo mnampaisha sana. Yawezekana safari yake ikaishia wiki ijayo na mtaishia kulalamika humu tu. Huwa nasema siku zote, Lissu ana akili nyingi sana za darasani Ila kuhusu elimu DUNIA ni ZERO kichwani.