Pre GE2025 Tundu Lissu: Ninakiri juu ya Dhambi ya kumleta Lowassa CHADEMA. Watanzania tumekusamehe, ubarikiwe

Pre GE2025 Tundu Lissu: Ninakiri juu ya Dhambi ya kumleta Lowassa CHADEMA. Watanzania tumekusamehe, ubarikiwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Hellow Tanganyika!!

Akihojiwa kuhusu ushirika wake kumleta chamani Lowwassa, amedai ,Yeye na Mnyika walipewa taarifa juu ya ujio wa Lowassa mwishoni kabisa, hivyo wasingekataa,

Alipoulizwa kwanini binafsi hakujiondoa kama Dr Slaa, amedai kuwa Dr Slaa alishiriki mchakato mzima wa kumleta Lowwassa mwanzo mwisho kama katibu mkuu,

Alipoulizwa kwanini hakuondoka CHADEMA, amedai kuwa Hiyo ni dhambi na kukiri dhambi ni jambo la kheri.

Nachukua fursa hii kumsamehe TUNDU Lissu, na rasmi nampa nafasi ya kuongoza chama na Nchi ikimpendeza Mungu maana ni mkweli.

Abarikiwe TUNDU Antipas Lissu.

Mungu ibariki CHADEMA.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA.

Karibuni 🙏

Source: Mdahalo wa wagombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa CHADEMA, star Tv.
 
Hellow Tanganyika!!

Akihojiwa kuhusu ushirika wake kumleta chamani Lowwassa, amedai ,Yeye na Mnyika waliopewa taarifa juu ya ujio wa Lowwassa mwishoni kabisa, hivyo wasingekataa,

Alipoulizwa kwanini binafsi hakujiondoa kama Dr Slaa, amedai kuwa Dr Slaa alishiriki mchakato mzima wa kumleta Lowwassa mwanzo mwisho kama katibu mkuu,

Alipoulizwa kwanini hakuondoka CDM, amedai kuwa Hiyo ni dhambi na kukiri dhambi ni jambo la kheri.

Nachukua fursa hii kumsamehe TUNDU Lissu, na rasmi nampa nafasi ya kuongoza chama na Nchi ikimpendeza Mungu maana ni mkweli.

Abarikiwe TUNDU Antipas Lissu.

Mungu ibariki CHADEMA.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA.

Karibuni 🙏

Source: Mdahalo wa wagombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa CHADEMA, star Tv.
Nje ya masa: Hivi ni kwa nini Mbowe hakutokea leo kwenye huu mdahalo wa leo?
 
Acha uchokozi wewe,

Amejibiwa kuwa wengine hula vichwa na miguu ya kuku sababu ya kuipenda tu, Si sababu ya umaskini
Ni jambo gn hilo Lissu hataki kuongea kisa sio mropokaji? Au n lile swala la mbowe kuhusika kwenye ile ishu ya Dodoma?
 
Back
Top Bottom