imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Hunijibu swali langu umekalia mipasho.Mtajua hamjui, halafu kishakua kama maalim seif,udevu huu,akae hadi march
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hunijibu swali langu umekalia mipasho.Mtajua hamjui, halafu kishakua kama maalim seif,udevu huu,akae hadi march
Kupitisha budget ni jambo Moja, kupata pesa hiyo ni jambo lingine,Unajua bajeti ya Kugombea Urais au Ubunge ambayo msajili amepitisha?(Gharama za kampeni).
Una video ya Lisu kukiri kosa?Hellow Tanganyika!!
Akihojiwa kuhusu ushirika wake kumleta chamani Lowwassa, amedai ,Yeye na Mnyika walipewa taarifa juu ya ujio wa Lowassa mwishoni kabisa, hivyo wasingekataa,
Alipoulizwa kwanini binafsi hakujiondoa kama Dr Slaa, amedai kuwa Dr Slaa alishiriki mchakato mzima wa kumleta Lowwassa mwanzo mwisho kama katibu mkuu,
Alipoulizwa kwanini hakuondoka CHADEMA, amedai kuwa Hiyo ni dhambi na kukiri dhambi ni jambo la kheri.
Nachukua fursa hii kumsamehe TUNDU Lissu, na rasmi nampa nafasi ya kuongoza chama na Nchi ikimpendeza Mungu maana ni mkweli.
Abarikiwe TUNDU Antipas Lissu.
Mungu ibariki CHADEMA.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA.
Karibuni 🙏
Source: Mdahalo wa wagombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa CHADEMA, star Tv.
Weka matako Yako chini sugua Kwa michanga kama unawashwa,Pumbavu zake vyama vya siasa ,serikali na mahakama havina dini
Yaani miaka 10 toka amefanya huo ujinga hakuomba msamaha leo sababu anagombea ndio anajitia kuomba msamaha tena baada ya kuulizwa huyo tapeli mkubwa wa kisiasa
Awatapeli huko huko Chadema wasiojielewa
Chadema sio kanisa wala msikiti wa kuungama dhambi tapeli huyo
Asante mwandishi wa habari kumbana barabara
Kupitisha budget ni jambo Moja, kupata pesa hiyo ni jambo lingine,
Mzee wa ubwabwa alikuwa na pesa kama ya Lowassa ,maana naye alikuwa candidate?
SawaHellow Tanganyika!!
Akihojiwa kuhusu ushirika wake kumleta chamani Lowwassa, amedai ,Yeye na Mnyika walipewa taarifa juu ya ujio wa Lowassa mwishoni kabisa, hivyo wasingekataa,
Alipoulizwa kwanini binafsi hakujiondoa kama Dr Slaa, amedai kuwa Dr Slaa alishiriki mchakato mzima wa kumleta Lowwassa mwanzo mwisho kama katibu mkuu,
Alipoulizwa kwanini hakuondoka CHADEMA, amedai kuwa Hiyo ni dhambi na kukiri dhambi ni jambo la kheri.
Nachukua fursa hii kumsamehe TUNDU Lissu, na rasmi nampa nafasi ya kuongoza chama na Nchi ikimpendeza Mungu maana ni mkweli.
Abarikiwe TUNDU Antipas Lissu.
Mungu ibariki CHADEMA.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA.
Karibuni 🙏
Source: Mdahalo wa wagombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa CHADEMA, star Tv.
Alimlinda na 32 bulletsMungu hawezi kulinda watu waongo waongo
Makasiriko ya wowote wivuuuuuuPumbavu zake vyama vya siasa ,serikali na mahakama havina dini
Yaani miaka 10 toka amefanya huo ujinga hakuomba msamaha leo sababu anagombea ndio anajitia kuomba msamaha tena baada ya kuulizwa huyo tapeli mkubwa wa kisiasa
Awatapeli huko huko Chadema wasiojielewa
Chadema sio kanisa wala msikiti wa kuungama dhambi tapeli huyo
Asante mwandishi wa habari kumbana barabara
Hellow Tanganyika!!
Akihojiwa kuhusu ushirika wake kumleta chamani Lowwassa, amedai ,Yeye na Mnyika walipewa taarifa juu ya ujio wa Lowassa mwishoni kabisa, hivyo wasingekataa,
Alipoulizwa kwanini binafsi hakujiondoa kama Dr Slaa, amedai kuwa Dr Slaa alishiriki mchakato mzima wa kumleta Lowwassa mwanzo mwisho kama katibu mkuu,
Alipoulizwa kwanini hakuondoka CHADEMA, amedai kuwa Hiyo ni dhambi na kukiri dhambi ni jambo la kheri.
Nachukua fursa hii kumsamehe TUNDU Lissu, na rasmi nampa nafasi ya kuongoza chama na Nchi ikimpendeza Mungu maana ni mkweli.
Abarikiwe TUNDU Antipas Lissu.
Mungu ibariki CHADEMA.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA.
Karibuni 🙏
Source: Mdahalo wa wagombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa CHADEMA, star Tv.
Hellow Tanganyika!!
Akihojiwa kuhusu ushirika wake kumleta chamani Lowwassa, amedai ,Yeye na Mnyika walipewa taarifa juu ya ujio wa Lowassa mwishoni kabisa, hivyo wasingekataa,
Alipoulizwa kwanini binafsi hakujiondoa kama Dr Slaa, amedai kuwa Dr Slaa alishiriki mchakato mzima wa kumleta Lowwassa mwanzo mwisho kama katibu mkuu,
Alipoulizwa kwanini hakuondoka CHADEMA, amedai kuwa Hiyo ni dhambi na kukiri dhambi ni jambo la kheri.
Nachukua fursa hii kumsamehe TUNDU Lissu, na rasmi nampa nafasi ya kuongoza chama na Nchi ikimpendeza Mungu maana ni mkweli.
Abarikiwe TUNDU Antipas Lissu.
Mungu ibariki CHADEMA.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA.
Karibuni 🙏
Source: Mdahalo wa wagombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa CHADEMA, star Tv.
Video Sina ila nimemsikia mm mwenyewe akiomba radhi juu ya DHAMBI ya kumleta Lowwassa CHADEMA alipokuwa akijibu swali aliloulizwa na Aloyce Nyanda kwenye Mdahalo Jana 🌟 tv.Una video ya Lisu kukiri kosa?
Mapema leo/ jana, nilianzisha uzi wenye maudhui ya Lowasa kuletwa CHADEMA na Lisu kukubaliana na kuletwa kwake.
Wapumbavu wachache wakanizodoa.
Voila! Kwenye mdahalo wao usiku, Lisu akaulizwa na kujibu kuhusu kile kile nilichokihoji awali!
Tundu Lissu aliwezaje kuiunga mkono hii switcheroo?
Mwaka 2015, Tundu Lissu aliwezaje kuunga mkono ubadilishaji wa gia angani? Kwa siku na wiki hizi chache kuelekea kwenye uchaguzi wa CHADEMA, Lissu amekuwa akifunguka sana kuhusu mambo ya ndani ya chama chake. Kupitia kuongea kwake huo, yaelekea kuna mambo mengi sana ambayo alikuwa hakubaliani...www.jamiiforums.com
Pesa ni muhimu,Waulize wagombea umuhimu wa Mpunga katika Kampeni ,kwahiyo ENL kuwa na pesa ya kampeni si dhambi maana chama hakina fedha ya kufanya kampeni nchi nzima na kama mgombea ana fedha si mbaya kuzitumia katika kampeni....Ungekuwa ushawahi kugombea hata mjumbe wa nyumba 10 ungejua umuhimu wa fedha katika kampeni...ulikuwa unataka kampeni manager na timu yake watoe fedha mifukoni mwao?
Hamna tapeli anakubali midahalo.Nje ya masa: Hivi ni kwa nini Mbowe hakutokea leo kwenye huu mdahalo wa leo?
Mwenyekiti wako wa chama Si HAKI kumwita tapeliHamna tapeli anakubali midahalo.
Tapeli mbowe anapitia kipindi kigumu sana maishani mwake.Not only free Dr Slaa,
Bali arejeshwe pia ndani ya CDM haraka.
Hili la kugombea naamini ameshurutishwa.Tapeli mbowe anapitia kipindi kigumu sana maishani mwake.
Similarly, tuchukue nafasi hii kumsamehe MBOWE kwa kufanya maridhiano na tumpe nafasi ya kuongoza chama na nchi ikimpendeza Mungu maana ni mkweli.Nachukua fursa hii kumsamehe TUNDU Lissu, na rasmi nampa nafasi ya kuongoza chama na Nchi ikimpendeza Mungu maana ni mkweli.
Daddie....Yupo Dodoma kwenye mkutano wa ccm
Labda ni kuhusu uuzwaji wa bandari zetu na kuwafurusha wanasai ngorongoro.Ni jambo gn hilo Lissu hataki kuongea kisa sio mropokaji? Au n lile swala la mbowe kuhusika kwenye ile ishu ya Dodoma?