Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Yeye ndiyo alifutikaWamuulize yule shetani mnywa damu za watu aliyesema kufikia 2020 atakuwa ameifuta chadema kama yupo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye ndiyo alifutikaWamuulize yule shetani mnywa damu za watu aliyesema kufikia 2020 atakuwa ameifuta chadema kama yupo.
Hatari snHiki ni Chama cha Demokrasia. Unawashwaje na Lissu kugombea uwenyekiti?
mafanikio sio makaratasiTumemchoka. Kwanza hana akili kabisa. Darasani nilikuwa nambuluza O level and A level. Kilaza haswaaa
Ana M.A in economicsMbona ccm mnaongozwa na mtu wa certificate na bado mnatuambia anaupiga mwingi huku lichama lake limejifia bila polisi.
Ila kwa hiki nachokiona hapa kutoka kwenye kanda, Mbowe afanye tafiti haraka kuona kama apumzike au agombeeHatari sn
Lazima intelijensia ya chama itafanya kazi akeIla kwa hiki nachokiona hapa kutoka kwenye kanda, Mbowe afanye tafiti haraka kuona kama apumzike au agombee
Ukilaza wa mtu unaupima kwenye nini? Hivi mtu mwenye PhD ya Sheria akibaka. Atakuwa Kilaza au Inakuwaje?Aliogopa the unknown tu. Lakini lisu kilaza haswaa mi ndo namjua mana nimesima nae
Kwani kwa sasa CDM ina nini? CCM imeshinda kwa 99%.CCM wanatamani sn CDM ife
Kwa sasa CDM imebaki na 0.002% kutoka kwenye 25% mwaka 2015 huoni kwamba imefutika au uelewa wako ni wakinyumbu mkuu?Yeye ndiyo alifutika
Pia ana PhD nyingi sanaAna M.A in economics
Wewe UWT utaelewa nini?Kwani kwa sasa CDM ina nini? CCM imeshinda kwa 99%.
Sasa wewe nyumbu wa huko nronga unajua nini zaidi ya ushabiki wa kindezi!!?Wewe UWT utaelewa nini?
Dada angu haya mambo ni makubwa sn kwakoSasa wewe nyumbu wa huko nronga unajua nini zaidi ya ushabiki wa kindezi!!?
Imeshindaje?Kwani kwa sasa CDM ina nini? CCM imeshinda kwa 99%.
Unajua tatizo la mashoga duniani wanafikiri watu wote duniani ni wanawake hivyo sikushangai wewe shoga!Dada angu haya mambo ni makubwa sn kwako
Wewe genius hata upo wapi hujulikani huna faida yeyote nchini. Zaidi una stress na chuki na ujinga.Tumemchoka. Kwanza hana akili kabisa. Darasani nilikuwa nambuluza O level and A level. Kilaza haswaaa
Imeshindaje kivipi? Kwani hujasikia matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa?Imeshindaje?
🙄🙄🙄Mbona wanaohojiwa ni kama wamepanga MAPINDUZI
Aanze na Uenyekiti wa CDM , raia wameshapoteza Imani na mwenyekiti aliyepoLissu anatangaza leo kuwania Urais 2025 kwa ticket ya CDM. Sisi watanzania wote tupo pamoja naye lakini tuhakikishe Tume huru ipo huru na sheria kandamizi zotre zitolewe!!
Pamoja sana - wakati wa mabadiliko ni sasa.