Basi wazee wa kazi wenyewe waliona ashughulikiwe kama msaliti wa nchi.
"Wazee wa kazi" wangeanza kwanza kushughulikia waliongia hiyo mikataba ya hovyo kama walishindwa kabisa kuzuia hiyo mikataba kuridhiwa kwa kuanzia.
Alafu mkataba wa BIT ni kati ya nchi na nchi na sio kati ya mwekezaji na nchiAgreements zipo kisheria na hakunaga uzalendo wa kuvunja mikataba bila kufuata sheria halaf unataka watu wawe wazalendo!
Waliopaswa kua wazalendo ni wale waliovunja mikataba ili wasiliingize Taifa kweny migogoro ya madai!! Tuwe wakweli tuache unafiki na siasa, sheria na mikataba havihitaji siasa unatakiwa unyooke kama rula.
Naam..Hiyo ni hoja nzuri sana.
..Waziri wa Sheria, Mwanasheria Mkuu, na Wakili Mkuu wa serikali, wanapaswa kuhojiwa kuhusu suala hilo.
..Hao ndio wanaotakiwa kulaumiwa kwa kukosa uzalendo na kuuza mechi.
Walikuwa wapi mda wote huo??Naam
Elewa kwamba hii mikataba iko dunia nzima kilanchi ambayo ni ya kistaarabu inakuwa na mikataba kama hii kwani ni kati ya nchi na nchi na sio kati ya mwekezaji na nchi. Mwekezaji anapozulumiwa na anatazama kama nchi yake mkataba na Tanzania ndio anakwenda kushitaki kama hakuna mkataba inakuwa hasara kwa mwekezaji je umeshajiuliza ni wawekezaji wangapi ambao wamezulumiwa??mikataba
Umeuona huo mkataba au unaropoka tu
Summons alipelekewa nani? Huo ni sehemu ya uhuni wa Lissu, anajua ana mgao wake kwenye hizo hela
Huyo alifanya kazi ya kuwashauli wafanye vipi ili wakamate Mali za watanzania kwa kuwa anajua wanasheria alio teuma raisi kwa sasa ni vibogoyo.Hiyo kauli inaonesha vile anajua mambo ya sheria za kimataifa yanavyoendeshwa, ana experience, hakuna kingine zaidi ya hicho, muhimu kwenu akiwaambia fanyeni hiki na kile msifanye, mjifunze kusikiliza ushauri wake, upinzani sio uadui, mtaliepusha taifa na hasara zisizo za lazima.
Ana mgao wake, katika hizo bilioni 380..summons lazima iwe imefika WIZARA YA SHERIA au kwenye moja ya BALOZI zetu.
..hizi sio kesi za kienyeji kwamba wahusika wasiwe na taarifa.
..Lissu hajasajiliwa kama msuluhishi ktk mahakama ya usuluhishi wa migogoro ya uwekezaji. Tuhuma kwamba anahusika ktk shauri hili na ana mgao haziwezi kuwa za kweli.
Serikali kuwania wanasheria vibogoyo (incompetent) nani alaumiwe Lissu au serikali?Huyo alifanya kazi ya kuwashauli wafanye vipi ili wakamate Mali za watanzania kwa kuwa anajua wanasheria alio teuma raisi kwa sasa ni vibogoyo.
Tundu lisu haaminiki kabisa.
Serikali kwa sasa ni kibogoyo ila wapinzani nao ni wabovu zaidi tutapata taabu sana na hatuna pa kukimbilia.
Ana mgao wake, katika hizo bilioni 380
Kwahiyo usaliti kwa nchi unawakomoa hao waliyoingia mikataba?"Wazee wa kazi" wangeanza kwanza kushughulikia waliongia hiyo mikataba ya hovyo kama walishindwa kabisa kuzuia hiyo mikataba kuridhiwa kwa kuanzia.
Kwahiyo usaliti kwa nchi unawakomoa hao waliyoingia mikataba?
🖕🏿Ushauri wake ungekuwa unaleta maendeleo chadema ungeshapata maendeleo. Kwa vile ushauri wake ni wa kikuwadi ndo maana chama lake la hovyo hadi leo.