Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ni toleo jipya la Magufuli with all bugs fixed, mpeni kura zenu

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ni toleo jipya la Magufuli with all bugs fixed, mpeni kura zenu

Nampa kura yangu kwa sababu nikimuona napata faraja ya moyo akili na mwili nakua na furaha na amani
Wewe kama Mimi du hongera sana kuna mda hadi machozi hunitoka tu nikimuona Lissu huwa nakuwa na amani .
 
Halafu mtu kama wewe ndio ulikuwa unakusanya maoni.
 
Kweli kabisa turudishe hadhi ya urais wa Tanzania imeshuka mno.
 
Magufuli hajawahi kuwa msaliti kama Lissu
 
Kama kungekua na option ya kudownload hii version Jamaa angedownload faster
 
nimekuambia weka link akiongea kutetea ushoga ,mmesimamia kwenye hiyo propaganda ina maana nye ndo mnataka ushoga haiwezekani mtu kitu asichokipenda aishikie kidedea kama wewe ,acha kuongea ushoga na uache kama una hiyo tabia
Duuu jamani aliye na ile clip ya Lissu akihojiwa kule Marekani au Uingereza na akatetea ushoga aishushe hapa haraka kwa ushahidi...jamaa naona mvivu wa ku browse..
 
Mwenye ile clip ya Lissu naomba aishushe hapa akizungumzia suala la ushoga..wakati akiwa kule Marekani au Uongereza
 
Yes, Lissu ameziba madhaifu yote ya Magufuli, kwa vile wakati wa JPM yamepatikana maendeleo ya vitu, kwa Lissu yakipatikana maendeleo ya watu, tunapata complete set! So tumchaguwe Lissu akazibe nyufa!
 
Kitu pekee ulichopatia ni TL ana tabia kama JPM ni wabishi na hawasikilizi ushauri wa wenzao. Tofauti yao kubwa ni itikadi wanazoziamini basi. Mwisho wa siku JPM atashinda, cha msingi nikuchukua nafasi hii kumfanya aheshimu nguvu ya umma. Mambo mengine ni ndoto tu na kiukweli unahitaji kuwa kipofu kuweka imani yako kwa wapinzani ambao hawana strategy za kuitoa CCM.
Kwa kura hizi tunazoenda kupiga Magufuli hashindi
 
Asante kwa andiko zuri ndugu yangu. TAL ndio habari ya mujini sasa hivi. Ndugu watanzania wenzangu naomba ywende na TAL 2020-2025
 
Back
Top Bottom