magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Nakubali Boboza.Tumemchoka. Kwanza hana akili kabisa. Darasani nilikuwa nambuluza O level and A level. Kilaza haswaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubali Boboza.Tumemchoka. Kwanza hana akili kabisa. Darasani nilikuwa nambuluza O level and A level. Kilaza haswaaa
Kugombea uongozi wa Juu Kabisa wa Chamasasa ni RASMI
Sasa una akili gn mbona huwa unanipa Ile mboga niishughulikie?Tumemchoka. Kwanza hana akili kabisa. Darasani nilikuwa nambuluza O level and A level. Kilaza haswaaa
naam naamKugombea uongozi wa Juu Kabisa wa Chama
Ukumbi umezizima.Kugombea uongozi wa Juu Kabisa wa Chama
Anasema kabadili gia angani, alishawasilisha fomu ya makamunaam naam
ItakuwaUkumbi umezizima.
Bila shaka Mbowe amemu endorse huyu mwamba
Wakuu,
Siku ya leo Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu atakuwa ananguruma wakati anazungumza na vyombo vya habari
Fuatilia uzi huu kujua nini kinaendelea kwenye mkutano huo.
Natangaza rasmi kumuunga mkono Tundu Lissu maana hakuna anachoogopa kwa sasa! Siasa za CCM ya leo siyo za kuchekeana tenaTunahitaji serious internal reforms kwenye upinzani kabla hujafikiri kupambana na CCM. Kwasasa upinzani umegeuka mchongo wa siasa za kitapeli. Mimi nitasimama na wale walio serious kuindoa CCM madarakani.
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
@ChademaTz
Bara Tundu Lissu
@TunduALissu
ametangaza nia ya kugombea uenyekiti wa CHADEMA Taifa, nafasi ambayo kwa sasa inashikiliwa na Freeman Mbowe
@freemanmbowetz
.Lissu ametoa rasmi tamko hilo, wakati akizungumza na wanahabari siku ya Alhamisi Desemba 12, 2024 Mlimani City mkoani Dar es Salaam.