Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nimepokea vitisho vya kuuawa. Wanachama wawasindikize wagombea Ubunge na Udiwani kuchukua fomu NEC

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nimepokea vitisho vya kuuawa. Wanachama wawasindikize wagombea Ubunge na Udiwani kuchukua fomu NEC

Lisu naweweseka sana, amepania sana kuwa rais , hata kwa damu za watanzania lazima hawe rais, yupo tayari kuongea lolote lile hili international media zimpe attention achafue nchi mataifa makubwa yamsaidie kumkabidhi nchi. He will never archive that...
archive X

Achieve[emoji106]
 
..upo uzoefu wa wapinzani kunyimwa fomu, kwa mfano uchaguzi wa serikali za mitaa.

..sasa IGP alitakiwa ajitokeze na kutoa ONYO kwamba asitokee mtumishi yeyote wa tume atakayepoka haki za wapinzani.

..IGP ni wa waTz wote, lakini kinachonishangaza sijawahi kumsikia hata siku moja akiwatetea wapinzani.
Lessons are learned through previous elections.

Ni kwa sababu hizo zilizopita wakurugenzi wamepewa onyo kwenye semina zao za uchaguzi yasisike malalamiko ya mtu kukosa form kisa wao hawapo.
 
..kwa hiyo Jpm anaungwa mkono na MABEBERU?

..basi msitusumbue na makelele kwamba kuna hujuma za mabeberu.

Mabeburu kishingo upande wamekubali yaishe, wanaona mipango na mikakati yao ya kifedhuli imestukiwa na hakika imegonga ukuta. Wakawa waungwana kama huwezi shindana naye basi ungana naye. Sina hakika kama kuungana ni kuungwa mkono, hilo na kuachia wewe.
 
Lisu naweweseka sana, amepania sana kuwa rais , hata kwa damu za watanzania lazima hawe rais, yupo tayari kuongea lolote lile hili international media zimpe attention achafue nchi mataifa makubwa yamsaidie kumkabidhi nchi. He will never archive that...
Halafu vitisho amevipata kutoka kwa wafuasi wake walikuwa wanamjenga kuchukua tahadhari.
 
Mabeburu kishingo upande wamekubali yaishe, wanaona mipango na mikakati yao ya kifedhuli imestukiwa na hakika imegonga ukuta. Wakawa waungwana kama huwezi shindana naye basi ungana naye. Sina hakika kama kuungana ni kuungwa mkono, hilo na kuachia wewe.

..ook.

..kwa hiyo sasa Jpm na CCM wameungana na mabeberu.

..Je, nchi itakuwa salama kweli?
 
Hivi vitisho anavyovipata apeleke polisi na kama yeye sio mkosaji amfuate afande sillo wayamalize
Ila anaomba wamlinde huku anawachamba kweli kazi ipo
Ni jukumu la jeshi la polisi kulinda RAIA na mali zao haijalishi unalipinga au la! Haf unaposema amfuate Sirro wayamalize kwan wana ugomvi gani na Sirro?
 
Lessons are learned through previous elections.

Ni kwa sababu hizo zilizopita wakurugenzi wamepewa onyo kwenye semina zao za uchaguzi yasisike malalamiko ya mtu kukosa form kisa wao hawapo.

..nimeuliza ni lini ulimsikia IGP akiwatetea wapinzani?

..kwanini kila siku anawatishia-tishia?

..kwanini hakai nao kikao hata mara moja kuwasikiliza matatizo yao?

..tunajenga mazingira yasiyo ya haki na usawa.
 
SAFARINI: TABORA, SHINYANGA, GEITA, SIMIYU, MWANZA, MARA na KAGERA

Ameyasema haya akizungumza na wafuasi, wapenzi na wanachama wa CHADEMA wa majimbo ya uchaguzi ya Igunga na Manonga yaliyo ndani ya wilaya ya Igunga mkoa wa Tabora akiwa katika safari ya kutafuta wadhamini wa ugombea wake wa Urais. Tazama na sikiliza video hii 👇 👇
View attachment 1534109

Aidha amewataka wanachama, wafuasi na wapenzi wa CHADEMA kuhakikisha kuwa wanawasindikiza wagombea wao wa Udiwani na Ubunge wanapokwenda kuchukua fomu za kuomba uteuzi ktk ofisi za DEDs ama TCDs ama CCDs ama WEOs ambao ndiyo wanaoratibu mchakato wa uchaguzi kwa niaba ya Tume ya Uchaguzi wa Taifa (NEC) katika ngazi ya Jimbo na Kata...

Vivyo hivyo, ametumia nafasi hiyo kuwahimiza wagombea wote kuwa waangalifu ña makini sana wanapojaza fomu hizo ili wasije wakaingia ktk mitego midogo midogo ya kufanya makosa ktk ujazaji na kuwapa washindani wao mwanya wa kuwawekea mapingamizi na kujikuta ya uchaguzi wa serikàli za mitaa mwaka 2019 yanajirudia
View attachment 1534119
Wanatapatapa hao madhwalimu songa mbele vitisho havitawasaidia wamechelewa
 
You deserve to be taken to hell ! Hopeless kabisa wewe nyau
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hate it, lakini huo ndio ukweli hakuna kiongozi hata mmoja atakayeingia na nyie barabarani, hasa huyo lisu.
 
Lissu anaamsha hari( morale) ya hasira, chuki na maumivu ya watu ndio maana nasema “ Anafaa kua kiongozi wa kikundi cha kigaidi , rebel group au Panya road hafai kua rais wa nchi ni mwana-harakati sio Rais”
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hate it, lakini huo ndio ukweli hakuna kiongozi hata mmoja atakayeingia na nyie barabarani, hasa huyo lisu.
Kwani mlipompiga risasi ziliwaingia na wanaompenda? Au lisu tu.
 
Sijasikia akisema atawafanyia nini watanzania. Lissu sio mtu sahihi kupambana na Magufuli. Magufuli alihitaji mtu kama lowassa wa 2015.
Amekula risasi 16 kwa niaba ya Watz! Tuseme kila risasi moja kwa ajili ya Watanzania M1! Kama kuna mtu mwingine mwenye huo ubavu, atapata kura yangu! Pia, Mtu yeyote akifanya chochote kama hayo unauotaka Lisu afanye, siyo favor kwa Watanzania, ni wajibu wake, na pia ni pesa zetu!
 
Anacho nifurahisha Lisu ni namna anavyo wa adress hao anao wataja kwa majina yao
Hana kona kona
 
Hivi ata unasikiliza speech zake yeye anataka umati wote kwenye ukumbi alimokua anaongea kesho wamsindikize mgombea wao kuchukua form na wakizinguliwa wakinukushe hapohapo.

Wakati NEC washatoa maagizo hakuna kufunga ofisi wala kwenda vikao kila mtu apewe form.

Tume ndio wajilaumu kwa kutufikisha hapa. Isingekuwa tume inatumikia siasa chafu ungeona wapi watu wakihamasishwa hali hiyo? Uzuri ni kuwa kama hakuna tatizo hakuna anayeweza kufanya fujo. Kama hakuna nia ovi wasi wasi wako uko wapi? The guilty are always afraid.
 
Jamani naona wanatutafuta Watanzania. Hatutaki kusikia Lissu anaguswa jamani.

Na hivi sasa Lissu tunakuomba ujichunge mno. Kama unavyosema sasa hatuko kwenye mazingira ya kawaida, ni kweli kabisa. Usichukulie vitisho hivi poa. Kuweka wazi uovu wao tu haitoshi. Ikiwezekana avoid kabisa watu mpaka wakati wa kampeni. Na barabarani muwe makini mno, wasije wakakusababishia ajali bure huko barabarani. Hawachelewi hawa. Tunakutegemea mno baba utukomboe.
 
Back
Top Bottom