Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Niko tayari kugombea Urais mwaka 2020 nikipewa ridhaa na Upinzani

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Niko tayari kugombea Urais mwaka 2020 nikipewa ridhaa na Upinzani

Mapenzi yakizidi na ujuha unaongezeka lkn pia kiwango cha ujinga kinakua juu, Lissu na uchumi wapi na wapi, tatizo la ufipa moja tu, Muhemko na hii itawafanya muwe wajinga maisha yenu yote

Kwani wewe unaelewa hata maana ya uchumi kweli?

Hebu jaribu kulinganisha uelewa wa mambo ya uchumi kati ya Tundu Lissu na John Pombe Magufuli, Rais wako wa CCM.....

Umepata jibu gani? who's better than the other?
 
Nimesoma habari ya gazeti la Mwananchi kuhusu swala la Lissu kujiandaa na Urais 2020 hivyo kufanya idadi ya wagombea waliokwisha kutangaza nia ya kugombea Urais kwa tiketi ya Chadema kinyume kabisa na miongozo ya chama hicho kwa watia nia wake kuwa wawili mpaka sasa yaani Lissu na Lowassa.

Miongozo ya CHADEMA inawataka watia nia wa Urais kutangaza nia hiyo mwaka mmoja kabla ya Uchaguzi mkuu ili kuepusha mpasuko ndani ya Chama. Aidha yuko Mbowe nae anataka kugombea Urais ila hatangazi ili apate nafasi ya kuwaengua wanaotangaza mapema wakati ukifika.

Kwa tunaomjua Lissu tunaamini kabisa kuwa hawezi kuwa kwenye nafasi kubwa kama Urais kwa sababu kubwa kuwa hayuko settled. Lissu anapaswa kuwa na chombo au mtu wa juu yake kumdhibiti. Lissu ni kama Lema, Wenje na sampuli hizo. Ni waongeaji, wakosoaji na wakitumwa kusemea jambo wana uwezo mkubwa wa kufanya.

Udhaifu wao mkubwa ni kwamba hawawezi kukaa kwenye kikao dakika 20 bila kutoka nje. Wako mbio mbio muda wote. Hawana ubunifu wao ni watekelezaji tu, ni watu wa visasi na makundi, wamekubuhu kwenye fitina hawa wote ndio walimpoteza Lytonga Mrema kwa kumgombanisha na wenzake akina Marando sasa wameshamgombanisha Mbowe na waliokuwa wapenzi wake akina Zitto, Dr. Slaa sasa wanataka Urais.

Dhambi kubwa ya Zitto na Dr Slaa CHADEMA ilikuwa ni kutangaza kugombea Urais. Waliosimamia mkakati wa kuvunja ndoto zao ni hawa vijana wa Lytonga Mrema waliotoka nae NCCR kwenda TLP halafu wakamtelekeza kule na kukimbilia CHADEMA. Kwasababu ni wabaguzi dhambi ile hawajawahi kuiacha ni sawa na kula nyama ya mtu.

Mimi binafsi namuunga mkono Lissu kuwa mwenyekiti wa CHADEMA kwa sababu ndio pekee ninayemuona ana ujasiri wa kupambana na Mbowe japo hana mkakati. Simuungi mkono kwa sababu yeye atakuwa mwenyekiti mzuri kuliko Mbowe la hasha ila atavunja mwiko na kufungua mlango uliofungwa miaka mingi wa kupokezana vijiti ndani ya CHADEMA.

Aidha Lissu atatoa changamoto kwa siasa za upinzani nchini na kuzinogesha. Nampa tahadhari Lissu kuwa kama amesharubuniwa na Mbowe kuwa ataachiwa Urais na yeye aachie uenyekiti ameshashindwa kabla ya kuanza.

Kwa sasa Lissu focus kwenye Uenyekiti wa CHADEMA kwanza Urais unakuja tu wenyewe.

Nakutakia uponaji wa haraka Kamanda
Rubbish!
 
Lowasa bado yupo tu
Lowasa ana nyota kali lakin hana maeno ya ushawishi anaomba kura kama bado yupo ccm
 
Tena endelea kulala kabisa. Vp EU wamejibu tamko lenu la Zanzibar?

Unataka kuanzisha ligi ya malumbano ya "kitchen party" siyo?

Rudi kwenye mjadala. Thibitisha kuwa mimi ndiye ninayeota na siyo wewe!!
 
Acheni ramli gombeshi na chongeshi. Wanaochagua Raisi ni wapiga kura, nyinyi hamna mamlaka ya kuwaamulia nani anafaa au hafai. Hayo ni maoni yenu na pengine mmeyatoa mkiwa hamna fact za kutosha.
 
Namshaaga sana lisu anamuogopa mbowe kuliko raisi wa jamhuri, bila shaka mbowe ni mtu hatari sana. Sasa kama anamuogopa na kumyenyekea mbowe kiasi hiko, ataweza uraisi kweli, jibu ni no, aanzie kwanza umwenyekiti chadema then akitoboa ndo tuone
 
Mtu mzima maanake Nini?,akili za nyumbu ziko matakoni kweli,hapa hatuangalii mtu mzima au mtoto ,Tundu Lissu atakuwa rais wa familia yako siyo sisi ,wewe Kama bingwa was kukariri mkariri huyohuyo Tundu Lissu wako na nyumbu wenzio
Wewe umemkariri nani? Maana ndio akili zako zilipotuamia hapo.
 
Ccm nimeichoka vibaya Sana inatunyanyasa Sana wafanya kazi kuhusu haki zetu za kupanda madaraja,nyongeza ya mshahara na ukisitaafu Tena tulipwe aslimila 25%,kweli kero Ni nyingi Sasa hvi hatuna amani na kazi hatuifurahii kazi kabisa,ila ndugu yangu kwa TUNDU LISSU ndo tutapotea jumla kabisa ,mkipata mwingine ndo tutawaunga mkono lakini Tundu Lissu akigombea hata nisipowapigia kura CCM watashinda tu ndo kinachonikera
Unadhani akigombea nani upinzani utashinda?
 
naona upinzani unaweza kuchukua Nchi kama watafanya mambo kadhaa.
haya nitayasema siku nikionana na Mbowe.
lakini ki uhalisia kwa hali ya sasa Upinzani kuchukua Nchi ni bado Sanaa na mapema mnoo..
Binafsi sipendi lakini na UHAKIKA 2020-2025 Ni Magufuli tena
swala la Nani atagombea upinzani
hilo bado ni confidential lakini kwa Lowassa hapana yule kashapoteza tenaa
namuona Mbowe&Lissu
lakini wote naona bado wana pwaya
 
Ndio maana kuna wapiga kampeni ambao wanawasaidia hao wapiga kura kuchagua kilicho bora
Acheni ramli gombeshi na chongeshi. Wanaochagua Raisi ni wapiga kura, nyinyi hamna mamlaka ya kuwaamulia nani anafaa au hafai. Hayo ni maoni yenu na pengine mmeyatoa mkiwa hamna fact za kutosha.
 
Unataka kuanzisha ligi ya malumbano ya "kitchen party" siyo?

Rudi kwenye mjadala. Thibitisha kuwa mimi ndiye ninayeota na siyo wewe!!
Mtateseka sana na ushoga sie hatuutaki, tunataka maendeleo ya vitu
 
Nimesoma habari ya gazeti la Mwananchi kuhusu swala la Lissu kujiandaa na Urais 2020 hivyo kufanya idadi ya wagombea waliokwisha kutangaza nia ya kugombea Urais kwa tiketi ya Chadema kinyume kabisa na miongozo ya chama hicho kwa watia nia wake kuwa wawili mpaka sasa yaani Lissu na Lowassa.

Miongozo ya CHADEMA inawataka watia nia wa Urais kutangaza nia hiyo mwaka mmoja kabla ya Uchaguzi mkuu ili kuepusha mpasuko ndani ya Chama. Aidha yuko Mbowe nae anataka kugombea Urais ila hatangazi ili apate nafasi ya kuwaengua wanaotangaza mapema wakati ukifika.

Kwa tunaomjua Lissu tunaamini kabisa kuwa hawezi kuwa kwenye nafasi kubwa kama Urais kwa sababu kubwa kuwa hayuko settled. Lissu anapaswa kuwa na chombo au mtu wa juu yake kumdhibiti. Lissu ni kama Lema, Wenje na sampuli hizo. Ni waongeaji, wakosoaji na wakitumwa kusemea jambo wana uwezo mkubwa wa kufanya.

Udhaifu wao mkubwa ni kwamba hawawezi kukaa kwenye kikao dakika 20 bila kutoka nje. Wako mbio mbio muda wote. Hawana ubunifu wao ni watekelezaji tu, ni watu wa visasi na makundi, wamekubuhu kwenye fitina hawa wote ndio walimpoteza Lytonga Mrema kwa kumgombanisha na wenzake akina Marando sasa wameshamgombanisha Mbowe na waliokuwa wapenzi wake akina Zitto, Dr. Slaa sasa wanataka Urais.

Dhambi kubwa ya Zitto na Dr Slaa CHADEMA ilikuwa ni kutangaza kugombea Urais. Waliosimamia mkakati wa kuvunja ndoto zao ni hawa vijana wa Lytonga Mrema waliotoka nae NCCR kwenda TLP halafu wakamtelekeza kule na kukimbilia CHADEMA. Kwasababu ni wabaguzi dhambi ile hawajawahi kuiacha ni sawa na kula nyama ya mtu.

Mimi binafsi namuunga mkono Lissu kuwa mwenyekiti wa CHADEMA kwa sababu ndio pekee ninayemuona ana ujasiri wa kupambana na Mbowe japo hana mkakati. Simuungi mkono kwa sababu yeye atakuwa mwenyekiti mzuri kuliko Mbowe la hasha ila atavunja mwiko na kufungua mlango uliofungwa miaka mingi wa kupokezana vijiti ndani ya CHADEMA.

Aidha Lissu atatoa changamoto kwa siasa za upinzani nchini na kuzinogesha. Nampa tahadhari Lissu kuwa kama amesharubuniwa na Mbowe kuwa ataachiwa Urais na yeye aachie uenyekiti ameshashindwa kabla ya kuanza.

Kwa sasa Lissu focus kwenye Uenyekiti wa CHADEMA kwanza Urais unakuja tu wenyewe.

Nakutakia uponaji wa haraka Kamanda
Mwana CCM,unashauri CDM.....
Unatakiwa uwashauri CCM
 
Back
Top Bottom