Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza Wananchi barabarani

Unajua sana kubumba na kuokoteza vijihadithi na kuaminisha wenye umakini haba, sijui ni mganga wa kienyeji au msaidizi wake ?
 
Akusanye ukoo wake aingie barabarani atuache kwanza watu hatujitaji vita hata covid tumeiondoa [emoji23][emoji23][emoji23]tustarehe
 
Usiwasemee wananchi. Uoga wa kukubali na kujivunia kuonewa na kunyanyaswa, ni wako mwenyewe
 
Wakiingia barabarani ni kipigo tu akuna maelezo mengine.

Unadhani ni sisimizi watakuwa barabarani eti uwapige tu?

Kama mnadhani nchi hii ni ya mama na baba zenu tutawaona.....

Mtapigwa upofu mpaka mtaombapoo...
 
Usiwasemee wananchi. Uoga wa kukubali na kujivunia kuonewa na kunyanyaswa, ni wako mwenyewe
Sijaona mantiki ya sentensi zako.
Ingawa mwishoni umeishia kueleza nilichoeleza "mtu mmoja asiwafanye wengine kuumia kwa maslai yake /kikundi chake ",hivyo basi hoja za kuonewa, kunyanyaswa na nk ziko ndani ya mtu mmoja/kikundi fulani cha watu.
Huo ujasiri wa kuwasemea watu wao wameutoa wapi?
 
Hivi UKUTA iliishia wapi enzi zile.
Huu uchaguzi utakuwa mwepesi sana kuwahi kutokea ktk historia ya nchi hii.
 
Wekeni tume inayotokana na vyama vyote vya siasa ili tumsute kesho yake akikulazimisha uingie barabaran
 
Amuulize Mange kwanza [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16], i cant wait ................................
Mbona mange mwenyewe walipelekea kiziba mdomo Cha nguvu ndio maana anakula kimyakimya hujui
 
Karibu barabarani. Tena this time, watafanya makusudi ili ionekane umeibiwa ili uingie na wewe barabarani. Wanakutamani kinoma, usijishaue ukidhani wanakuogopa sabb ya mdomo wako. Njoooo tu baba, uchukue kura zako barabarani.

Mnataka usalama, dawa ni moja tu...

MSIIBE KURA. TUSHINDE KWA HAKI. ASHINDE KWA HAKI...

There's no way out....

Hii siyo nchi ya BABA na MAMA zenu. This time mtathibitishiwa hili...!!!
 
Hahaaaa eti rangi za Pazia,
Mpaka ile October ni bandika bandua hili season la uchaguzi.
 
Huyu bwana huwa namkubali sana kwa misimamo nahisi atakuwa ameumbwa tofauti kabisa na akina Fulani ambao wakitikiswa kidogo tu kesho utawasikia wanasema "nimeamua kujiunga na ccm ili kuunga mkono juhudi za magufuli"

Naamini kwa ujasiri wake lazima October hii tutakuwa tumemfurusha mtu kutoka magogoni ukizingatia CCM yenyewe wakiwamo mawakala wa wagombea wao hawaelewani kabisa kwa sababu ya zile mambo za wajumbe

Tegemeo pekee la maccm ilikiwa ni watu wasiojulikana lakini kwa sasa na wao hata hawajui hatima yao maana hawajapata tenda toka sijui mwezi wa ngapi
 
Mnaota ndoto, muulize mbowe alivyokimbia siku ya akwilina, utafikiri mwanariadha wa kenya.
WEWE ndio bado una ndoto za watoto wa chekechea. Na hayo ya Acquilina, Mwangosi, Mawazo lazima tuje kuyafukua upya.
 

You are really a GREAT THINKER...

Nakubaliana na wewe kwa 100%...

"....Lissu is not a threat entirely, but an AGENT of chaos or in other words, A MAN WHO OPENS THE PANDORA BOX....."

Hii statement imefunga na kumaliza kila kitu. Only GT can understand the logic in it....

Haya ni MAJIRA na NYAKATI ya kubadili mwelekeo wa Tanzania hii...

Sijui ni kwa nini watu hawaoni na kuelewa haya mambo???
 
Pimbi 2 Yani anataka kufanya yeye ndo rais 🐵🐵🐵🐵
 

Tatizo ni matendo ya kinyama na kidikteta yanayofanywa na mtu mmoja mfupi kutoka chattle tena mbele ya macamera na mamic plus mayoutube
 
Mnataka usalama, dawa ni moja tu...

MSIIBE KURA. TUSHINDE KWA HAKI. ASHINDE KWA HAKI...

There's no way out....

Hii siyo nchi ya BABA na MAMA zenu. This time mtathibitishiwa hili...!!!
Unabweka nyuma ya mlango uje barabarani uone robot wanavyokunywa damu.
Kuna watu wamefundishwa kupiga na wengine kuua kabisa lakini leo mwaka wa tano amekaa tu analamba pesa ya bure!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…