Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza Wananchi barabarani

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza Wananchi barabarani

Hivi unajua kuwa mitandao ya Kijamii k.m.JF, Insta, WhatsApp, facebook,etc vimefungiwa na hii Serikali ya Kidikteta kwa kisingizio Cha kuzuia maandamano ya Lissu?
We vipi!? Hata kama vimefungiwa SO WHAT!? Kwani hamna njia nyingine za kutumia kuhamasishana ili MUANDAMANE!? Mzalendo 2015 we vipi?! Basi tuandamane humu JF! Be creative, msitafute vijisababu baada ya kupata Total Technical Knock OUT. Nimeona mbaya wenu mwingine akisema "UPINZANI ULIZALIWA 1992 NA UMEFARIKI 2020! Na mimi naongeza VIP UPINZANI.
 
Ona aibu kusema watanzania, 2/3 ya watanzania hawakupiga Kura. Na hiyo 1/3 wote hawakumpa Magufuli, achia mbali kura za kwenye mabeg tulizoona kwa macho yetu. Watanzania sio kwamba wameridhika, ila ni waoga wa kupigwa risasi, kwa maagizo ya viongozi madhalimu.
Sasa kama mmeibiwa andamaneni basi. Tuondoleeni kelele humu
 
Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.

Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.


My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.

Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
Tayari keshakimbilia ''kwao'' hapo ndio tujue hawa watu walivyo vibaraka,wanaanzisha fujo halafu hao wanakimbilia kwa wakoloni wao,ni aibu sana hii sasa nani wanamwachia shida au matatizo, wao wanataka tuingie barabarani na wao wanapanda ndege kwenda kwa mabwana zao. Tulishasema hatudanganyiki endeleeni kutumikia mabeberu sisi tutatumikia wananchi wa Tanzania
 
Nilimwambieni humu JF kuwa hiyo "nyomi" ni ya watu waliokuwa wakienda kumshangaa Lissu! Hao hawakuwa wapiga kura licha ya walioandikishwa kwenye NPVR ya NEC! Walikuwa ni washangaaji tu. Sasa nadhani tumeelewana!
We kiazi sana

Wabongo hawataki kupigwa marisasi.

Iambie serikali iruhusu maandamano ya amani. Utashangaa hio nyomi.

Usiwe na akili finyu
 
We kiazi sana

Wabongo hawataki kupigwa marisasi.

Iambie serikali iruhusu maandamano ya amani. Utashangaa hio nyomi.

Usiwe na akili finyu
Lete HOJA Saint Ivuga! Wacha blaaah blaaah bure. Maandamano ya Amani yalifanyika 28/10/2020 na kila mwenye akili aliiona kazi ya sanduku la kura, siyo matusi, vihoja na vioja.
 
Nilijua tu watz hawaendi barabarani sio kwamba ni waoga bali nikwamba watawala wetu hawatoi sapoti au kwenda front line wao wanaenda hotelini kusubiri kupewa taarifa eti wangapi wamekufa?
 
Back
Top Bottom