Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Mashabiki na wafuasi wengi wa Chadema hawapendi sana kukiri hili kuwa 'upepo wa Lowassa uliwafaidisha mno mwaka 2015'Momentum of Lowasa ndio iliwapa ubunge hata wasiostahili kuwa wabunge na madiwani kibao, ni ndoto kwa Chadema sasa hivi kupata kura millioni 8 za Urais hasa kwa huu utoto walioleta hata mimi siwapigii tena kura.
Ila kutwa ni kulalama tu kuhusu ujio wake.
Rabbon Tindo JokaKuu zitto junior