Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe huwa mnamkiri kuwa JPM ni Amiri Jeshi Mkuu?Magufuli mwenyewe ni mfano halisi. Jogoo hoyee.
Sijasikia akisema atawafanyia nini watanzania. Lissu sio mtu sahihi kupambana na Magufuli. Magufuli alihitaji mtu kama lowassa wa 2015.
Corona ni tatizo la dunia nzima, tuna haki ya kujipongeza kwa namna tulivyopambana nalo na tumelishinda, ndio maana hata lisu anatembea bila barakoa, wala social distance, wanaume tushafanya kazi, japokua bado aridhiki anatoka nje anasema tanzania kuna corona.Nanyi wimbo wa corona hauwaishi vinywani mwenu
Mtafutieni huyo mtu msaada no one is plotting anything against him.Sio kweli. Hizo ni hisia zako tu. Wewe ni mdada? 🤣 🤣
Anajidanganya kuna taifa kubwa jana USA au China au Rassia? China na Russia sitii neno. Lakini USA balozi wake juzi kati akibidhi hati zake za utambulisho ikulu ya magogoni. Kwanza katia barakoa mfukoni khalafu kasema wao USA wabaamini Tanzania ni nchi ya kedomokrasia Afrika Mashariki.
Ndio USA walivyo maslahi ya nchi yao kwanza, na they (USA) never bet on a losing horse.
Ili mumzuie kuwa kafanya kampeni kabla ya wakati?Sijasikia akisema atawafanyia nini watanzania. Lissu sio mtu sahihi kupambana na Magufuli. Magufuli alihitaji mtu kama lowassa wa 2015.
Kweli ubongo umehifadhi kamasi badala ya akili.Corona ni tatizo la dunia nzima, tuna haki ya kujipongeza kwa namna tulivyopambana nalo na tumelishinda, ndio maana hata lisu anatembea bila barakoa, wala social distance, wanaume tushafanya kazi, japokua bado aridhiki anatoka nje anasema tanzania kuna corona.
Zile risasi 16 zilikua zinatafuta nn? We ndo unaweza usijue mziki wa lissu ila mgombea wenu anajua mziki wake si wa kitotoUuawe kwa kipi ulichonacho
Nani kanyimwa kuchukua form mpaka sasa, uwezi kushutumu watu kwa makosa ambayo hayapo...kwanini IGP hawaonyi wakurugenzi wanaoharibu mchakato wa uchaguzi?
..tukiwa na wakurugenzi wanaotekeleza majukumu ya kwa HAKI hatutakuwa na wanasiasa wanaolalamika kama TL.
..TL ni matokeo tu ya tatizo, tushughulike na CHANZO ambacho ni tume ya uchaguzi isiyotenda haki.
Post yako ina hormones nyingi za kike.Mtafutieni huyo mtu msaada no one is plotting anything against him.
Hilo la udada we all know mimi na wewe nani mwenye chuchu kifuani 😁 usilete utemi wa kutoa ban tu maana wewe mwenyewe ndio unachokoza wachangiaji.
Sijitambui mimi? Wewe ndio hujitambui, unasubiria kuambiwa kuingia barabarani hata mkishindwa uchaguzi, wakati yeye atakua kwake amelala na mkewe.Hujitambui
Si unaona sasa unavyofoka mkiguswa.Post yako ina hormones nyingi za kike.
Halafu kuwa makini mimi sio admin wa jf. Mbwa wewe.
Uwezo wako wa kufikiri ushafika kikomoKweli ubongo umehifadhi kamasi badala ya akili.
Mlipopiga risasi alikuwa na kipi? Sijui kwanini mna mifuvu isiyotafakariUuawe kwa kipi ulichonacho
Sijitambui mimi? Wewe ndio hujitambui, unasubiria kuambiwa kuingia barabarani hata mkishindwa uchaguzi, wakati yeye atakua kwake amelala na mkewe.
Nani kanyimwa kuchukua form mpaka sasa, uwezi kushutumu watu kwa makosa ambayo hayapo.
Kampeni bado mkuuSijasikia akisema atawafanyia nini watanzania. Lissu sio mtu sahihi kupambana na Magufuli. Magufuli alihitaji mtu kama lowassa wa 2015.
Inasikitisha..upo uzoefu wa wapinzani kunyimwa fomu, kwa mfano uchaguzi wa serikali za mitaa.
..sasa IGP alitakiwa ajitokeze na kutoa ONYO kwamba asitokee mtumishi yeyote wa tume atakayepoka haki za wapinzani.
..IGP ni wa waTz wote, lakini kinachonishangaza sijawahi kumsikia hata siku moja akiwatetea wapinzani.