Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nimepokea vitisho vya kuuawa. Wanachama wawasindikize wagombea Ubunge na Udiwani kuchukua fomu NEC

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nimepokea vitisho vya kuuawa. Wanachama wawasindikize wagombea Ubunge na Udiwani kuchukua fomu NEC

Nadhani una maana ya "anahamasisha watu wajunje sheria", au siyo?

Bado swali liko palepale, HOW?

Labda kiingereza kinaweza kukupa shida, ngoja niseme kwa kiswahili;

Ni kwa vipi amehamasisha watu kuvunja sheria hapo?
Nadhani una maana " anahamasisha watu wavunje sheria" au siyo.
 
Aliyeleta kiungo tumbo ametuweza Sana unauwa mwenzako sababu ya tumbo lako.
 
Mwalimu Nyerere hakukosea kamwe kumuita Nduli Idd Amin MSHENZI na MWENDAWAZIMU, duniani kote ma Dikteta kama JPM wana akili za hovyo sana.
Wenzetu huwa awaokotezi viongozi bila kuangalia malezi ya utotoni
 
Magufuli anaondoka kwa Hali hii atake asitake. Kuanza huenda vurugu zikaibuka kabla ya uchaguzi. Ofisi za serikali huenda zikaharibiwa kwa njia yoyote ile ikiwa watu watawakimbia wagombea wa upinzani. Hicho ndicho kinatafutwa nasikia Marekani na Uingereza wamejiweka tayari. Tusali Sana wa Tanzania. Pia Membe kasema chochote chaweza kutokea kabla ya October 2020, anajua wamepanga nini.
wewe umesikia wapi....
 
Aliyemuokoa dodoma ndie atakaemuokoa Tena, kifo ni sehemu ya maisha Ni heri kufa kwenye haki kuliko kwenye dhambi
 
Aliyemuokoa dodoma ndie atakaemuokoa Tena, kifo ni sehemu ya maisha Ni heri kufa kwenye haki kuliko kwenye dhambi
 
Kiswahili chako kinakwaruza.
Lisu naweweseka sana, amepania sana kuwa rais , hata kwa damu za watanzania lazima hawe rais, yupo tayari kuongea lolote lile hili international media zimpe attention achafue nchi mataifa makubwa yamsaidie kumkabidhi nchi. He will never archive that...
 
Lisu naweweseka sana, amepania sana kuwa rais , hata kwa damu za watanzania lazima hawe rais, yupo tayari kuongea lolote lile hili international media zimpe attention achafue nchi mataifa makubwa yamsaidie kumkabidhi nchi. He will never archive that...
Huyu atakachoambulia ni pole nyingi kuliko idadi ya kura.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Sijasikia akisema atawafanyia nini watanzania. Lissu sio mtu sahihi kupambana na Magufuli. Magufuli alihitaji mtu kama lowassa wa 2015.
Muda wa Kampeni haujafika ndio maana anaongelea yaliyo msibu tu, muda ukifikaatafanyahivyo
 
Hilo gia la vitisho ushafanya mtaji wabkisiasa
Wanatakiwa kulifanyia kazi ikiwa ni pamoja na kumhoji na kuchukua ushahidi wa kile anacho kisema, mbona wakina Lijualikali walipo mtuhumu mwenyekiti kuhusu matumizi mabaya ya ruzuku, Takukuru iliingilia kati na kuhoji!?
 
Awamu hii kwa utekaji ,upotwzaji watu na uuaji vimeshamiri Sana tahadhari kuchukua Ni muhimu Sana ,Azory ,Saanane ,Kanguye Mpaka leo ?Halafu majitu humu yanabeza wanstoa taarifa za tahadhari.
 
Back
Top Bottom