Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Mwendazake alikuwa anakula ganja.Alikuwa anajitamkia tu maneno hovyohovyo.Gari halijasimama yeye katoa kichwa juu eti anasalimia wananchi.ππππππLisu anakumbushia ile ajira aliyoahidiwa na Mwendazake.........hahahaaaa!
Fact broLissu si bure......
Lissu atakuwa ana matatizo "kichwani".......
Yaani jamaa ana "GRANDIER DELUSION".....
Jamaa anajiona ni "MUHIMU SANA nchini" kuliko UHALISIA ULIVYO.....
Jamaa anashangaza kwelikweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
#KaziIendelee
#JMTKwanza
Bora Lisu tunamjua. We umejificha kwenye keyboard unatoa ushauri kwa nchi as if una umuhimu sana nchini
Hakuna anaemchukulia Rais Kama Mungu.....Hivi nyie watu mbona rais huwa mnamchukulia kama Mungu? Hiii mindset ya kipumbavu inatakiwa ifutike vichwani mwenu, rais ni kaajiriwa na raia hapaswi kuogopwa.
Acha tu mkuu wangu....Fact bro
Hahahaaaa....... Kwa sasa Ufipa na Lumumba tumekuwa ndugu moja!
Hats were unaweza kumpigia rais simu siyo suala la umuhimu wa mtu. Hata hivyo kwa vyovyote vile nafasiy ya Lissu ni kubwa sana katika nchii wewe hata robo yake hufikii. Na siku wakikutana utaafedheheka sana. Nitakukumbusha.Lissu anajidhania ni wa muhimu kuliko alivyo.
Sasa kosa la lissu kusema hajajibiwa ombi lake nini labda babu?Hakuna anaemchukulia Rais Kama Mungu.....
Ila pia Rais na nafasi yake si wa kawaida kawaida tu.......
Ni juzi tu umeona Baraza la Maaskofu wamemzunguka na kupiga naye picha kwa HESHIMA NA TAADHIMA akiwa amekaa chini katikati....
UKIJUA ni kwanini UTAKUA KIAKILI....na ukikua KIAKILI utaacha UTOTO......
#KaziIendelee
#JMTKwanzaKablaYaChochoteKile
Mleta uzi umemsoma katikati ya mistari au umeingia kichwakichwa tu.Anacheza na akili zenu.πππππKama aliomba appointment kwa kupiga simu tu, tena ikapokelewa na "msaidizi" wa Rais, most likely hatopewa majibu yoyote na huenda hata huyo msaidizi hakufikisha ujumbe kwa Mhusika. Ile taasisi ya Urais itataka kuprove a point.
Wakutane wasikutane I don't care, maana wote wanafanana mawazoHats were unaweza kumpigia rais simu siyo suala la umuhimu wa mtu. Hata hivyo kwa vyovyote vile nafasiy ya Lissu ni kubwa sana katika nchii wewe hata robo yake hufikii. Na siku wakikutana utaafedheheka sana. Nitakukumbusha.
Lissu ni muhimu sana kuliko ww na familia yako woteLissu anajidhania ni wa muhimu kuliko alivyo.
Ushabiki ukipitiliza unachanganyikiwa. Huyo bwana kaomba, shinikizo latoka wapi? Uamuzi wa rais ni hiari yake, na lini ni uamuzi wake.
Hivi mh. Rais anaombwa mambo na wangapi ndani na nje ya nchi ?!!!Sasa kosa la lissu kusema hajajibiwa ombi lake nini labda babu?
π€£π€£π€£ Dada una "mahaba" na Lissu aliyoyasema mh.Lowassa kipindi kile cha kugombea kwake Urais eee?!!!Lissu ni muhimu sana kuliko ww na familia yako wote
Manka unaijua familia yake?Lissu ni muhimu sana kuliko ww na familia yako wote
Mkuu hilo unalijua bila ya shaka yeyote, ndio maana ume- comment kwa kujibaraguza.Lissu anajidhania ni wa muhimu kuliko alivyo.