Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza Wananchi barabarani

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza Wananchi barabarani

Tatizo ni matendo ya kinyama na kidikteta yanayofanywa na mtu mmoja mfupi kutoka chattle tena mbele ya macamera na mamic plus mayoutube
Time will come when people will need Magufuli but he would not be there
Scripture says "A prophet is never known or appreciated in his own village"..
The president who did marvelous actions and took strict steps is now being criticized by his own citizens....

One day people will remember him when his gone already[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
 
Hahahaha naona huyu jamaa ameanza kupagawa sasa, akifanikiwa kuingia barabarani kitakachotokea hakuna mwananchi amabaye atakuwa tayari tena kuhamasishwa na kukubali kuingia barabarani.

JIBU NI MOJA TU...

Haki itendeke na ionekane inatendeka kwa kila mtu...

Mambo yaliyofanyika mwaka 2015 na ujinga wa kule Zanzibar, hayakubaliki...

Ikitokea hivi tatizo na chanzo cha vurugu wala hakitakuwa TUNDU LISSU au MAALIM SEIF SHARIFF HAMAD...

Chanzo na tatizo litakuwa wale waliopora haki za watu....!!
 
Watz Sio wapumbavu kiwango Cha level ya lissu watu wanaangalia maisha yao Zaid

Watu washaona matokeo ya nchi nying kuingia katika mchafuko Ni hataree Libya mpaka leo wanajuta

Siwezi fanya upumbavu huo Lisuu ataenda uhamishon yeye na watoto wake wee je????
Inawezekana we nawe unajiita mwanaume, Nyerere, Mandela, Nkruma, Macheli wangewaza wake na familia zao unadhan Africa ingekuwa huru??
 
Time will come when people will need Magufuli but he would not be there
Scripture says "A prophet is never known or appreciated in his own village"..
The president who did marvelous actions and took strict steps is now being criticized by his own citizens....

One day people will remember him when his gone already[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]

You are absolutely an agent insanity...!

What marvellous actions are taken by Magufuli?

Stealing our money 2.5 trns? Killing and abducting his own citizens? Being named and compared with " Jesus?"

Stop this insanity....!!
 
Kwa vile hayana mantiki
Watanzania wamekosa maarifa
Hata maandiko yanasema watu wanaangamia kwa kukosa maarifa...

Nchi haihitaji mtu anayejua kuhusu sheria au aliyesoma sheria inahitaji MTU anayeongoza nchi na kusimamia sheria na haki..
Uongozi ni akili na kufikiri kwa kina hata kina Nyerere kwani walisoma sheria...

Think twice guys
 
Time will come when people will need Magufuli but he would not be there
Scripture says "A prophet is never known or appreciated in his own village"..
The president who did marvelous actions and took strict steps is now being criticized by his own citizens....

One day people will remember him when his gone already[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
Mpelekee jogoo na wewe akiwa bado hai
 
Ikiwa ataingiza watu barabarani na magari nayo atayapeleka wapi???
 
Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.

Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.


My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.

Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
Kwenye barabara ya nani. Tutakuona unavoingiza hao watu.
 
You are absolutely an agent insanity...!

What marvellous actions are taken by Magufuli?

Stealing our money 2.5 trns? Killing and abducting his own citizens? Being named and compared with " Jesus?"

Stop this insanity....!!
No I'm not comparing him to Jesus but on top of all that he should be appreciated for all the good things he has done....

No one is perfect not even a leader I'm quite sure even other leaders who led the country before had weaknesses
We shouldn't judge the book by its cover
 
Tuko tayari kamanda...... Tunachotaka ni haki kutendeka
 
Sidhani kama wananchi watakuwa tayari kuingia barabarani kwa faida za wanasiasa.
Kauli hizi si tu ni hatari kwa usalama wa nchi bali ni hatari hata kwa yeye mwenyewe.
Hekima ya Mwenyezi Mungu inahitajika kumuongoza Mh. Lissu katika mbio za Urais, mtu mmoja hawezi kuwaingiza watu barabarani labda kama kuna mpango waliokwisha kuuandaa muda mrefu.
Kauli hatari kwa usalama wa nchi au kwa viongozi walio madarakani?
Busara ya fisiemu inakuaga juu sana wkt kama huu hasa wakiona upepo unaelekea kuwakataa,sijui mtapiga tena push up safari hii.Nakumbusha tu miongoni mwa ahadi hewa mlizotupa 2015 ni laptop kwa kila mwalimu nchi nzima,milioni hamsini kila kijiji bado tunasubiri wiki zilizobaki nafikiri zitatosha kutekeleza ahadi zenu.
 
Anamtishia mtu ambaye moyo wake uliisha kuwa sugu !!
Yeye ajiandae tu ki ukweli atashindwa vibaya sana, na akileta fyoko atapigika kweli kweli kuanzia yeye mpaka hao wafuasi wake.
Na wakati wa kupigwa apigwe huo upande mwingine ili akae sawa.
 
Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.

Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.


My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.

Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
Acheni kuiba kura sibasi manen ya nini ?mlifikiri mtapigiwa kura na flyover,madaraja ,stieger sgorge, standard gauge ,mtakoma mwaka huu.
 
Jinga sana wewe....

Unadhani ni sisimizi watakuwa barabarani eti uwapige tu?

Kama mnadhani nchi hii ni ya mama na baba zenu tutawaona.....

Mtapigwa upofu mpaka mtaombapoo...
Watanzania ni wana wa Israeli,na Magufuli ndo Mussa wetu.
Nyinyi ni kizazi cha farao wanyanyembe Mungu atawaangamiza hamtoamini.
 
Safi sanaa tundu lisu hakuna kuogopa risas tena mstar wa mbele kabisa ipange familia yako na ndugu zako alafu sis wananch tukae nyuma nyuma
Utaenda .....?

Walking from high tamrc road
 
Mleta mada wewe ndo wale watu mnasikilizaga habari kwa mihemuko, Ni Wapi ulisikia TL akitamuka maneno hayo.
Nanukuu alichokisema; "Tuchague mgombea ambae atakuwa na uwezo pamoja na Utayari wa kuwaingiza wananchi barabarani pale itakapohitajika" TL.

Je Umeona kaongelea nafsi hapo au ndo unatumia makalio kuelewa.
Kweli wewe CHADEMA, sasa "..." maana yake nini?
 
Back
Top Bottom