archive XLisu naweweseka sana, amepania sana kuwa rais , hata kwa damu za watanzania lazima hawe rais, yupo tayari kuongea lolote lile hili international media zimpe attention achafue nchi mataifa makubwa yamsaidie kumkabidhi nchi. He will never archive that...
Lessons are learned through previous elections...upo uzoefu wa wapinzani kunyimwa fomu, kwa mfano uchaguzi wa serikali za mitaa.
..sasa IGP alitakiwa ajitokeze na kutoa ONYO kwamba asitokee mtumishi yeyote wa tume atakayepoka haki za wapinzani.
..IGP ni wa waTz wote, lakini kinachonishangaza sijawahi kumsikia hata siku moja akiwatetea wapinzani.
..kwa hiyo Jpm anaungwa mkono na MABEBERU?
..basi msitusumbue na makelele kwamba kuna hujuma za mabeberu.
Halafu vitisho amevipata kutoka kwa wafuasi wake walikuwa wanamjenga kuchukua tahadhari.Lisu naweweseka sana, amepania sana kuwa rais , hata kwa damu za watanzania lazima hawe rais, yupo tayari kuongea lolote lile hili international media zimpe attention achafue nchi mataifa makubwa yamsaidie kumkabidhi nchi. He will never archive that...
Mabeburu kishingo upande wamekubali yaishe, wanaona mipango na mikakati yao ya kifedhuli imestukiwa na hakika imegonga ukuta. Wakawa waungwana kama huwezi shindana naye basi ungana naye. Sina hakika kama kuungana ni kuungwa mkono, hilo na kuachia wewe.
Ni jukumu la jeshi la polisi kulinda RAIA na mali zao haijalishi unalipinga au la! Haf unaposema amfuate Sirro wayamalize kwan wana ugomvi gani na Sirro?Hivi vitisho anavyovipata apeleke polisi na kama yeye sio mkosaji amfuate afande sillo wayamalize
Ila anaomba wamlinde huku anawachamba kweli kazi ipo
Lessons are learned through previous elections.
Ni kwa sababu hizo zilizopita wakurugenzi wamepewa onyo kwenye semina zao za uchaguzi yasisike malalamiko ya mtu kukosa form kisa wao hawapo.
Wanatapatapa hao madhwalimu songa mbele vitisho havitawasaidia wamechelewaSAFARINI: TABORA, SHINYANGA, GEITA, SIMIYU, MWANZA, MARA na KAGERA
Ameyasema haya akizungumza na wafuasi, wapenzi na wanachama wa CHADEMA wa majimbo ya uchaguzi ya Igunga na Manonga yaliyo ndani ya wilaya ya Igunga mkoa wa Tabora akiwa katika safari ya kutafuta wadhamini wa ugombea wake wa Urais. Tazama na sikiliza video hii 👇 👇
View attachment 1534109
Aidha amewataka wanachama, wafuasi na wapenzi wa CHADEMA kuhakikisha kuwa wanawasindikiza wagombea wao wa Udiwani na Ubunge wanapokwenda kuchukua fomu za kuomba uteuzi ktk ofisi za DEDs ama TCDs ama CCDs ama WEOs ambao ndiyo wanaoratibu mchakato wa uchaguzi kwa niaba ya Tume ya Uchaguzi wa Taifa (NEC) katika ngazi ya Jimbo na Kata...
Vivyo hivyo, ametumia nafasi hiyo kuwahimiza wagombea wote kuwa waangalifu ña makini sana wanapojaza fomu hizo ili wasije wakaingia ktk mitego midogo midogo ya kufanya makosa ktk ujazaji na kuwapa washindani wao mwanya wa kuwawekea mapingamizi na kujikuta ya uchaguzi wa serikàli za mitaa mwaka 2019 yanajirudia
View attachment 1534119
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hate it, lakini huo ndio ukweli hakuna kiongozi hata mmoja atakayeingia na nyie barabarani, hasa huyo lisu.You deserve to be taken to hell ! Hopeless kabisa wewe nyau
Na nyie mnalalamika tu Lissu akiongea mnalalamika hamtaki aongee??Wapinzani punguzeni lawama,mara nyingi lawama ni ishara ya kushindwa
AminaAllah ampe lisu afya njema na maisha marefu.
Kwani mlipompiga risasi ziliwaingia na wanaompenda? Au lisu tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hate it, lakini huo ndio ukweli hakuna kiongozi hata mmoja atakayeingia na nyie barabarani, hasa huyo lisu.
Amekula risasi 16 kwa niaba ya Watz! Tuseme kila risasi moja kwa ajili ya Watanzania M1! Kama kuna mtu mwingine mwenye huo ubavu, atapata kura yangu! Pia, Mtu yeyote akifanya chochote kama hayo unauotaka Lisu afanye, siyo favor kwa Watanzania, ni wajibu wake, na pia ni pesa zetu!Sijasikia akisema atawafanyia nini watanzania. Lissu sio mtu sahihi kupambana na Magufuli. Magufuli alihitaji mtu kama lowassa wa 2015.
Hivi ata unasikiliza speech zake yeye anataka umati wote kwenye ukumbi alimokua anaongea kesho wamsindikize mgombea wao kuchukua form na wakizinguliwa wakinukushe hapohapo.
Wakati NEC washatoa maagizo hakuna kufunga ofisi wala kwenda vikao kila mtu apewe form.
Ndio ilani yenu hiyo, risasi 16, pajani, mkononi, kwenye ubongo bado haijatolewa.Kwani mlipompiga risasi ziliwaingia na wanaompenda? Au lisu tu.