Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Nisichoelewa wanaopanik ni CCM. Ndiyo sielewi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namsikiliza, Lissu anadhani huwa natania. Ole wake aonje sumu.Mbowe nina uhakika unasikiliza
Atashindwa na nani?Alikuwa anatafuta exit door, na kishaipata.
Kitakachotokea ni kwamba;
Atashindwa kwenye uchaguzi kihalali kabisa.
Ataondoka Chadema kwa kulalamika kuwa amefanyiwa fitina kwenye uchaguzi.
Ataenda CCM, lakini huko hatafanikiwa, kwa kuwa ana kiburi na hana unyenyekevu.
CCM haiwezi kuvumilia watu sampuli yake.
Je, kweli kigezo cha kuuliwa ni uwezo wa Mtu?Mpka jiwe akajaribu kutakakumuua kisa uwezo wake.
Hana mpango wa kungombea.Namsikiliza, Lissu anadhani huwa natania. Ole wake aonje sumu.
Tunamwogopa Lissu, akiwa mwenyekiti ataifuta CCM.Nisichoelewa wanaopanik ni CCM. Ndiyo sielewi.
Angalia mnachojadiliana.Je, kweli kigezo cha kuuliwa ni uwezo wa Mtu?
Eti eenh.Tunamwogopa Lissu, akiwa mwenyekiti ataifuta CCM.
Notification..Angalia mnachojadiliana.
Tundu Antipas Lisu umaarufu aliupatia migodini akiwa mwanaharakati wa Mazingira
Kwani Mbowe ndiyo anamamlaka ya kuchagua Nani atamwachia Madaraka?MBOWE AMWACHIE LISU . TABIA YA KULAZIMISHA ITAMVUNJIA HESHIMA . WAZUNGUMZE WAACHIANE NAFASI KWA AMANI. HAPA ILIPOFIKA KUPAMBANA HAKUMSAIDII MBOWE. CHAMA KIPO ICU KINAHITAJI MABADILIKO ILA SIO LISU. MBOWE ATAZAME MTU SAHIHI
Mbowe msimuingize kwenye majadiliano yenu.Mbona una makasiriko sana na issue ya Lissu kutaka kugombea uenyekiti?
Kuna tàtizo gani na huo wadhifa wa Mbowe?
Kwa taarifa Yako kule ndio alikuwa maarufu Kuliko Chadema 😄Huko alianza kujulikana. Umaarufu kaupatia Chadema.