Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ni mwarobaini wa Upinzani kumng'oa Magufuli

JPM anang'oka 2020.
Yaani hata mkiungana vyama vyote vya upinzani hamuezi kufikisha hata nusu ya kura za JPM .

Chondechonde baada ya uchaguzi hatutaki kusikia mtu ameibiwa kura hapa maana safari tunaenda kuwatembezea kipigo kitakatifu Kuanzia ngazi ya ya udiwani hadi urais.

Yaani mikakati yetu ni kuhakikisha hakuna hata Halmashauri moja inaongozwa na upinzani pili kule bungeni kinakuwa hakuna hata Mbunge mmoja wa upinzani .
 
Huyu magufuli anapaswa kuondoshwa hata kwa nguvu,anatuharibia nchi yetu.
Sisi hatuna na shaka na ushindi wa Magufuli ,tayari ameishashinda tunasubiria kuapishwa kwake tunakiwaza sasa hivi ni kumuongezea muda wa kuongoza.
 
Ndugu mabandiko yakobm yanaku marefu mnoo, na hatuna time ya kuyasima yote. Anyways nilitaka kukujuza kuwa siku mbili zijazo, Chadema inamchagua mnyiramba mwenzake Nyalandu kupeperusha bendera ya Chadema
 
Ccm wanatakiwa kutolewa madarakani kwa nguvu,huu uchaguzi tufanye tu ili kutafuta kasababu ka kuwaondoa madarakani kwa nguvu Kama walivyofanya wamalawi
Jaribuni muone kitakachotokea, na mkifanya hivyo mtakachokipata hamtarudia tena siyo tu kufanya hata kuwaza kufanya maana mtafyatuliwa vibaya.
 
Jaribuni muone kitakachotokea, na mkifanya hivyo mtakachokipata hamtarudia tena siyo tu kufanya hata kuwaza kufanya maana mtafyatuliwa vibaya.
Wewe ni utopolo,kwa taarifa yako watu wakiamua kuingoa ccm kwa nguvu na Magufuli wao,siku tano ni nyingi sana
 
Shangazi picha ya huyu mwamba inanichekesha sana!
Mwamba sikuhizi anavaa up to date hizi picha hataki hata kuziona. Na kama unazimiliki unapata kesi ya uhujumu uchumi ambayo haina dhamana.
 
Ha ha ha Haha...... Lissu atapata urais wa Twitter au Facebook.. Hata Bob Junior ni Rais ha ha ha.. lkn rais wa masharobaro sio JMT
 

Lissu haamui lolote....

Kinachoamua jambo fulani kutokea ni MAJIRA na NYAKATI...

Hata kama CCM na Magufuli wataamua kutumia uhuni wote walioupata toka kuzimu ili kung'ang'ania madaraka isivyo halali hata baada yq sanduku la kura kuwakataa, lakini kama MAJIRA na NYAKATI za kuondoka kwao zitakuwa zimefika/wadia hakuna wa kuzuia, WATAONDOKA TU na kuiacha nchi inapeta...

Hiyo imani na huo uoga ulionao ni wa kibinadamu. Wakati mwingine, yatazame mambo kwa kutumia jicho la tofauti kidogo....

Acha mazoea...
 
Yetu macho na ngoja niandae kitambulisho changu hatutaki story za kusema oooh tumeibiwa kura hahaha
 
Ccm wanatakiwa kutolewa madarakani kwa nguvu,huu uchaguzi tufanye tu ili kutafuta kasababu ka kuwaondoa madarakani kwa nguvu Kama walivyofanya wamalawi
Aya... kumbuka Upinzani haina watu serikali za mtaa tunavyo post thread hapa. Kila la heri.
 
Day Dreaming.

 

Waziri wa Zamani wa Vitalu anaenda kumng’oa Jamaa yako,Pesa pesa,Wajumbe wa Mikoani wana njaa,Inawezekana jamaa kashamaliza Mchezo zamani mnooo,Ndo maana juzi ka tweet kuwa wajumbe wasiingiliwe na Miongozo kutoka juu!Anajua analolifanya!Nyalanguu!
humpendi hana uwezo sawa ila ana fedhaaaa!Subiria Uone kitakachotokea!
 
Chadema wana kazi moja tu sasa nayo ni kupanga mikakati yao ya mambo ya kuyafanya baada ya kuchukua nchi hapo October 2020.
Njia ni nyeupe sana kwa Lissu. Amini nakwambia njia ni nyeupe sana kwa Lissu. Ajipange tu

wewe Unaota Au Na Nyalanguu waziri wa Vitalu vya Maliasili wa zamani unamuacha wapi?unajua nguvu ya fedha weye kwa wajumbe?
Subiria Uje kuona Maajabu! nani atawakilisha Chadema!
 
Chadema wana kazi moja tu sasa nayo ni kupanga mikakati yao ya mambo ya kuyafanya baada ya kuchukua nchi hapo October 2020.
Njia ni nyeupe sana kwa Lissu. Amini nakwambia njia ni nyeupe sana kwa Lissu. Ajipange tu
Ama kwa hakika tume yetu ni huru na matokeo yatakuwa mazuri sana na huyo mheshimiwa atatangawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…