johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwamba kwenda ACT Wazalendo kwa Mfano halitakuwa ni jambo jipya 🐼Kwani nani amesema kaanzia siasa Chadema mbona unajitekenye mwenyewe na kuanza kukenua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba kwenda ACT Wazalendo kwa Mfano halitakuwa ni jambo jipya 🐼Kwani nani amesema kaanzia siasa Chadema mbona unajitekenye mwenyewe na kuanza kukenua
NCCR mageuzi 😀arudi aliko anzia tumemchoka
Mbona huna mchango wowote wana maana kwa taifa?Muulize yeye mwenye myu anayeitwa Juma. Ananijua sana mana nilikuwa namburuza
Mchango ninao mkubwa sana. Mi ndo nilikiwa chief engineer wakati wa ujenzi wa SONGAS na sasa mi ndo chief engineer upanuzi wa bandari ya Dar es salaam. Panua ubongo uniulizie mana nimekupa jinaMbona huna mchango wowote wana maana kwa taifa?
Mpka jiwe akajaribu kutakakumuua kisa uwezo wake.Tumemchoka. Kwanza hana akili kabisa. Darasani nilikuwa nambuluza O level and A level. Kilaza haswaaa
Aliogopa the unknown tu. Lakini lisu kilaza haswaa mi ndo namjua mana nimesima naeMpka jiwe akajaribu kutakakumuua kisa uwezo wake.
Ccm ya mahawala ya pididy mwanaume ahamie.anajitoa chadema anahamia ccm
Msigwa aliyebamizwa na sugu kule nyasa ndio wa kumlinganisha na mwanaume wa shoka.Mimi na Wewe anayeteseka ni nani? 😂
Nimekumbusha tu hata Mchungaji Msigwa alianzaga na vipress hivi hivi
Acha ukabila wewe shetaniChama kinaenda kukombolewa mikononi mwa wachaga kinakuwa na sura ya kitaifa.
CCM wanatamani sn CDM ifeMsigwa aliyebamizwa na sugu kule nyasa ndio wa kumlinganisha na mwanaume wa shoka.
YapLissu anatangaza leo kuwania Urais 2025 kwa ticket ya CDM. Sisi watanzania wote tupo pamoja naye lakini tuhakikishe Tume huru ipo huru na sheria kandamizi zotre zitolewe!!
Pamoja sana - wakati wa mabadiliko ni sasa.
Mbona ccm mnaongozwa na mtu wa certificate na bado mnatuambia anaupiga mwingi huku lichama lake limejifia bila polisi.Tumemchoka. Kwanza hana akili kabisa. Darasani nilikuwa nambuluza O level and A level. Kilaza haswaaa
Wamuulize yule shetani mnywa damu za watu aliyesema kufikia 2020 atakuwa ameifuta chadema kama yupo.CCM wanatamani sn CDM ife
Kumbe Samia ana certificateMbona ccm mnaongozwa na mtu wa certificate na bado mnatuambia anaupiga mwingi huku lichama lake limejifia bila polisi.