zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
Time will come when people will need Magufuli but he would not be thereTatizo ni matendo ya kinyama na kidikteta yanayofanywa na mtu mmoja mfupi kutoka chattle tena mbele ya macamera na mamic plus mayoutube
Hahahaha naona huyu jamaa ameanza kupagawa sasa, akifanikiwa kuingia barabarani kitakachotokea hakuna mwananchi amabaye atakuwa tayari tena kuhamasishwa na kukubali kuingia barabarani.
Inawezekana we nawe unajiita mwanaume, Nyerere, Mandela, Nkruma, Macheli wangewaza wake na familia zao unadhan Africa ingekuwa huru??Watz Sio wapumbavu kiwango Cha level ya lissu watu wanaangalia maisha yao Zaid
Watu washaona matokeo ya nchi nying kuingia katika mchafuko Ni hataree Libya mpaka leo wanajuta
Siwezi fanya upumbavu huo Lisuu ataenda uhamishon yeye na watoto wake wee je????
Kwa vile hayana mantikiSijui ni kwa nini watu hawaoni na kuelewa haya mambo???
Time will come when people will need Magufuli but he would not be there
Scripture says "A prophet is never known or appreciated in his own village"..
The president who did marvelous actions and took strict steps is now being criticized by his own citizens....
One day people will remember him when his gone already[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
Watanzania wamekosa maarifaKwa vile hayana mantiki
Mpelekee jogoo na wewe akiwa bado haiTime will come when people will need Magufuli but he would not be there
Scripture says "A prophet is never known or appreciated in his own village"..
The president who did marvelous actions and took strict steps is now being criticized by his own citizens....
One day people will remember him when his gone already[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
Kwenye barabara ya nani. Tutakuona unavoingiza hao watu.Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.
Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.
My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.
Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
No I'm not comparing him to Jesus but on top of all that he should be appreciated for all the good things he has done....You are absolutely an agent insanity...!
What marvellous actions are taken by Magufuli?
Stealing our money 2.5 trns? Killing and abducting his own citizens? Being named and compared with " Jesus?"
Stop this insanity....!!
Kauli hatari kwa usalama wa nchi au kwa viongozi walio madarakani?Sidhani kama wananchi watakuwa tayari kuingia barabarani kwa faida za wanasiasa.
Kauli hizi si tu ni hatari kwa usalama wa nchi bali ni hatari hata kwa yeye mwenyewe.
Hekima ya Mwenyezi Mungu inahitajika kumuongoza Mh. Lissu katika mbio za Urais, mtu mmoja hawezi kuwaingiza watu barabarani labda kama kuna mpango waliokwisha kuuandaa muda mrefu.
Na wakati wa kupigwa apigwe huo upande mwingine ili akae sawa.Anamtishia mtu ambaye moyo wake uliisha kuwa sugu !!
Yeye ajiandae tu ki ukweli atashindwa vibaya sana, na akileta fyoko atapigika kweli kweli kuanzia yeye mpaka hao wafuasi wake.
Hamna namna hali mbaya kweliKama ni hivi sawa
Acheni kuiba kura sibasi manen ya nini ?mlifikiri mtapigiwa kura na flyover,madaraja ,stieger sgorge, standard gauge ,mtakoma mwaka huu.Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.
Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.
My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.
Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
Watanzania ni wana wa Israeli,na Magufuli ndo Mussa wetu.Jinga sana wewe....
Unadhani ni sisimizi watakuwa barabarani eti uwapige tu?
Kama mnadhani nchi hii ni ya mama na baba zenu tutawaona.....
Mtapigwa upofu mpaka mtaombapoo...
Utaenda .....?Safi sanaa tundu lisu hakuna kuogopa risas tena mstar wa mbele kabisa ipange familia yako na ndugu zako alafu sis wananch tukae nyuma nyuma
Maana yake nini?Acheni kumlisha maneno
Alisema hivi na Nukuu
"Mimi sio yule wa kusema namwachia Mungu"
Zikiibiwa anapewa mshindi wa kwanza ama?Amesema akiibiwa sio akishindwa
Kweli wewe CHADEMA, sasa "..." maana yake nini?Mleta mada wewe ndo wale watu mnasikilizaga habari kwa mihemuko, Ni Wapi ulisikia TL akitamuka maneno hayo.
Nanukuu alichokisema; "Tuchague mgombea ambae atakuwa na uwezo pamoja na Utayari wa kuwaingiza wananchi barabarani pale itakapohitajika" TL.
Je Umeona kaongelea nafsi hapo au ndo unatumia makalio kuelewa.