Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Mbowe amemuomba agombeeDuuuh siasa kweli nyoko
Huyu jamaa si juzi hapo alinukuliwa akisema hayupo tayari kuwania hiyo nafasi ya uwenyekiti?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe amemuomba agombeeDuuuh siasa kweli nyoko
Huyu jamaa si juzi hapo alinukuliwa akisema hayupo tayari kuwania hiyo nafasi ya uwenyekiti?
Amefafanua vizuri tuDuuuh siasa kweli nyoko
Huyu jamaa si juzi hapo alinukuliwa akisema hayupo tayari kuwania hiyo nafasi ya uwenyekiti?
Unajielewa mkuuNatangaza rasmi kumuunga mkono Tundu Lissu maana hakuna anachoogopa kwa sasa! Siasa za CCM ya leo siyo za kuchekeana tena
Mzungu wa roholissu anaongea vyema sana
Wakuu,
Siku ya leo Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu atakuwa ananguruma wakati anazungumza na vyombo vya habari
Fuatilia uzi huu kujua nini kinaendelea kwenye mkutano huo.
- Katika mkutano huo uliofanyika Mlimani City, Tundu Lissu amedokeza kuwa anagombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ambayo kwa sasa inashikiliwa na Freeman Mobwe
- Lissu amesema kuwa tayari ameshawasilisha maombi yake ya kugombea nafasi ya Uenyekiti kwa viongozi wa juu wa CHADEMA
Akiongea na Waandishi wa Habari, Makamu wa Rais wa CHADEMA Bara, Tundu Lissu, amesema anaaamini na Wanachama wengine wanaamini kuwa ana sifa zote za Kugombea nafasi ya juu kabisa ya Uongozi wa Chama hicho kwa ngazi ya Taifa, kama zilivyoanishwa katika Katiba ya Chama.
Lissu amesema amewasilisha taarifa rasmi kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA ya kuondoa kusudio lake la kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti (Tanganyika) na badala yake amewasilisha kusudio la Kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Chama taifa katika Uchaguzi Mkuu wa Chama ujao.
Mbinu za kivita mkuu, huyu bila shaka Mbowe ame mwe endorseDuuuh siasa kweli nyoko
Huyu jamaa si juzi hapo alinukuliwa akisema hayupo tayari kuwania hiyo nafasi ya uwenyekiti?
HakikaLissu ana vision tungekuwa na raia makini alitakiwa kuwa Rais
Kama ipo hivi basi imekaa vyema sanaMbowe amemuomba agombee
Wakuu,
Siku ya leo Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu atakuwa ananguruma wakati anazungumza na vyombo vya habari
Fuatilia uzi huu kujua nini kinaendelea kwenye mkutano huo.
- Katika mkutano huo uliofanyika Mlimani City, Tundu Lissu amedokeza kuwa anagombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ambayo kwa sasa inashikiliwa na Freeman Mobwe
- Lissu amesema kuwa tayari ameshawasilisha maombi yake ya kugombea nafasi ya Uenyekiti kwa viongozi wa juu wa CHADEMA
Akiongea na Waandishi wa Habari, Makamu wa Rais wa CHADEMA Bara, Tundu Lissu, amesema anaaamini na Wanachama wengine wanaamini kuwa ana sifa zote za Kugombea nafasi ya juu kabisa ya Uongozi wa Chama hicho kwa ngazi ya Taifa, kama zilivyoanishwa katika Katiba ya Chama.
Lissu amesema amewasilisha taarifa rasmi kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA ya kuondoa kusudio lake la kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti (Tanganyika) na badala yake amewasilisha kusudio la Kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Chama taifa katika Uchaguzi Mkuu wa Chama ujao.
Darasa lipi ulisoma na lissu wewe burullaTrivial issues hizi.
Sawa.
Dakika za mwisho ni lini
Hapana mkuu. Huyu labda awe waziri mkuu. Watu wenye hulka yake hawafai kuwa wa mwisho katika maamuzi. Watu kama hawa wanafaa kuwa kama sokoine, anakuwa waziri mkuu halafu raisi anasapoti afanyayo ila inapotokea jambo lisilohitaji hulka ya watu aina yake basi anakuwepo wa kummpunguza mwendo.Lissu ana vision tungekuwa na raia makini alitakiwa kuwa Rais
Unaumwa wewe usidhani kila mtu ana akili za kimasikini kama zako. Eti utawala unaamua watu waamke saa ngapi kwa akili hizi Tanzania ina safari ndefu sana.Utawala ndio unaamua hata ww uamke saa ngapi au ununue bidhaa flan Kwa sh ngapi
So huo huo utawala hauwezi kuruhusu lisu awe mwenyekiti because Kwa tabia la lissu then vurugu zitakuwa kila siku, maandamano yatakuwa kila siku
Ndio nasikiliza hapaAmefafanua vizuri tu