Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna llote mnahangaika bure na hao mabeberu wenu , 2020 mtapata tabu sanaHakika tikoa habari za kuwania kiti huyu Tundu Lissu,vitanda havilaliki pale Ikulu.....
Na Leo hii tumeona amefuta kikotoo kipya cha mifuko ya jamii, ambapo kiuhalisia ni "yeye" aliyeamuru kitumike!
Hakika huyu Rais tuliye naye ni bingwa wa maigizo
Safari hii atatwangwa bomu sio risasi
Hao mabeberu watawapa mimba nyie mbuzi jike...subiria mimba yakoHakuna llote mnahangaika bure na hao mabeberu wenu , 2020 mtapata tabu sana
Siyo tu kusaini mchezo mzima umepitia kwenye baraza la mawaziri. Kama anasema walikaa kikao cha cabinet wakaamua kutunga sheria kuiunganisha hiyo mifuko bila shaka moja ya maazimio yalikuwa ni hili la kikokotoo.Mimi bado najiuliza hivi Rais hadi anasaini kuwa sheria hakuusoma?
Usije ukamwamini mongo yuleWakati tunashangalia Mkokotoo kiubadilishwa.tujiulize hii Sheria iliyobatilishwa leo nani kaisaini!
Mimi bado najiuliza hivi Rais hadi anasaini kuwa sheria hakuusoma?
Mara analeta tatizo na kulitatua mwenyewe mara kamuogopa Lisu..............ongezeni nyingine
Asingefanya hivyo hao wa kuponda wasingepata sababu ya kumponda acha acheze na akili zao tuHajaleta tatizo na kulitatua wala hamuogopi Lissu, je tatizo ni nini mpaka asaini sheria, kisha aonyeshe kutokuikubali?