Pre GE2025 Tundu Lissu: Nimewasilisha kusudio la kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA

Pre GE2025 Tundu Lissu: Nimewasilisha kusudio la kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mchango ninao mkubwa sana. Mi ndo nilikiwa chief engineer wakati wa ujenzi wa SONGAS na sasa mi ndo chief engineer upanuzi wa bandari ya Dar es salaam. Panua ubongo uniulizie mana nimekupa jina
Wewe utakua mwanya mtandao wa Nyash. Pole anakuja kukupapasa Nyash
 
Tumemchoka. Kwanza hana akili kabisa. Darasani nilikuwa nambuluza O level and A level. Kilaza haswaaa
Unaweza kumburuza mtu darasani lakini huna akili. Kwa sababu maswali mengi hzo yalibezi kukariri. So unaweza kuwa unakariri tu lkn una mismatch kati ya ulichokariri na maisha halisi
 
Back
Top Bottom