Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu mkweli hukiri kosa na kusamehewaHellow Tanganyika!!
Akihojiwa kuhusu ushirika wake kumleta chamani Lowwassa, amedai ,Yeye na Mnyika walipewa taarifa juu ya ujio wa Lowassa mwishoni kabisa, hivyo wasingekataa,
Alipoulizwa kwanini binafsi hakujiondoa kama Dr Slaa, amedai kuwa Dr Slaa alishiriki mchakato mzima wa kumleta Lowwassa mwanzo mwisho kama katibu mkuu,
Alipoulizwa kwanini hakuondoka CHADEMA, amedai kuwa Hiyo ni dhambi na kukiri dhambi ni jambo la kheri.
Nachukua fursa hii kumsamehe TUNDU Lissu, na rasmi nampa nafasi ya kuongoza chama na Nchi ikimpendeza Mungu maana ni mkweli.
Abarikiwe TUNDU Antipas Lissu.
Mungu ibariki CHADEMA.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA.
Karibuni 🙏
Source: Mdahalo wa wagombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa CHADEMA, star Tv.
Kiukweli sasa,Mtu mkweli hukiri kosa na kusamehewa
Ina maana mpaka aulizwe ndio akiri? Toka 2015 hakukiri tapeli mkubwa LisuNitajieni mwanasiasa mwingine ambaye amewahi kukiri makosa na kuomba radhi, sijui mtu anapata wapi nguvu ya kupingana na Lissu.
Amenyooka mno.
Mtu akishakiri kosa, hahesabiwi dhambi.Ina maana mpaka aulizwe ndio akiri? Toka 2015 hakukiri tapeli mkubwa Lisu
Asingeulizwa angeendelea kujifanya mtakatifu
Pumbavu zake vyama vya siasa ,serikali na mahakama havina diniMtu akishakiri kosa, hahesabiwi dhambi.
Tumemsamehe na tunamuunga mkono.
Mwache aendelee kupiga nyetoView attachment 3204801
FREE DR.SLAA
Ni kosa gani hilo lisilokuwa na DHAMANA?!Mwache aendelee kupiga nyeto
Mtajua hamjui, halafu kishakua kama maalim seif,udevu huu,akae hadi marchNi kosa gani hilo lisilokuwa na DHAMANA?!
Kama katibu mkuu ilikuwa BUSARA kumaliza mchakato ndipo ajiuzulu kama alivyofanya Dr Slaa.
Tundu Lissu hatanii eti...Lissu: Mimi Nina kabba, na friji LANGU linagandisha, Kuna mambo nikiyasema hapa, watu watakimbia Nchi.
Mimi siku Ile Mbowe alipopanda furahisha akiwa amelewa na kusema CCM hoyeee!!Tundu Lissu hatanii eti...
Bila shaka kuna mambo makubwa, ya ajabu na mabaya sana yanamwandama Mwenyekiti Freeman Mbowe...
Hii kauli ya "Kuna mambo nikisema hapa, watu watakimbiana mchana kweupe. Lakini kwa kuwa mimi Nina Koo na friji langu linagandisha siwezi kuyasema hapa" Inatoa ujumbe mkubwa sana...
Na pengine ndiyo maana watu wamejitokeza ghafla na kuamua kuwa "Sasa huyu Mwenyekiti ni lazima iwe basi, lazima atoke na kukiacha chama...!!"
Hellow Tanganyika!!
Akihojiwa kuhusu ushirika wake kumleta chamani Lowwassa, amedai ,Yeye na Mnyika walipewa taarifa juu ya ujio wa Lowassa mwishoni kabisa, hivyo wasingekataa,
Alipoulizwa kwanini binafsi hakujiondoa kama Dr Slaa, amedai kuwa Dr Slaa alishiriki mchakato mzima wa kumleta Lowwassa mwanzo mwisho kama katibu mkuu,
Alipoulizwa kwanini hakuondoka CHADEMA, amedai kuwa Hiyo ni dhambi na kukiri dhambi ni jambo la kheri.
Nachukua fursa hii kumsamehe TUNDU Lissu, na rasmi nampa nafasi ya kuongoza chama na Nchi ikimpendeza Mungu maana ni mkweli.
Abarikiwe TUNDU Antipas Lissu.
Mungu ibariki CHADEMA.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA.
Karibuni 🙏
Source: Mdahalo wa wagombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa CHADEMA, star Tv.
Ikiwa Lowwassa alikuja na pesa chafu, zikasaidia kupata ruzuku kubwa na wabunge wengi na kununua wapiga kura,Kama kuna Mwanachadema anakataa faida ya Lowassa kuja CDM 2015 huyo atakuwa Punguani.
Ujio wa ENL umekiongezee ruzukua CDM maradufu.
Umekiongezea wanachama na wabunge.
Kwahiyo ENL kuja CDM siyo dhambi , ni kama Lema na Msigwa walivyotoka TLP na kuja CDM au Lissu Kutoka NCCR kuja CDM an Dr Slaa kutoka CCM kuja CDM na kutoka CDM kwenda CCM.
Hii video clip akisema "CCM OYEEE" huko Mwanza hebu itafutwe popote ilipo tuwakumbushe Chawa wake ili waanze kumtetea na kujitetea haraka...Mimi siku Ile Mbowe alipopanda furahisha akiwa amelewa na kusema CCM hoyeee!!
Unajua bajeti ya Kugombea Urais au Ubunge ambayo msajili amepitisha?(Gharama za kampeni).Ikiwa Lowwassa alikuja na pesa chafu, zikasaidia kupata ruzuku kubwa na wabunge wengi na kununua wapiga kura,
Basi yote hayo ni ubatili.
Tugange yajayo.