Pre GE2025 Tundu Lissu: Ninakiri juu ya Dhambi ya kumleta Lowassa CHADEMA. Watanzania tumekusamehe, ubarikiwe

Pre GE2025 Tundu Lissu: Ninakiri juu ya Dhambi ya kumleta Lowassa CHADEMA. Watanzania tumekusamehe, ubarikiwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unajua bajeti ya Kugombea Urais au Ubunge ambayo msajili amepitisha?(Gharama za kampeni).
Kupitisha budget ni jambo Moja, kupata pesa hiyo ni jambo lingine,

Mzee wa ubwabwa alikuwa na pesa kama ya Lowassa ,maana naye alikuwa candidate?
 
Hellow Tanganyika!!

Akihojiwa kuhusu ushirika wake kumleta chamani Lowwassa, amedai ,Yeye na Mnyika walipewa taarifa juu ya ujio wa Lowassa mwishoni kabisa, hivyo wasingekataa,

Alipoulizwa kwanini binafsi hakujiondoa kama Dr Slaa, amedai kuwa Dr Slaa alishiriki mchakato mzima wa kumleta Lowwassa mwanzo mwisho kama katibu mkuu,

Alipoulizwa kwanini hakuondoka CHADEMA, amedai kuwa Hiyo ni dhambi na kukiri dhambi ni jambo la kheri.

Nachukua fursa hii kumsamehe TUNDU Lissu, na rasmi nampa nafasi ya kuongoza chama na Nchi ikimpendeza Mungu maana ni mkweli.

Abarikiwe TUNDU Antipas Lissu.

Mungu ibariki CHADEMA.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA.

Karibuni 🙏

Source: Mdahalo wa wagombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa CHADEMA, star Tv.
Una video ya Lisu kukiri kosa?

Mapema leo/ jana, nilianzisha uzi wenye maudhui ya Lowasa kuletwa CHADEMA na Lisu kukubaliana na kuletwa kwake.

Wapumbavu wachache wakanizodoa.

Voila! Kwenye mdahalo wao usiku, Lisu akaulizwa na kujibu kuhusu kile kile nilichokihoji awali!

 
Pumbavu zake vyama vya siasa ,serikali na mahakama havina dini

Yaani miaka 10 toka amefanya huo ujinga hakuomba msamaha leo sababu anagombea ndio anajitia kuomba msamaha tena baada ya kuulizwa huyo tapeli mkubwa wa kisiasa

Awatapeli huko huko Chadema wasiojielewa

Chadema sio kanisa wala msikiti wa kuungama dhambi tapeli huyo

Asante mwandishi wa habari kumbana barabara
Weka matako Yako chini sugua Kwa michanga kama unawashwa,

Mtu mungwana kakili kosa tumemuelewa wewe tuliza your buttocks.
 
Kupitisha budget ni jambo Moja, kupata pesa hiyo ni jambo lingine,

Mzee wa ubwabwa alikuwa na pesa kama ya Lowassa ,maana naye alikuwa candidate?

Waulize wagombea umuhimu wa Mpunga katika Kampeni ,kwahiyo ENL kuwa na pesa ya kampeni si dhambi maana chama hakina fedha ya kufanya kampeni nchi nzima na kama mgombea ana fedha si mbaya kuzitumia katika kampeni....Ungekuwa ushawahi kugombea hata mjumbe wa nyumba 10 ungejua umuhimu wa fedha katika kampeni...ulikuwa unataka kampeni manager na timu yake watoe fedha mifukoni mwao?
 
Hellow Tanganyika!!

Akihojiwa kuhusu ushirika wake kumleta chamani Lowwassa, amedai ,Yeye na Mnyika walipewa taarifa juu ya ujio wa Lowassa mwishoni kabisa, hivyo wasingekataa,

Alipoulizwa kwanini binafsi hakujiondoa kama Dr Slaa, amedai kuwa Dr Slaa alishiriki mchakato mzima wa kumleta Lowwassa mwanzo mwisho kama katibu mkuu,

Alipoulizwa kwanini hakuondoka CHADEMA, amedai kuwa Hiyo ni dhambi na kukiri dhambi ni jambo la kheri.

Nachukua fursa hii kumsamehe TUNDU Lissu, na rasmi nampa nafasi ya kuongoza chama na Nchi ikimpendeza Mungu maana ni mkweli.

Abarikiwe TUNDU Antipas Lissu.

Mungu ibariki CHADEMA.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA.

Karibuni 🙏

Source: Mdahalo wa wagombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa CHADEMA, star Tv.
Sawa
 
Pumbavu zake vyama vya siasa ,serikali na mahakama havina dini

Yaani miaka 10 toka amefanya huo ujinga hakuomba msamaha leo sababu anagombea ndio anajitia kuomba msamaha tena baada ya kuulizwa huyo tapeli mkubwa wa kisiasa

Awatapeli huko huko Chadema wasiojielewa

Chadema sio kanisa wala msikiti wa kuungama dhambi tapeli huyo

Asante mwandishi wa habari kumbana barabara
Makasiriko ya wowote wivuuuuuu
 
Hellow Tanganyika!!

Akihojiwa kuhusu ushirika wake kumleta chamani Lowwassa, amedai ,Yeye na Mnyika walipewa taarifa juu ya ujio wa Lowassa mwishoni kabisa, hivyo wasingekataa,

Alipoulizwa kwanini binafsi hakujiondoa kama Dr Slaa, amedai kuwa Dr Slaa alishiriki mchakato mzima wa kumleta Lowwassa mwanzo mwisho kama katibu mkuu,

Alipoulizwa kwanini hakuondoka CHADEMA, amedai kuwa Hiyo ni dhambi na kukiri dhambi ni jambo la kheri.

Nachukua fursa hii kumsamehe TUNDU Lissu, na rasmi nampa nafasi ya kuongoza chama na Nchi ikimpendeza Mungu maana ni mkweli.

Abarikiwe TUNDU Antipas Lissu.

Mungu ibariki CHADEMA.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA.

Karibuni 🙏

Source: Mdahalo wa wagombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa CHADEMA, star Tv.
 
Hellow Tanganyika!!

Akihojiwa kuhusu ushirika wake kumleta chamani Lowwassa, amedai ,Yeye na Mnyika walipewa taarifa juu ya ujio wa Lowassa mwishoni kabisa, hivyo wasingekataa,

Alipoulizwa kwanini binafsi hakujiondoa kama Dr Slaa, amedai kuwa Dr Slaa alishiriki mchakato mzima wa kumleta Lowwassa mwanzo mwisho kama katibu mkuu,

Alipoulizwa kwanini hakuondoka CHADEMA, amedai kuwa Hiyo ni dhambi na kukiri dhambi ni jambo la kheri.

Nachukua fursa hii kumsamehe TUNDU Lissu, na rasmi nampa nafasi ya kuongoza chama na Nchi ikimpendeza Mungu maana ni mkweli.

Abarikiwe TUNDU Antipas Lissu.

Mungu ibariki CHADEMA.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA.

Karibuni 🙏

Source: Mdahalo wa wagombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa CHADEMA, star Tv.

Nachukua fursa hii kumsamehe TUNDU Lissu, na rasmi nampa nafasi ya kuongoza chama na Nchi ikimpendeza Mungu maana ni mkweli

.
 
Una video ya Lisu kukiri kosa?

Mapema leo/ jana, nilianzisha uzi wenye maudhui ya Lowasa kuletwa CHADEMA na Lisu kukubaliana na kuletwa kwake.

Wapumbavu wachache wakanizodoa.

Voila! Kwenye mdahalo wao usiku, Lisu akaulizwa na kujibu kuhusu kile kile nilichokihoji awali!

Video Sina ila nimemsikia mm mwenyewe akiomba radhi juu ya DHAMBI ya kumleta Lowwassa CHADEMA alipokuwa akijibu swali aliloulizwa na Aloyce Nyanda kwenye Mdahalo Jana 🌟 tv.

Naamini U-tube video hiyo itakuwepo.
 
Waulize wagombea umuhimu wa Mpunga katika Kampeni ,kwahiyo ENL kuwa na pesa ya kampeni si dhambi maana chama hakina fedha ya kufanya kampeni nchi nzima na kama mgombea ana fedha si mbaya kuzitumia katika kampeni....Ungekuwa ushawahi kugombea hata mjumbe wa nyumba 10 ungejua umuhimu wa fedha katika kampeni...ulikuwa unataka kampeni manager na timu yake watoe fedha mifukoni mwao?
Pesa ni muhimu,

Na ni muhimu pesa hizo zikachangwa na wanachama na ikiwa ni pesa Toka mfukoni mwa mgombea, ni vyema tukajua alizipata vipi,

Isijekuwa aliuza bangi au alisaidiwa na wauza mihadarati Ili awarudishie apatapo uongozi.

Ni hayo tu .
 
Nachukua fursa hii kumsamehe TUNDU Lissu, na rasmi nampa nafasi ya kuongoza chama na Nchi ikimpendeza Mungu maana ni mkweli.
Similarly, tuchukue nafasi hii kumsamehe MBOWE kwa kufanya maridhiano na tumpe nafasi ya kuongoza chama na nchi ikimpendeza Mungu maana ni mkweli.
 
Ni jambo gn hilo Lissu hataki kuongea kisa sio mropokaji? Au n lile swala la mbowe kuhusika kwenye ile ishu ya Dodoma?
Labda ni kuhusu uuzwaji wa bandari zetu na kuwafurusha wanasai ngorongoro.
 
Back
Top Bottom