Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
"Wazee wa kazi" wangeanza kwanza kushughulikia waliongia hiyo mikataba ya hovyo kama walishindwa kabisa kuzuia hiyo mikataba kuridhiwa kwa kuanzia.
Basi wazee wa kazi wenyewe waliona ashughulikiwe kama msaliti wa nchi.